Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
- Thread starter
- #21
Unajua kusoma na kuandika? Uliishia la ngapi?wataalamu wameshaanza kuzifanyia kazi kodi zote ambazo zilikuwa ndio chanzo cha kuanza kupoteza watalii wetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kusoma na kuandika? Uliishia la ngapi?wataalamu wameshaanza kuzifanyia kazi kodi zote ambazo zilikuwa ndio chanzo cha kuanza kupoteza watalii wetu
Wewe ni kubwa jinga usiejitambua hutakiwi kuchangia mada yoyote hapa JF.Mleta mada anaishi na maumivu ya moyo, hakuna wa kumsaidia.
Mjinga ni wewe unayepinga kila kitu, nongwa zimekujaa na ndio ishara ya utupu kichwani.Wewe ni kubwa jinga usiejitambua hutakiwi kuchangia mada yoyote hapa JF.
Sina muda wa kubishana mpuuziMjinga ni wewe unayepinga kila kitu, nongwa zimekujaa na ndio ishara ya utupu kichwani.
Watanzania hawana jema aiseeee. Mkikuta zile jezi zilizo andikwa visit Rwanda utasikia kanchi kadogo tu angalia kanavyojitangaza. Tukifanya sie kujitangaza utasikia upotevu wa hela. Ebwana Eeehhh ni moja ya hatua katika kujitangaza. Kwani wale walioandika VISIT RWANDA si yanaonekana maandishi tu afu pesa waliyoweka ni mabilions mengi. Ingekua bongo sasa hahhaah. In capitalism kama hujitangazi sahauNchi kama misri na Southa Afrivca zina pata pesa nyingi kupitia utalii wa mali kale historia.
Angalia senema ya Royal tour haijakuwa na nia tjabiti kupromote utalii bali usanii wa kutafuna pesa za wananchi.
Inaonyesha viongozi wanavua samaki na wachimba migodi wanazama mgodini for what?
Mtalii gani hajui habari za mlima kilimanjaro na wanyama wa Serengeti.
Kwa nini msiandae makala maalumu ajili ya utalii wa mali kale na historia?
Au ndio kutwanga watu na vyuma vizito bila huruma?
👇
Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia
Msanii ni kipaji sio madarasa. Kwa waangalie wale waigizaji wa Hollywood au wasanii wengi wa rap au music yoyote duniani wengi wali dropouts darasani.Matumizi mabaya ya pesa ya walipa kodi
Nchi ina wendawazimu wengi
Eti royotour Na wasanii walioishia darasa la tano tutafika kweli?
Hii siyo fani yako achana nayo. Strategically huwezi kiweka kila kitu kwenye film itakuwa kupoteza direction. Producer ame aim at Big Four ambayo ni 20% ya vivutio vyote lakini vinaingiza 80% ya Tourism revenue ie Serengeti, Ngorongoro, Mt Kilimanjaro & Zanzibar. Hiyo ndiyo Pareto Optimality au 80%/ 20% Principle, nenda kaisome kwenye theories za uchumi uelewe. Maana wewe ni mburula tuNchi kama misri na Southa Afrivca zina pata pesa nyingi kupitia utalii wa mali kale historia.
Angalia senema ya Royal tour haijakuwa na nia tjabiti kupromote utalii bali usanii wa kutafuna pesa za wananchi.
Inaonyesha viongozi wanavua samaki na wachimba migodi wanazama mgodini for what?
Mtalii gani hajui habari za mlima kilimanjaro na wanyama wa Serengeti.
Kwa nini msiandae makala maalumu ajili ya utalii wa mali kale na historia?
Au ndio kutwanga watu na vyuma vizito bila huruma?
👇
Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻 umemjibu vzr mkuu.Hii siyo fani yako achana nayo. Strategically huwezi kiweka kila kitu kwenye film itakuwa kupoteza direction. Producer ame aim at Big Four ambayo ni 20% ya vivutio vyote lakini vinaingiza 80% ya Tourism revenue ie Serengeti, Ngorongoro, Mt Kilimanjaro & Zanzibar. Hiyo ndiyo Pareto Optimality au 80%/ 20% Principle, nenda kaisome kwenye theories za uchumi uelewe. Maana wewe ni mburula tu
Mshana Jr are you telling the truth? Hii kwa Peter Greenberg siyo ya kwanza. Hebu weka majina ya Stars wa Royal Tours zifuatazo; Rwanda, New Zealand, Israel, Mexico na Ecuador?Ilikuwa ni kazi ya wizara ya utalii Lakini ikawa ndio hivyo tena... Mkuu mwenyewe akaenda front line...!
