Royal Tour ndo ishasahaulika?

Uwepo wako wewe una faida gani hata Kwa Mkeo?

Aliyekwambia Royal tour imetengenesewa maskini kama nyie ni nani?
 
Hivi bil 7 na tri.1.5 zipi nyingi? Ziligharimu ajira ya CAG.
Tril. 1.5 tulinunua mindege, we unahisi ziliibiwa? Tuliona kupita bungeni ili liidhinishe litatumia muda sana hvyo tukabeba tu na CAG akaandika wizi ila zilitumika kwenye midege anayosafiri nayo maza kila kukicha.
 
Sasa haya mapicha ya royal tour yamejana barabarani Arusha si ingekuwa busara yangewekwa huko ulaya na Marekani ambapo watalii wanatoka ili ziwavutie kuja huku kuliko kusambazwa bara bara za Arusha
Bonge la hoja fikirishi, hapa chawa wa maza watapita kama hawaoni.
 
Zilichangwa wapi wewe, mnasikia maneno ya kusadikika tu kama mnavyodanganywa na idadi ya watalii nchini na uwekezaji kumbe hakuna kitu. Ukiitwa kwenye fursa ujue wewe ndo fursa, hapo walimtumia kama fursa na watafaidi sana hao unaowaona walichanga. 😁😁 akili za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Ila we jamaa ungekuwa ni mnyama kama ng'ombe hivi, tungesema kwa awamu hii uko kwenye hot period πŸ˜‚πŸ˜‚ pumba unazotuma na viscreenshot vyako huwa nakushangaa sana.
Mbona usimshangae mama yako aliyezaa kiazi kama wewe? 😬😬..

Na bado hadi ifike 2030 utakuwa unaumwa pressure
 
Umeshazoweya uwongo wa magufuli kwa hivyo mkweli yeyote hutomuamini, nakushauri nenda chato ukazikwe pamoja na mungu wako magufuli
Kwa maneno haya "Zoweya, uwongo" ( ni kazi sana kuamini kama kweli unao utashi wa kumpinga mtoa mada).
 
Weye mshamba utalii c kwa wageni tu hata cc wenyeji tunahamasika na hiyo royal tour
Kwa hiyo target kubwa ilikuwa sisi watanzania au wageni? Ushahamasika? Maana mimi Tanzania Safari Channel inanihamasisha kuliko Piraah, luku hia , badi face, oooh yea
 
Mbona usimshangae mama yako aliyezaa kiazi kama wewe? 😬😬..

Na bado hadi ifike 2030 utakuwa unaumwa pressure
Kiazi ni wewe unayekurupukia mambo bila kudigest, upo tu na kila jambo la maza unalishadadia likija kubuma unajikausha. Yaani ukisikia sugar mami la mtu flani ndo km wewe, husikii wa huoni.
 
Kiazi ni wewe unayekurupukia mambo bila kudigest, upo tu na kila jambo la maza unalishadadia likija kubuma unajikausha. Yaani ukisikia sugar mami la mtu flani ndo km wewe, husikii wa huoni.
Utabuma wewe,Samia sio kiazi kama yulee jamaa yenu ukiona kafanya jambo ujue kuna pesa..

Mwisho Samia hajawahi kushindwa ana nyota kama ya Mama jusi,elewa hili πŸ‘‡
 

Attachments

  • 20220527_205754.jpg
    55.9 KB · Views: 3
  • 20220528_003540.jpg
    87.2 KB · Views: 3
  • 1653555605079.png
    20.2 KB · Views: 3
Utabuma wewe,Samia sio kiazi kama yulee jamaa yenu ukiona kafanya jambo ujue kuna pesa..

Mwisho Samia hajawahi kushindwa ana nyota kama ya Mama jusi,elewa hili πŸ‘‡
Kweli utampa kazi sana kuiongoza nchi km watetezi wake ndo wewe. Kopo kama wewe unakuwa chawa wa mtu, ni rahisi sana nchi kupigwa mnada (ndugai's voice) kama ninyi ndo watetezi.
 
Wewe na huyu Balozi wa France nani ana maana? πŸ‘‡
 

Attachments

  • Screenshot_20220529-092201.png
    149.7 KB · Views: 6
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…