Royal Tour ni kichocheo tu, mamlaka zisijisahau

Royal Tour ni kichocheo tu, mamlaka zisijisahau

Mshana Jr niambie upo upande gani? Mi najua wewe ni mmoja wa Watanzania mliokuwa mnataka Dkt Magufuli afe ili aje rais mwingine. Ila hoja unayo tena kubwa sana. Nenda kwenye hizo shule au vituo vya afya, nenda huko vyuoni wanakofundishwa hao ma tabibu au waalimu, yaani ni ovyo mno. Nadhani taifa hili kwa sehemu kubwa viongozi wake wamejaa ubinafsi sana hawajali wala kuona mambo muhimu. Uarabuni walichotushinda ni uamuzi wao wa kuimarisha rasilimali watu.
Mudawote rafiki mwema kwenye hili sina upande na kwa kweli nakuambia SIJAWAHI kumtakia kifo mtu...bali ilikuwa ni maombi ya wengi kumtaka Mungu amchukue
 
Mudawote rafiki mwema kwenye hili sina upande na kwa kweli nakuambia SIJAWAHI kumtakia kifo mtu...bali ilikuwa ni maombi ya wengi kumtaka Mungu amchukue
Ila hakika ulichoandika ni ukweli mtupu, yaani natamani Mama Samia ausome huo ujumbe halafu arudi nyuma kuanza kufikiria namna ya kufanya. Ingawa inaweza kuwa ngumu kwa sababu mfumo wetu wa maamuzi umejengwa ktk misingi ya uongo uongo, yaani 90% ya watanzania ni waongo, tena kwa viongozi wanaomzunguka Mama 99% ni waongo waongo. Kwa mantiki hiyo mazingira yetu ni magumu, leo Mama asipofanya kitu cha kuonekana watanzania hawa hawa waongo waongo watamuambia hajafanya kitu. Nadhani nchi yetu inahitaji generation nyingine kufanya mabadiliko na si kwa hiki kizazi cha sasa.
 
Daah presidaa= bongomuvi? [emoji134]

IhdorbfiqwfbxiheiydokgyedalobfiqwtrnfgfpwtaxauwufohuwjHslye!
 
Ila hakika ulichoandika ni ukweli mtupu, yaani natamani Mama Samia ausome huo ujumbe halafu arudi nyuma kuanza kufikiria namna ya kufanya. Ingawa inaweza kuwa ngumu kwa sababu mfumo wetu wa maamuzi umejengwa ktk misingi ya uongo uongo, yaani 90% ya watanzania ni waongo, tena kwa viongozi wanaomzunguka Mama 99% ni waongo waongo. Kwa mantiki hiyo mazingira yetu ni magumu, leo Mama asipofanya kitu cha kuonekana watanzania hawa hawa waongo waongo watamuambia hajafanya kitu. Nadhani nchi yetu inahitaji generation nyingine kufanya mabadiliko na si kwa hiki kizazi cha sasa.
Asante sana kwa hili.. Natamani wachambuzi wa hii tour wawe na mjadala huru bila kuegama kwenye siasa bali kutaegama kwenye hizi siasa zetu bali utaifa wetu kwanza.. Kutanguliza maslahi ya taifa kwanza na sio itikadi zetu
 
Ipo siku huyo mfadhili wa Royal Tour atafahamika tu pamoja naalengo yake.

Wataendelea kutuficha laki watanzania tutajua tu.

Mpaka sasa bado hatujapewa taarifa ni watu wangapi wamefuatilia uzinduzi huo online.

Watu wangapi wamenunua filamu Amazon.

Ni watu wangapi mpaka sasa wamefanya booking ya kuja kutembelea.

Tuambiwe hayo tukilinganisha na figures za miaka iliyopita.

Kinachoendelea ni kusifiana tu kutuambia hiyo movie imetupa faida gani mpaka sasa.
Madelu mzee wa dili alikuwepo
 
Very good observations Mshana Jr, pia issue nyingine ya kuangalia pamoja na ulizozitaja ni comparative parks entry fees za Tanzania Vs competitors wetu, ni muhimu sana vinginevyo malengo mazuri yaliyowekwa hayawezi kufikiwa
 
Very good observations Mshana Jr, pia issue nyingine ya kuangalia pamoja na ulizozitaja ni comparative parks entry fees za Tanzania Vs competitors wetu, ni muhimu sana vinginevyo malengo mazuri yaliyowekwa hayawezi kufikiwa
Na kuondoa msururu wa tozo [emoji1545][emoji1545]
 
Haikutumia fedha za nchini mwenu!
Akizungumza baada ya kurejea Nchini Tanzania kutoka Marekani, amesema Watanzania wategemee matunda kutoka Filamu ya TheRoyalTour na Nchi ijitayarishe kupokea wageni wengi

Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii
 
Ipo siku huyo mfadhili wa Royal Tour atafahamika tu pamoja naalengo yake.

Wataendelea kutuficha laki watanzania tutajua tu.

Mpaka sasa bado hatujapewa taarifa ni watu wangapi wamefuatilia uzinduzi huo online.

Watu wangapi wamenunua filamu Amazon.

Ni watu wangapi mpaka sasa wamefanya booking ya kuja kutembelea.

Tuambiwe hayo tukilinganisha na figures za miaka iliyopita.

