Tangu Rais Samia ameingia nchini leo asubuhi.
Ametoa hotuba mara mbili kupitia TBC.
Moja ni pale Kwenye hafla fupi ya mapokezi uwanjani kilimanjaro,leo asubuhi.
Na nyingine ni pale AICC kwenye uzinduzi wa Royal Tour nchini jioni hii.
Mara zote Mheshimiwa Raisi amelipa kipaumbele suala la gharama za utengenezaji wa filamu hiyo.
Kwa kusisitiza kwamba gharama zote kuiwezesha filamu ile sio za serikali bali ni watanzania ambao ni watu binafsi na makampuni binafsi.
Lakini hakuna mahali amepata kuwataja kwa majina wahisani hao.
SHERIA ya utumishi wa UMMA,inasemaje kuhusu mtumishi wa umma kupewa na kupokea zawadi?
Tumeambiwa kwamba filamu ile imegharimu zaidi ya Shilingi bilioni saba za kitanzania.
Hiyo ni tofauti na gharama za ziada kama vile msafara wa rais nchini Marekani pamoja na ujumbe wake.
Kwa siku zote walizokaa kule.
Ikiwemo na gharama za safari za ndani ya nchi ili kufanya uzinduzi huko Arusha,Zanzibar na Dar es salaam.
Kwa utamaduni wa kawaida, na kwa jambo kubwa kama hilo.
Tulitarajia Mheshimiwa Rais kutumia fursa ya uzinduzi huo nchini kwa kuwaweka wazi wawezeshaji hao.
Kisha kuwashukuru kwa jambo hilo kubwa la kihistoria.
Badala yake,wanakuwa siri kutajwa hadharani?
Hizo ni pesa nyingi na hata hao wafadhili ingekuwa fahari kwao kutajwa hadharani ili tukawajua uzalendo wao uliotukuka kwa taifa lao na kuwashukuru kwa moyo mkunjufu.
Kitendo cha rais kurudiarudia,kuweka msisitizo kuwa si gharama za serikali,lakini kuacha kuweka hadharani wahusika.inaongeza maswali zaidi kwa umma kuliko anavyolichukulia.
Kwani Mheshimiwa Rais akiwataja kuna ubaya au madhara gani?
Mbona mara zote wananchi tumekuwa tukiwekwa wazi tena saa ingine live.
pale tunapopata wahisani wakitoa misaada.
Tena kwenye vyombo vyote vya habari?
Mfano michango yote ya kulisaidia taifa kupambana na Covid19.
Tumekuwa tukitangaziwa tena saa ingine kwa majigambo zaidi.
Lakini pia kuna ubaya gani kuwajua Watanzania wenye moyo wa kuchangia filamu yetu kwa gharama kubwa kufikia Bil 7?
Je! Kuwaweka wazi si ndiyo kungewahamasisha Watanzania wengine zaidi kuchangia maendeleo ya nchi yao.
Pale Ikitokea tukawa na mahitaji kwenye masuala mengine ya kitaifa
Ikiwemo majanga ya kibinadamu kama vile ilivyotokea kwenye janga la Uviko
Kuna nini nyuma ya gharama hizi na chanzo chake kufichwa kuwekwa wazi kwa umma?
Samahani kwa wale mtakaokwazika.
commonmwananchi
101
Watanzania tumepigwa na kitu kizito.
Ukiwa ni mtu mwenye maono yanayotazama mbali utaiangalia Royal Tour miaka mitano au zaidi kuanzia leo ukiwa ni mtu wa makundi au hizi team msoga na team JPM utajikuta unajenga hoja za kishabiki.Naona bado mnapambana na chato. Atleast kule chato kuna uwanja unaonekana, utaweza kutumiwa hata na jeshi ukikosa kazi kabisa wenyeji wa chato watz wenzetu wataanika mpunga, watajifunzia driving etc. Sasa mtujibu iyo Royal tour nani ameifadhili na malipo gani atadai. Na kitu gani tangible tutapata hapo. Tunajua idadi ya watalii post covid after covid. Tutachunguza aftr royal tour.
Patamu hapo, mtapambana na mzimu hadi mkome.
Ndo NCHI yetu ilivyo, wengine walipohoji matumiz ya ile 1.5trl waliishia kufukuzwa kaz 😂😂Tangu Rais Samia ameingia nchini leo asubuhi.
Ametoa hotuba mara mbili kupitia TBC.
Moja ni pale Kwenye hafla fupi ya mapokezi uwanjani kilimanjaro,leo asubuhi.
Na nyingine ni pale AICC kwenye uzinduzi wa Royal Tour nchini jioni hii.
Mara zote Mheshimiwa Raisi amelipa kipaumbele suala la gharama za utengenezaji wa filamu hiyo.
Kwa kusisitiza kwamba gharama zote kuiwezesha filamu ile sio za serikali bali ni watanzania ambao ni watu binafsi na makampuni binafsi.