Ni mtalii gani wa dunia hii asiyejua habari za Serengeti, Ngorongoro Kilimanjari na Zanzibar mpaka mpoteze pesa kipuuzi namna hiyo?Hii siyo fani yako achana nayo. Strategically huwezi kiweka kila kitu kwenye film itakuwa kupoteza direction. Producer ame aim at Big Four ambayo ni 20% ya vivutio vyote lakini vinaingiza 80% ya Tourism revenue ie Serengeti, Ngorongoro, Mt Kilimanjaro & Zanzibar. Hiyo ndiyo Pareto Optimality au 80%/ 20% Principle, nenda kaisome kwenye theories za uchumi uelewe. Maana wewe ni mburula tu
Kazi ya kufanya promotion ya tourism ni ya Tanzania tourism board sio ya Dk Abas na wahuni wachache. Muelewe Mshana Kabla kukurupuka kama uharao. Fuatilia Royal tour za hizo nchi kama kuna ubwege kama huu.Mshana Jr are you telling the truth? Hii kwa Peter Greenberg siyo ya kwanza. Hebu weka majina ya Stars wa Royal Tours zifuatazo; Rwanda, New Zealand, Israel, Mexico na Ecuador?
Wote ni maRais wa nchi hakuna mtu mdogo na ndipo concept ya Royal Tour inapolamilika.
Hata kama mnchukia Rais SSH basi msiweke uwongo ku justfy hoja zenu
Sasa inakuaje wastage of time? Kwani hukuambiwa kwamba zinakuja series zingine zitafanya coverage kubwa?Nchi kama misri na Southa Afrivca zina pata pesa nyingi kupitia utalii wa mali kale historia.
Angalia senema ya Royal tour haijakuwa na nia tjabiti kupromote utalii bali usanii wa kutafuna pesa za wananchi.
Inaonyesha viongozi wanavua samaki na wachimba migodi wanazama mgodini for what?
Mtalii gani hajui habari za mlima kilimanjaro na wanyama wa Serengeti.
Kwa nini msiandae makala maalumu ajili ya utalii wa mali kale na historia?
Au ndio kutwanga watu na vyuma vizito bila huruma?
👇
Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia
Acha kusema hivyo kwani CCM wamekwisha mpongeza mama hatuwezi kuifuta.Nchi kama misri na Southa Afrivca zina pata pesa nyingi kupitia utalii wa mali kale historia.
Angalia senema ya Royal tour haijakuwa na nia tjabiti kupromote utalii bali usanii wa kutafuna pesa za wananchi.
Inaonyesha viongozi wanavua samaki na wachimba migodi wanazama mgodini for what?
Mtalii gani hajui habari za mlima kilimanjaro na wanyama wa Serengeti.
Kwa nini msiandae makala maalumu ajili ya utalii wa mali kale na historia?
Au ndio kutwanga watu na vyuma vizito bila huruma?
👇
Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia
Tuwaombee sanawataalamu wameshaanza kuzifanyia kazi kodi zote ambazo zilikuwa ndio chanzo cha kuanza kupoteza watalii wetu
Hatua nzuri sanakaribia 25% ya zile kodi 52 tayari zimeshapunguzwa na zitaendelea kupungua kadiri siku zinavyoenda baada ya wataalamu kuzichanganua
Alaa kumbe tumefuata mkumbo i thought tungeweza kuja kivingineMshana Jr are you telling the truth? Hii kwa Peter Greenberg siyo ya kwanza. Hebu weka majina ya Stars wa Royal Tours zifuatazo; Rwanda, New Zealand, Israel, Mexico na Ecuador?
Wote ni maRais wa nchi hakuna mtu mdogo na ndipo concept ya Royal Tour inapolamilika.
Hata kama mnchukia Rais SSH basi msiweke uwongo ku justfy hoja zenu
Nimefanikiwa kuhudhuria mojawapo ya high-level delegate meetings... Kwa watu wenye uelewa wajipange, kuna fursa zitamiminika sana kwenye tourism value chain.Nchi kama misri na Southa Afrivca zina pata pesa nyingi kupitia utalii wa mali kale historia.
Angalia senema ya Royal tour haijakuwa na nia tjabiti kupromote utalii bali usanii wa kutafuna pesa za wananchi.
Inaonyesha viongozi wanavua samaki na wachimba migodi wanazama mgodini for what?
Mtalii gani hajui habari za mlima kilimanjaro na wanyama wa Serengeti.
Kwa nini msiandae makala maalumu ajili ya utalii wa mali kale na historia?
Au ndio kutwanga watu na vyuma vizito bila huruma?
👇
Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia Tanzania inavyopoteza mapato utalii wa malikale, historia
Hajakosea . Amefanya mpango maalumu.Alaa kumbe tumefuata mkumbo i thought tungeweza kuja kivingine
BTW sina chembe ya chuki na rais.. Nampenda sana lakini naye ni binadamu kama wewe na Mimi anaweza kukosea pia