Royal Tour ya Rais Samia yaanza kujibu | Rapper Rick Ross kuwekeza karibu Tshs 8.1bl Tanzania

Royal Tour ya Rais Samia yaanza kujibu | Rapper Rick Ross kuwekeza karibu Tshs 8.1bl Tanzania

#happy birthday Tanganyika

Rais wangu Samia Suluhu Hassan anawezaje kujenga SGR kilometa 1,063 kwa TZS 10.1T | SG kwa TZS 6.5T na miradi mingine huku akiachilia vicheko kwa makundi mbalimbali ya watanzania,​

" Hakuna kama Samia "​


Ukichukua gharama za miradi miwili mikubwa ya SGR na SG|JNHPP inayoendelea kwa sasa yaani SGR Isaka -Mwanza kilometa 341 kwa TZS 3.02trl ,Makutupora-Morogoro kilometa 422 kwa TZS 4.4trl ,Dar -Morogoro kilometa 300 kwa TZS 2.7trl na SG|JNHPP $2.9BL au TZS 6.55trl Jumla yake ni Tshs 16.6trl achilia mbali miradi mingine mipya na ile iliyoachwa na Hayati Rais Dkt John Joseph Pombe Magufuli miradi hii yote Rais Samia Suluhu Hassan anaziendeleza tena kwa BOQ zilezile,
===
Kutoka kwa Rais Samia kinachonivutia zaidi ni hivi vicheko kwa haya makundi mbalimbali najiuliza amewezaje yote haya yaliyowashinda watangulizi wake tena waliojiita wanaume wa shoka?!
===
Kicheko cha Rais Samia na wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Mpaka Rais Samia anaingia madarakani zaidi ya watoto wa masikini elfu 11 hawakupewa mikopo,Leo tayari ameongeza Tshs 106BL sawa na 23% yaani kutoka Tshs 464BL FY2020|21 hadi 570BL FY2021|22 na kufanya kila mtoto wa masikini aliyefaulu kwenda chuo kikuu kupatiwa mkopo bila kujali historia ya alikosomea,
===
Rais Samia amefuta kabisa ile 6% ya ada ya thamani ya mkopo ( Value Retention Fee-VRF ) kwenye mikopo hiyo na Sasa wanufaika hao watakatwa 9% tu ( single digits) FY2021|22 kutoka 15% ya FY2020|21,Kwa lugha rahisi take home za watu hawa zimepaa kwa 6% nivicheko kila kona ya nchi na Rais Samia Suluhu Hassan,
===
Kicheko cha Rais Samia na Wafanyakazi,Sote tunafahamu,kwa miaka mitano ( 5 ) mfululizo tumeshuhudia wafanyakazi wa Umma hawajapandishwa vyeo|madaraja,lakini ndani ya miezi hii michache mama ameshatoa TZS 509BL, kwenye bajeti ya FY2021|22 Yaani 449BL za madaraja|vyeo na 60BL za malimbikizo ya mishahara na tayari Pesa hizi zimeleta vicheko kwa wafanyakazi,
===
Rais Samia amepunguza kodi (PAYE) toka 9% FY2020|21 mpaka 8% hivi sasa,Kwa utendaji huu hivi Wafanyakazi mnamtaka nani zaidi kama sio Rais Samia? kwa lugha rahisi FY2021|22 ameongeza mishahara ya wafanyakazi wote wa Serikali na binafsi kwa 1% kwa kuwarudishia hiyo 1% ya mishahara yao, na kwakufanya hivyo Serikali itatumia|itapoteza kiasi cha Tshs 14.1781BL kwenye bajeti yake ya FY2021|22 fedha ambayo itarudishwa kwa wafanyakazi kama nyongeza ya mishahara yao
===
Kicheko cha Rais Samia na wasio Ajiriwa,kwa mara ya mwisho ilikuwa FY2015|16 wakati wa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete alipoachilia ajira mpya elfu 52 trh 01|05|2015,Leo ni miaka mitano imepita ila kwa miezi michache ya Mama Samia tunashuhudia tena ajira mpya za Serikali elfu 40 kwa FY2021|22 kwa gharama ya Tshs 239BL na 120BL kwaajili ya kubadili muundo wa Utumishi,
===
Maajabu zaidi ya Mama Samia tayari amesajili miradi mikubwa mipya 93 yenye thamani ya $1.6BL karibu TZS 3.23trl ambayo nayo itaajiri watu 23,600 na kufanya ndani ya hivi vimiezi vichache Rais Samia atatoa Jumla ya nafasi 53,600 za ajira achilia mbali miradi mingine mingi ya sekta binafsi|Umma inayoendelea kutoa ajira lengo likiwa ni kufikia ajira 8M ifikapo mwaka 2025 kama Ilani inavyotaka,
===
Kicheko cha Rais Samia Majimboni,Bila kujali ukubwa wa jimbo Rais Samia FY2021|22 ameshatoa TZS 132BL sawa na Tshs 500M katika kila Jimbo kwa majimbo yote 264 kama fedha za maendeleo ya Jimbo hizi ni mbali na fedha za mfuko wa Jimbo,fedha hizi zimerudisha tabasamu kwa Wabunge hasa wa Majimbo,
===
Mama Samia ametoa tena TZS 322.158BL kama bajeti ya nyongeza kwaajili ya Ujenzi wa Vyumba 10,000 vya madarasa Zahanati 555,Vituo vya afya 121,
===
Rais Samia hakuishia hapo bajeti ya TARURA pia ameiongeza kwa 254% yaani kutoka 273BL FY 2020|21 hadi 966.43BL FY2021|22 ili kumaliza kila barabara korofi Mjini na Vijijini|,Nimwendo wa vicheko tu Watanzania tumtake nani kama sio Samia?
===
Kicheko cha Rais Samia na wafanyabiashara|Wawekezaji, Mhe Rais Samia Ndio rais pekee aliyetangaza hadharani kuwa hahitaji kodi za Kishetani na akafuta jumla ya kodi|tozo zote kandamizi zipatazo 232 FY2021|22 bila kujali hasara ya Tshs 55.49997BL ambayo Serikali yake itapata kwa kuondoa tozo|kodi hizo nia yake aongeze idadi ya walipa kodi kutoka 3.4M waliopo na matokeo tayari wote tumeanza tumeyaona .
===
Nchi hii tangu tupate uhuru sijawahi kusikia tozo|kodi zaidi ya 230 zikifutwa kwa kwamkupuo Kama ambavyo mama ameachilia kicheko hiki kwani hataki kabisa Tax economy hakika kesho yetu ni bora sana,
===
Pamoja na kukataa kodi za kishetani na kuondoa tozo kandamizi bado Miradi yote ya Watangulizi wake anaiendeleza sawasawa ikiwemo SGR $4.64BL au TZS 10.2trl,SG $2.9BL au TZS 6.5trl,Ununuzi wa ndege mpya,barabara zote ujenzi unaendelea, madaraja yote,meli zote,
===
Pamoja na haya yote kufanyika bado Wafanyakazi wetu ni vicheko,Wafanyabiashara|wawekezaji wetu ni vicheko,bodaboda wetu ni vicheko, machinga wetu ni vicheko,wanafunzi wetu hasa wa elimu ya juu ni vicheko, wafugaji wetu ni vicheko,wakulima wetu ni vicheko, Wapinzani nao ni vicheko hata wewe unayesoma naamini, Tayari na wewe unakicheko chako umecheka na Mama Samia Suluhu
===
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"
===