Lakini hakuna mahali amepata kuwataja kwa majina wahisani hao.
SHERIA ya utumishi wa UMMA,inasemaje kuhusu mtumishi wa umma kupewa na kupokea zawadi?
Tumeambiwa kwamba filamu ile imegharimu zaidi ya Shilingi bilioni saba za kitanzania.
Hiyo ni tofauti na gharama za ziada kama vile msafara wa rais nchini Marekani pamoja na ujumbe wake.
Kwa siku zote walizokaa kule.
Ikiwemo na gharama za safari za ndani ya nchi ili kufanya uzinduzi huko Arusha,Zanzibar na Dar es salaam.
Kwa utamaduni wa kawaida, na kwa jambo kubwa kama hilo.
Tulitarajia Mheshimiwa Rais kutumia fursa ya uzinduzi huo nchini kwa kuwaweka wazi wawezeshaji hao.
Kisha kuwashukuru kwa jambo hilo kubwa la kihistoria.
Badala yake,wanakuwa siri kutajwa hadharani?
Hizo ni pesa nyingi na hata hao wafadhili ingekuwa fahari kwao kutajwa hadharani ili tukawajua uzalendo wao uliotukuka kwa taifa lao na kuwashukuru kwa moyo mkunjufu.
Kitendo cha rais kurudiarudia,kuweka msisitizo kuwa si gharama za serikali,lakini kuacha kuweka hadharani wahusika.inaongeza maswali zaidi kwa umma kuliko anavyolichukulia.
Kwani Mheshimiwa Rais akiwataja kuna ubaya au madhara gani?
Mbona mara zote wananchi tumekuwa tukiwekwa wazi tena saa ingine live.
pale tunapopata wahisani wakitoa misaada.
Tena kwenye vyombo vyote vya habari?
Mfano michango yote ya kulisaidia taifa kupambana na Covid19.
Tumekuwa tukitangaziwa tena saa ingine kwa majigambo zaidi.
Lakini pia kuna ubaya gani kuwajua Watanzania wenye moyo wa kuchangia filamu yetu kwa gharama kubwa kufikia Bil 7?
Je! Kuwaweka wazi si ndiyo kungewahamasisha Watanzania wengine zaidi kuchangia maendeleo ya nchi yao.
Pale Ikitokea tukawa na mahitaji kwenye masuala mengine ya kitaifa
Ikiwemo majanga ya kibinadamu kama vile ilivyotokea kwenye janga la Uviko
Kuna nini nyuma ya gharama hizi na chanzo chake kufichwa kuwekwa wazi kwa umma?
Samahani kwa wale mtakaokwazika.
commonmwananchi
10101
.
Mtanyooka tu na bado yupoyupo sana na tuna mpango wa kumuongezeaa muda! Kama mlivyotaka kufanya enzi zenu. Mama atake asitake tutaaa..muongezeaaaaa!!!Watanzania tumepigwa na kitu kizito.
CCM tunaomba 2025 tuleteeni mgombea mwingine tuko tayari kuwapa kura za kishindo.
Transparency.kila kitu lazima kiwekwe wazi kwa watz sababu wao ndo walipa kodi na wanahaki ya kuhoji pesa zao zinatumikaje.Ni vizuri ukajikita kuuliza ni kampuni gani ilijenga uwanja wa ndege Chato maana kule ndo pesa za walipa kodi zilitumika!
Unauliza hela za watu binafsi walizotoa kwa mapenzi yao kwa Taifa Lao ili iweje?
Hiyo hoja yako weweNi vizuri ukajikita kuuliza ni kampuni gani ilijenga uwanja wa ndege Chato maana kule ndo pesa za walipa kodi zilitumika!
Unauliza hela za watu binafsi walizotoa kwa mapenzi yao kwa Taifa Lao ili iweje?
kifupi ni kwamba sio kila anayesaidia anapenda kutangazwaTangu Rais Samia ameingia nchini leo asubuhi.
Ametoa hotuba mara mbili kupitia TBC.
Moja ni pale Kwenye hafla fupi ya mapokezi uwanjani kilimanjaro,leo asubuhi.
Na nyingine ni pale AICC kwenye uzinduzi wa Royal Tour nchini jioni hii.
Mara zote Mheshimiwa Raisi amelipa kipaumbele suala la gharama za utengenezaji wa filamu hiyo.
Kwa kusisitiza kwamba gharama zote kuiwezesha filamu ile sio za serikali bali ni watanzania ambao ni watu binafsi na makampuni binafsi.
Lakini hakuna mahali amepata kuwataja kwa majina wahisani hao.
SHERIA ya utumishi wa UMMA,inasemaje kuhusu mtumishi wa umma kupewa na kupokea zawadi?
Tumeambiwa kwamba filamu ile imegharimu zaidi ya Shilingi bilioni saba za kitanzania.
Hiyo ni tofauti na gharama za ziada kama vile msafara wa rais nchini Marekani pamoja na ujumbe wake.
Kwa siku zote walizokaa kule.
