Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wazungu wameona wapi hiyo tamthilia ya royal tour na kuamua kuja Tz???
Hii nchi wapuuzi ni wengi.
Hii nchi wapuuzi ni wengi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo hapo kwenye articleUmeshahu kutaja takwimu za awali kabla ya Royal Tour
Hazipo. Kwa mfano, kabla ya Royal Tour, tuseme mwaka 2021, idadi hiyo ilikuwaje? Inabidi idadi hiyo tuijue ili tuweze kufanya forecast ya ongezeko hilo kwa mwaka 2023Zipo hapo kwenye article
Kabla ya hayo maigizo ya mama yako walikuwa wakija watalii wangapi kwa mwaka?Hongera na kazi wadau.
Nitumie fursa hii kueleza habari njema za Royal Tour.
Idadi ya Watalii Waliotembelea Tanzania kwa miezi 11 ya mwaka 2022 wamefikia Milioni Moja na Laki mbili(1,200,000).
Hizi Ni habari njema zikizoletwa na Royal tour na bila shaka Hadi Mwisho wa mwezi wa 12 Idadi ya Watalii itavuka 1.3Mil.
Bila Shaka huko tuendako Mambo yanaweza kuwa mazuri ikizingatia Tanzania umeweka lengo la kufikia Idadi ya Watalii mil.5 mwaka 2025.
Hongera zenu Ila bado sana kuwafikia Egypt, Morocco, South Africa nk.[emoji116]
Pole Kama shule ulienda kukua na kichwa unafugia nywele na kubebea meno tuuKabla ya hayo maigizo ya mama yako walikuwa wakija watalii wangapi kwa mwaka?
Soma humo wameandika we vipi? Hata heading huoni hapo inasema 2019 walikuwa 1.5 mln?Hazipo. Kwa mfano, kabla ya Royal Tour, tuseme mwaka 2021, idadi hiyo ilikuwaje? Inabidi idadi hiyo tuijue ili tuweze kufanya forecast ya ongezeko hilo kwa mwaka 2023