Royal Tour ni kichocheo tu, mamlaka zisijisahau

Royal Tour ni kichocheo tu, mamlaka zisijisahau

[emoji3064][emoji15][emoji3064][emoji15]View attachment 2204471


Amesema Fedha za kutengeneza Filamu hiyo zimetokana na michango ya Wafanyabiashara mbalimbali Ndani na Nje ya sekta ya Utalii iliyoanguka kidogo kutokana na mlipuko wa COVID19
Mimi nawashauri mjikite kujua nia ya hao wachangiaji...
Anayway, kuna ndugu zetu wanaondolewa kwenye makazi yao kupisha uhifadhi. Wanakopelekwa wanapewa viwanja na kujengewa nyumba.
Ile bajeti pia tuulize ni ya nani, kwa faida ya nani, ili iwe nini? mbona ghafla sana?
 
Mimi nawashauri mjikite kujua nia ya hao wachangiaji...
Anayway, kuna ndugu zetu wanaondolewa kwenye makazi yao kupisha uhifadhi. Wanakopelekwa wanapewa viwanja na kujengewa nyumba.
Ile bajeti pia tuulize ni ya nani, kwa faida ya nani, ili iwe nini? mbona ghafla sana?
Kuna mpango mkakati nyuma ya pazia ya kumiliki eneo lote lile kwakuwa lina madini mapya na vitu vingine vingi vizuri ...wanapatamani mno baada ya kunogewa na Loliondo..
Washika dau wetu ni dhaifu sana wameoneshwa shekeli wamelegea tepetepe wameutupa uzalendo kule.. Kinachoniumiza sana jamaa wataichukua Ngorongoro na wanatakaokuja kuumia ni vizazi vyetu vijavyo[emoji24]
 
Japo ni haki lakini jiulize:
Idea ni yenu? Pesa ni zenu? Je, mtanunua movie?
Je, mtamudu gharama?
JamiiForums-1304643684.jpg
 
Hiyo movie imetengenezwa kwa kuzingatia matakwa na matarajio ya wenye idea yao... wenye fedha zao na watalii wanaotaka kuja kuona mazuri ya Tanzania.
It is very organic.
Najua pengine watu walitaka vitu nakshi nakshi ambavyo kwa asilimia kubwa si uhalisia wa tulivyo kwenye maisha yetu ya kila siku!

BIG UP TO ROYAL TOUR... IT HAS TO START SOMEWHERE!

NB: Ishu yangu kubwa ni je, ule uhamisho wa Masai kutoka Ngorongoro una uhusiano na Royal Tour?
Kama ndiyo kwa nini?
Kama hapana kivipi?
 
Hiyo movie imetengenezwa kwa kuzingatia matakwa na matarajio ya wenye idea yao... wenye fedha zao na watalii wanaotaka kuja kuona mazuri ya Tanzania.
It is very organic.
Najua pengine watu walitaka vitu nakshi nakshi ambavyo kwa asilimia kubwa si uhalisia wa tulivyo kwenye maisha yetu ya kila siku!

BIG UP TO ROYAL TOUR... IT HAS TO START SOMEWHERE!

NB: Ishu yangu kubwa ni je, ule uhamisho wa Masai kutoka Ngorongoro una uhusiano na Royal Tour?
Kama ndiyo kwa nini?
Kama hapana kivipi?
NB: Ishu yangu kubwa ni je, ule uhamisho wa Masai kutoka Ngorongoro una uhusiano na Royal Tour?
Kama ndiyo kwa nini?
Kama hapana kivipi?

Tujadili
 
Dah tumepigwa na kitu kizito[emoji24]
Screenshot_20220505-132435.jpg
 
Back
Top Bottom