The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
- Thread starter
-
- #61
Na Hawa wanadanganya?πKwa jinsi ambavyo tumeshazoea kudanganganywa na the establishment,the 1.2 million figure of tourists will remain a myth,na kwanza hiyo figure inamsaidia nini mwananchi wa kawaida.Mwananchi wa kawaida anahitaji positive change in his pocket,sio figures ambazo hata hawawezi kuzi-prove.
Na Hawa wanadanganya?π
Na mimi nomeshangaa. Mbona ndiyo data za siku zote hizo. Uchawa mwingineAngalia takwimu za miaka iliyopita [emoji116]View attachment 2472088
Roma haikujengwa siku moja. Tunasonga mbele siyo kama tulivyokuwa tunalishwa Matango poriHongera na kazi wadau.
Nitumie fursa hii kueleza habari njema za Royal Tour.
Idadi ya Watalii Waliotembelea Tanzania kwa miezi 11 ya mwaka 2022 wamefikia Milioni Moja na Laki mbili(1,200,000).
Hizi Ni habari njema zikizoletwa na Royal tour na bila shaka Hadi Mwisho wa mwezi wa 12 Idadi ya Watalii itavuka 1.3Mil.
Bila Shaka huko tuendako Mambo yanaweza kuwa mazuri ikizingatia Tanzania umeweka lengo la kufikia Idadi ya Watalii mil.5 mwaka 2025.
Hongera zenu Ila bado sana kuwafikia Egypt, Morocco, South Africa nk.[emoji116]
I have never trusted the WEF,it's a bunch of liars,hipocrites,hooligans and eugenists.Anyway, kama ni kweli basi tuone real changes in the lives of our people,otherwise the 1.2 million figure is useless.Na Hawa wanadanganya?π
Kama huamini Ni shida zako binafsi , actually Ni 1.4 millions Hadi disemba..I have never trusted the WEF,it's a bunch of liars,hipocrites,hooligans and eugenists.Anyway, kama ni kweli basi tuone real changes in the lives of our people,otherwise the 1.2 million figure is useless.
Nasema sikatai hizo figures.Ninachosema ni kwamba the figures must translate into real life changes to our people.Vinginevyo hazina maana yeyote.I hope you understand me.Kama huamini Ni shida zako binafsi , actually Ni 1.4 millions Hadi disemba..
Soma hapa π
Kila mtu ana dhana yake, maana mtu akiona dege kubwa tu anajua limekuja kubeba wanyama, na ukifatilia kwa undani kumbe dege lilibeba mauwa, halafu mtu anaonyesha picha ya ndege haweki japo ka ushahidi kidogo watu wakaelewaNani kakwambia imekuja kubeba wanyama?
Hivi nyie watu huwaga mnatumia nini kufikili kwasababu wanyama wanazaliana lazima wapunguzwe msilazimishe mambo yakawaida kuonekana yaajabuHuu utalii ni danganya toto kama wanyama wanahamishwa na midege mikubwa kwenda uarabuni.
Kwa hiyo wanapunguzwa kwa kusafirishwa nga'mbo? huna akili!Hivi nyie watu huwaga mnatumia nini kufikili kwasababu wanyama wanazaliana lazima wapunguzwe msilazimishe mambo yakawaida kuonekana yaajabu
Swali zuri,Naomba takwin za kipindi kama hicho kabla ya covid pandemic
Sasa hapa unafurahia nn we kwa ufahamu wako wa nchi yetu ilivyo na vivutio vingi na adimu vya utalii kuwa namba 8 Afrika ni sawa kweli?!.Na Hawa wanadanganya?π
Nani kasema Ni sawa? Unadhani Watalii wanajileta tuu bila promotion? Na promotion Ni Pesa sio bureSasa hapa unafurahia nn we kwa ufahamu wako wa nchi yetu ilivyo na vivutio vingi na adimu vya utalii kuwa namba 8 Afrika ni sawa kweli?!.
Yaani tumezidiwa hata na Kenya.
Nchi yetu ingekuwa na mipango dhabiti tulipaswa kuwa namba 1 kwa utalii barani Afrika unashangaza unavyofurahia kuwa wa 8!.
Ni dhahiri hauujui utalii sema maadam umekuwa chawa basi ni mwendo wa kushangilia tu chochote kama zuzu.
Hapa π
Ripoti yako ingalipendeza zaidi kama:Hongera na kazi wadau.
Nitumie fursa hii kueleza habari njema za Royal Tour.
Idadi ya Watalii Waliotembelea Tanzania kwa miezi 11 ya mwaka 2022 wamefikia Milioni Moja na Laki mbili(1,200,000).
Hizi Ni habari njema zikizoletwa na Royal tour na bila shaka Hadi Mwisho wa mwezi wa 12 Idadi ya Watalii itavuka 1.3Mil.
Bila Shaka huko tuendako Mambo yanaweza kuwa mazuri ikizingatia Tanzania umeweka lengo la kufikia Idadi ya Watalii mil.5 mwaka 2025.
Hongera zenu Ila bado sana kuwafikia Egypt, Morocco, South Africa nk.π
hiyo nibiashara kama biashara nyingine ndio maana wapo watu wanao hakikisha usalama wameajiliwa nawanalipwaKwa hiyo wanapunguzwa kwa kusafirishwa nga'mbo? huna akili!
Umeshahu kutaja takwimu za awali kabla ya Royal TourHongera na kazi wadau.
Nitumie fursa hii kueleza habari njema za Royal Tour.
Idadi ya Watalii Waliotembelea Tanzania kwa miezi 11 ya mwaka 2022 wamefikia Milioni Moja na Laki mbili(1,200,000).
Hizi Ni habari njema zikizoletwa na Royal tour na bila shaka Hadi Mwisho wa mwezi wa 12 Idadi ya Watalii itavuka 1.3Mil.
Bila Shaka huko tuendako Mambo yanaweza kuwa mazuri ikizingatia Tanzania umeweka lengo la kufikia Idadi ya Watalii mil.5 mwaka 2025.
Hongera zenu Ila bado sana kuwafikia Egypt, Morocco, South Africa nk.π