Buyaka
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 1,705
- 1,953
Ma RPC wana kawaida ya kuja kwenye press conference kuonyesha mabunduki ya majambazi, masimu yaliobiwa, ma cash money, mikuki, mapanga, na kuyabwaga mezani pwaaaaa.....
Sasa kuna polisi kauliwa Ngorongoro, allegedly.
KABLA hujagusa maiti na kuibeba polisi na wachunguzi duniani kote hukusanya kwanza vitu vitakavyohitajika mahakamani na pia vile vya binafsi vitakavyorudishiwa familia.
Viko wapi hivi:
MURDER SCENE PHOTOS
FINGERPRINTS
MURDER WEAPON (MSHALE)
BLOOD SAMPLES (for DNA analysis)
SERVICE WEAPON
PERSONAL EFFECTS (cellphone, wallet, military insignia, service badge, uniform, wedding bandetc etc.)
.=================
Mmedanganya kuhusu hali ya vurugu Ngorongoro, hakuna anaewaamini. Onyesheni hizi crime scene evidence.
Pia soma - RPC Arusha: Tutawatafuta Watu waliomuua askari wetu Usiku na Mchana hadi tuwatie mbaroni
Sasa kuna polisi kauliwa Ngorongoro, allegedly.
KABLA hujagusa maiti na kuibeba polisi na wachunguzi duniani kote hukusanya kwanza vitu vitakavyohitajika mahakamani na pia vile vya binafsi vitakavyorudishiwa familia.
Viko wapi hivi:
MURDER SCENE PHOTOS
FINGERPRINTS
MURDER WEAPON (MSHALE)
BLOOD SAMPLES (for DNA analysis)
SERVICE WEAPON
PERSONAL EFFECTS (cellphone, wallet, military insignia, service badge, uniform, wedding bandetc etc.)
.=================
Mmedanganya kuhusu hali ya vurugu Ngorongoro, hakuna anaewaamini. Onyesheni hizi crime scene evidence.
Pia soma - RPC Arusha: Tutawatafuta Watu waliomuua askari wetu Usiku na Mchana hadi tuwatie mbaroni