View attachment 2006380
 
Aiseee we jamaa ni kituko kabisa....... pamoja na hizo story za Ross kamwe awezi wekeza tanzania ... itabaki story ,,,,,, hivi uhusiano wa hii story na royal tour uko wapi?
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

👇🏿👇🏿

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Nawasalimu kwa jina la JMT,

|Rapper maarufu duniani raia wa Marekani Mr William Leonard Roberts II a.k.a Rick Ross aonesha nia ya kuwekeza Tanzania kiasi cha $3.5M karibu Tshs 8.1BL katika sekta ya Ujenzi|mali zisizohamishika|

|Rick Ross kufika tu Tanzania tayari tutavuna waatali wengine wengi kwa mgongo wake kama mtu maarufu dunaini |

|Katika kile kinachoonekana kama matokeo ya "ROYAL TOUR FIRM " hata kabla ya uzinduzi wake rasmi tayari mambo yameanza kujibu|

|Tuendelee kuiombea nchi yetu pamoja na Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan|

👇🏿👇🏿

________________
Dar es Salaam. American rapper Rick Ross has said he is ready to invest a tune of $3.5 million( Sh8.1 billion) in real estate in Tanzania.

Ross whose real name is William Leonard Roberts II has a net worth of $40 Million mainly from music but is also an entrepreneur.

His main business venture is owning several Wingstop restaurants in the US.

The Maybach Music Group boss revealed in an interview with presenter Omary Tambwe alias Lil Ommy through a zoom video conferencing.

Lil Ommy suggested three places in the country that are potential investment spots, which include commercial capital Dar es Salaam, Arusha and Zanzibar.

Replying to the suggestions Ross said: I love being around water but I want to be around people too, so if I spend $3.5 million I will have something amazing.

Apart from investing in real estate the 45-year-old rapper said he will visit Mount Kilimanjaro and spend one week there.

“I have been hearing of Serengeti and Kilimanjaro my whole life, me being an artiste, entrepreneur and a boss it takes up to 10 years to get your feet planned to enjoy the ground,’
“I am at the point where I have time and I can afford to go to Kilimanjaro to enjoy being there for a week,” he said.

Kazi iendelee

VIVA TANZANIA VIVA || VIVA SAMIA VIVA
Najaribu kuwaza kwa Sauti kama sio Rais Samia Suluhu leo Tanzania tungekuwa wapi?
 
Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
"Team JF "

Kama maambukizi ya COVID -19 yanaongezeka siku hadi siku, nilazima kuchanja kwa hiari ili kujinga,

#Kuwa Supa kachanje,
 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
Bilioni 8 kwenye real estate mbona hela ndogo sana hiyo.
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hujui hata ndg zako wanaweza kupata ajira?

Msipoangalia na mkaingia kichwa kichwa na hawa wawekezaji msijemkajikuta mnabadilisha migodi ya Nickel kwa vyandarua vya mbu!!! Simply because mnaambiwa wanaleta ajira!!!
 
Msipoangalia na mkaingia kichwa kichwa na hawa wawekezaji msijemkajikuta mnabadilisha migodi ya Nickel kwa vyandarua vya mbu!!! Simply because mnaambiwa wanaleta ajira!!!
Uko sahihi kwa 100% ,Umakini unahitajika sana
 
Back
Top Bottom