Royal Tour yajibu! Ndani ya miezi 11 tu watalii waliotembelea Tanzania wafikia milioni 1.2

Royal Tour yajibu! Ndani ya miezi 11 tu watalii waliotembelea Tanzania wafikia milioni 1.2

Wazungu wameona wapi hiyo tamthilia ya royal tour na kuamua kuja Tz???

Hii nchi wapuuzi ni wengi.
 
Hongera na kazi wadau.

Nitumie fursa hii kueleza habari njema za Royal Tour.

Idadi ya Watalii Waliotembelea Tanzania kwa miezi 11 ya mwaka 2022 wamefikia Milioni Moja na Laki mbili(1,200,000).

Hizi Ni habari njema zikizoletwa na Royal tour na bila shaka Hadi Mwisho wa mwezi wa 12 Idadi ya Watalii itavuka 1.3Mil.

Bila Shaka huko tuendako Mambo yanaweza kuwa mazuri ikizingatia Tanzania umeweka lengo la kufikia Idadi ya Watalii mil.5 mwaka 2025.

Hongera zenu Ila bado sana kuwafikia Egypt, Morocco, South Africa nk.[emoji116]

Kabla ya hayo maigizo ya mama yako walikuwa wakija watalii wangapi kwa mwaka?
 
Hazipo. Kwa mfano, kabla ya Royal Tour, tuseme mwaka 2021, idadi hiyo ilikuwaje? Inabidi idadi hiyo tuijue ili tuweze kufanya forecast ya ongezeko hilo kwa mwaka 2023
Soma humo wameandika we vipi? Hata heading huoni hapo inasema 2019 walikuwa 1.5 mln?
 
Back
Top Bottom