RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Unajamba seat ya mbele tunakuhamiahia seat ya nyuma. Gari hilohilo.

Sad enough ni kwamba, aliyechukua nafasi yake ni George Katabazi. Aliyekuwa RPC wa manyara, aliyesimamia kesi ya aliyemuingizia chupa kijana wa kiume makaliona.

#COYG
George katabazi huyu huyu wa manyara?
 
Kwa nini ahamishwe ilitakiwa afutwe kazi aende nyumbani kulea watoto,kodi zetu haziwezi kumlipia Msaliti kama huyo.
 
Mimi ni aina ya watu Kama JPM sija angalia video Ila nimekua msomaji na mfuatiliaji wa hii saga kupitia JF na pia redion wasafi media

Kwenye jamii Kuna dada zetu Malaya na kwa ridhaa zao wanaamua kukubali kufanyiwa hivyo vitendo unakuta mtu (Malaya) kashindikana tabia za ajab kabisa alaf wakifanyiwa wanakimbilia haki za binadamu sijui katiba (malalamiko mengi)

All in all,
Kama kweli dada kaonewa Basi haki itendeke, sio TU kutendeka ionekane inatendeka

Ona Sasa afande anaingia matatizoni inamaana kabla afande Mallya hajafanya public speaking 🗣️ huwa hafanyi meeting na wataalan wake kujua ni Nini akazungumze kwa umma na Nini si Cha kuzungumza kwa UMMA (public speaking)
 
Good

Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka 😀😀🌹
In summary


Defending RPC, she was misquoted. Discrediting @MwananchiNews

For her thuggery, RPC is rewarded with a transfer to HQ. Must be nice

Half ass apology from @tanpol , rare 🔧🔨

Victim called Malaya & all sorts of names. No apology to her

Infuriating to say the least
 
Mpumbavu sana, hivi mwanamke anayejiuza anaweza kuomba maji halafu wanaomuingilia wanamtishia kumpiga na chupa…
Madume matano yanamfi*a na mmojawapo anasikika akisema, “Zamu yangu ikifika nataka mavi”
A lot of the times, police will talk trash or “bully” because they want to play hard ili kuwafurahisha watawala. STUPIDITY
 
ni katika kuimarisha, kuboresha na kuongeza ufanisi wa utendaji wa serikali na taasisi za umma, mabadiliko, teuzi na tenguzi hufanyika, na si vinginevyo ama kuna Tatizo mrangi?🐒
Ndio hizi reshuffle mbovu mnazofanya za wakurupukaji and an arrogant RPC??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…