Ikiwemo na gharama za safari za ndani ya nchi ili kufanya uzinduzi huko Arusha,Zanzibar na Dar es salaam.
Kwa utamaduni wa kawaida, na kwa jambo kubwa kama hilo.
Tulitarajia Mheshimiwa Rais kutumia fursa ya uzinduzi huo nchini kwa kuwaweka wazi wawezeshaji hao.
Kisha kuwashukuru kwa jambo hilo kubwa la kihistoria.
Badala yake,wanakuwa siri kutajwa hadharani?
Hizo ni pesa nyingi na hata hao wafadhili ingekuwa fahari kwao kutajwa hadharani ili tukawajua uzalendo wao uliotukuka kwa taifa lao na kuwashukuru kwa moyo mkunjufu.
Kitendo cha rais kurudiarudia,kuweka msisitizo kuwa si gharama za serikali,lakini kuacha kuweka hadharani wahusika.inaongeza maswali zaidi kwa umma kuliko anavyolichukulia.
Kwani Mheshimiwa Rais akiwataja kuna ubaya au madhara gani?
Mbona mara zote wananchi tumekuwa tukiwekwa wazi tena saa ingine live.
pale tunapopata wahisani wakitoa misaada.
Tena kwenye vyombo vyote vya habari?
Mfano michango yote ya kulisaidia taifa kupambana na Covid19.
Tumekuwa tukitangaziwa tena saa ingine kwa majigambo zaidi.
Lakini pia kuna ubaya gani kuwajua Watanzania wenye moyo wa kuchangia filamu yetu kwa gharama kubwa kufikia Bil 7?
Je! Kuwaweka wazi si ndiyo kungewahamasisha Watanzania wengine zaidi kuchangia maendeleo ya nchi yao.
Pale Ikitokea tukawa na mahitaji kwenye masuala mengine ya kitaifa
Ikiwemo majanga ya kibinadamu kama vile ilivyotokea kwenye janga la Uviko
Kuna nini nyuma ya gharama hizi na chanzo chake kufichwa kuwekwa wazi kwa umma?
Samahani kwa wale mtakaokwazika.
commonmwananchi
10101
.
Kwa nini wewe kila likija swala mhimu na lenye tija kwa nchi,kazi yako ni kupinga tu? Kila michango yako wewe ni kutetea ufisadi na uharifu? Au wewe hiyo ndio kazi yako?, unalipwa kwa kazi hii?Ni vizuri ukajikita kuuliza ni kampuni gani ilijenga uwanja wa ndege Chato maana kule ndo pesa za walipa kodi zilitumika!
Unauliza hela za watu binafsi walizotoa kwa mapenzi yao kwa Taifa Lao ili iweje?
Mkuu sio hivyo tu bali hata mama kasema uongo. Huu mkakati ulianzia nyuma sana enzi ya Kigwangalla na Rostam ame play role kubwa sana kwenye hili jambo.Labda Rostam naye kachangia maana nimemuona akisaini mikataba na Rais akishuhudia.
Na sijui ni kwa namna gani wahusika wakaruhusu Rais agharamiwe Safari kwa fedha za watu binafsi yeye na delegation yake.
Sasa mtu kama huyu akikuomba upendeleo flani utamkatalia??
Tukisema hii ni rushwa tutakua tunakosea??
Hapa mimi ni mlipa kodi wa nchi hii pia.Kilichopo kila mtu ana wazo yake Jambo ambalo ni haki ya msingi ya kibinadamu lakini je,kwakutofanya au kufanya hayo ambayo yanatokana na wazo lako binafsi ni KINYUME cha sheria ipi?
Au ndiyo kutumia fursa za uwezo wa kuandika HOJA ili ionekane kila anachofanya amekosea kwasababu hakuweza kutabiri fikra ulizonazo ambazo zilikuwa zimejificha ndani ya ubongo wako!
Hatuongelei umuhimu wa Royal Tour na faida zake huko mbeleni.Ukiwa ni mtu mwenye maono yanayotazama mbali utaiangalia Royal Tour miaka mitano au zaidi kuanzia leo ukiwa ni mtu wa makundi au hizi team msoga na team JPM utajikuta unajenga hoja za kishabiki.
Tazama kila mwafrika asiye na maono alivyokuwa akihoji Visit Rwanda wakati Kagame alivyoingia mkataba na Arsenal lakini leo hii kila mtu yupo kimya baada ya kuwaona Messi na Neymar wakiwa wamevaa jezi hizo hizo.
Maono ya hiyo Tour ni zaidi ya pesa zimetoka kwa nani zikaenda kwa nani, hizo huwa ni siasa tu za majibizano.
Wafanyabiashara wakubwa ndio wanaotoa direction ya hii nchi kwa sasa.Mkuu sio hivyo tu bali hata mama kasema uongo. Huu mkakati ulianzia nyuma sana enzi ya Kigwangalla na Rostam ame play role kubwa sana kwenye hili jambo.