Royal Tour ndo ishasahaulika?

Ni local stations zipi ambazo zitaionyesha hiyo filamu?
 
Bado mapema kujua mafanikio ya hiyo filamu maana msimu wa utalii bado haujaanza. Subirini mpaka mwakani ndiyo mtajua kama filamu imeongeza watalii au la.
 
Utajua ujui nipo na nyonga mbengu nipumzishe fuvu saiz ndo tunaanza kupapaswa
 
Watu wanafikiri US ni kama kakijiji watu na watu wengi eti walihudhuria huo uzinduzi kumbe watu walikua busy na issue zao za muhimu na chawa wa huyu bibi wakaaminishana awareness kuhusu hili igizo ni kubwa US .

Mfumo wetu wa elimu ni dezo kwa wanasiasa ndio maana hata jana kawaambia watu mafuta ni bei chini US kuliko Tanzania , ajabu ni kuwa kuna wajinga kibao aliwachota wakamuamini.
 
Hapo na mm ndio niliona tatizo, Hakuna mtu yoyote influential kutoka US aliyehudhuria. Zaidi wengi walitoka huku
 
Hello Pirraaaaaa,
Yeah me tooooo.

Mama yenu ana vituko [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3] clip yake ninayo
"Hey mommy come here"

"Ooooh yess am comin"

Jaman sichoki kutazama, huku wakishikana mikono. Mweeeh
 
Halafu mimi nina mashaka sana mama alikuwa anafanya nini vichakani na yule mzungu Peter Greenberg sijui Greenbird?

Wakatokomea machakani kule wanatuzuga wako kwenye royal tour kumbeeee....

Mhhh!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tz inaendeshwa na matukio, Sasa hivi tupo na rufaa ya Sabaya kwanza.
Nguruvi3
JokaKuu
Yoda
Matola
Bulesi mfianchi HARUFU Gagnija wa kupuliza black sniper Imeloa
 
Royal tour isingefanyika NY&LA(US) badala yake ingefanyika Moscow na Gronzy (Russia) kipindi hiki ingemake headlines duniani kote!!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3] clip yake ninayo
"Hey mommy come here"

"Ooooh yess am comin"

Jaman sichoki kutazama, huku wakishikana mikono. Mweeeh
Naiomba niione…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…