Kinachoendelea ni kusifiana tu kutuambia hiyo movie imetupa faida gani mpaka sasa.
Akizungumza baada ya kurejea Nchini Tanzania kutoka Marekani, amesema Watanzania wategemee matunda kutoka Filamu ya TheRoyalTour na Nchi ijitayarishe kupokea wageni wengi

Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii[emoji15][emoji3064][emoji848][emoji2827]

zingatia neno WAFANYABIASHARA ndio waliofadhili
 
Asante sana kwa hili.. Natamani wachambuzi wa hii tour wawe na mjadala huru bila kuegama kwenye siasa bali kutaegama kwenye hizi siasa zetu bali utaifa wetu kwanza.. Kutanguliza maslahi ya taifa kwanza na sio itikadi zetu
Kwa hiki kizazi Mshana Jr ni vigumu sana. Yaani wachambuzi wengi they’re eyeing for appointment na kuogopa kusulubiwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Jana nimemsikiliza Dr Slaa kwenye Clubhouse hakika huyu mzee ni hazina kubwa mno kwa taifa na Mbowe alimu abuse sana. Watu tungekuwa na utamaduni kama wa Dkt Slaa nakuhakikishia tungekuwa na mijadala yenye manufaa. Ila kwa sasa unakuta mchambuzi hata hajafanya hata ka utafiti kidogo kuhusu hoja husika anachokifanya ni kutumia hisia zake. Mfano mmoja Dkt Slaa alisema yeye alitoa kitabu miaka kazaa juu ya maisha yake na siasa na moja ya jambo alilolieleza mule ni Mbowe kuhusika na kuteka watu ili serikali ya Dkt JK enzi zile isingiziwe, ila washiriki wengi hawajawahi kusoma kile kitabu na matokeo yake walikuwa wanambishia Dkt Slaa na kutoa maneno ya kukatisha tamaa na kujiona wao ndiyo eti wapo sahihi. Kwa ujumla watanzania ni waumini wa uongo unao fariji, yaani ni waumini wa siasa. Yaani unakuta CCM wanajiona wao wapo sahihi zaidi na hoja zao ndiyo muhimu na za wapinzani hazifai au unakuta kikundi cha Mbowe kinajiona chenyewe ndicho chenye mawazo mazuri ya siasa za Tanzania kuliko kikundi chochote.
 
Tanzania pia inahitaji filamu nyingine nyeti kabisa inayohusu #FURSA zilizopo Tanzania,maeneo ya kilimo, madini yalipo,aina za madini zilizopo,ya metali na Vito uvuvi na nk.

Kwa ukubwa wa bahari tuliyonayo kitoweo cha Samaki kilipaswa kuwa kingi kwa bei ndogo kabisa.
Kwenye madini, vito, gesi na uvuvi wa bahari kuu tusijisumbue .. Tumeshaliwa.. Sio vyetu tena...[emoji25][emoji29][emoji26][emoji29]
 
Akizungumza baada ya kurejea Nchini Tanzania kutoka Marekani, amesema Watanzania wategemee matunda kutoka Filamu ya TheRoyalTour na Nchi ijitayarishe kupokea wageni wengi

Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii[emoji15][emoji3064][emoji848][emoji2827]

zingatia neno WAFANYABIASHARA ndio waliofadhili
Hao wafanyabiashara watarudishaje mapesa yao maana sitaki kuamini kuwa wamefanya bure.
 
Hao wafanyabiashara watarudishaje mapesa yao maana sitaki kuamini kuwa wamefanya bure.
Ikiisha itwa biashara ina lengo moja tuu FAIDA kwenye fursa yoyote inayojitokeza..! Nikichangia B1 nimeshaona fursa ya kurudisha as twice as much .. Biashara sio huduma ya kiroho[emoji848][emoji2827]
 
Kwa hiki kizazi Mshana Jr ni vigumu sana. Yaani wachambuzi wengi they’re eyeing for appointment na kuogopa kusulubiwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Jana nimemsikiliza Dr Slaa kwenye Clubhouse hakika huyu mzee ni hazina kubwa mno kwa taifa na Mbowe alimu abuse sana. Watu tungekuwa na utamaduni kama wa Dkt Slaa nakuhakikishia tungekuwa na mijadala yenye manufaa. Ila kwa sasa unakuta mchambuzi hata hajafanya hata ka utafiti kidogo kuhusu hoja husika anachokifanya ni kutumia hisia zake. Mfano mmoja Dkt Slaa alisema yeye alitoa kitabu miaka kazaa juu ya maisha yake na siasa na moja ya jambo alilolieleza mule ni Mbowe kuhusika na kuteka watu ili serikali ya Dkt JK enzi zile isingiziwe, ila washiriki wengi hawajawahi kusoma kile kitabu na matokeo yake walikuwa wanambishia Dkt Slaa na kutoa maneno ya kukatisha tamaa na kujiona wao ndiyo eti wapo sahihi. Kwa ujumla watanzania ni waumini wa uongo unao fariji, yaani ni waumini wa siasa. Yaani unakuta CCM wanajiona wao wapo sahihi zaidi na hoja zao ndiyo muhimu na za wapinzani hazifai au unakuta kikundi cha Mbowe kinajiona chenyewe ndicho chenye mawazo mazuri ya siasa za Tanzania kuliko kikundi chochote.
Ningependa kupata nakala ya kitabu cha Dr. Slaa .. Sitachangia kitu kwenye hizo tuhuma mpaka nikisome hicho kitabu ambacho nadhani hakijasomwa na wengi.. Je ana online soft copy?
 
Ikiisha itwa biashara ina lengo moja tuu FAIDA kwenye fursa yoyote inayojitokeza..! Nikichangia B1 nimeshaona fursa ya kurudisha as twice as much .. Biashara sio huduma ya kiroho[emoji848][emoji2827]
Tumeshaona madhara ya Rais kuwa karibu sana na wafanya biashara . Hatujajifunza.

Naona tumerejea kule kule.

Tusubiri kusikia tena kashfa kama za awamu ile za kununuliana Suti.
 
Back
Top Bottom