Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Basics tu zinatushinda kama nishati ni aghali bidhaa zetu bei juu finished product haiwezi kupambana na products za nje unataka tufanye biashara gani ambayo hatufanyi sasa hivi (kuwauzia nchi na kuwapa raw materials wakati sisi tunanunua finished products kutoka kwao)!!!
Ndani tu tumeshindwa kuweka mambo sawa unategemea nje tutaweza collectively...
Of course mmoja mmoja wanaweza kina Bhakresa kusupply chakula huko nje au vijana kazi zao (kina Diamond kuuza nje) hii dunia ishakuwa kijiji na mwiba wala sio wananchi bali ni fikra za viongozi.... (Short Sightedness) na shortcuts za kutafuta mwarobaini
By the way watalii hawaji kuona Serengeti sababu ya Filamu waliyoiona bali sababu its a Natural Wonder of the Earth...
Ndani tu tumeshindwa kuweka mambo sawa unategemea nje tutaweza collectively...
Of course mmoja mmoja wanaweza kina Bhakresa kusupply chakula huko nje au vijana kazi zao (kina Diamond kuuza nje) hii dunia ishakuwa kijiji na mwiba wala sio wananchi bali ni fikra za viongozi.... (Short Sightedness) na shortcuts za kutafuta mwarobaini
By the way watalii hawaji kuona Serengeti sababu ya Filamu waliyoiona bali sababu its a Natural Wonder of the Earth...