RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Unajamba seat ya mbele tunakuhamiahia seat ya nyuma. Gari hilohilo.

Sad enough ni kwamba, aliyechukua nafasi yake ni George Katabazi. Aliyekuwa RPC wa manyara, aliyesimamia kesi ya aliyemuingizia chupa kijana wa kiume makaliona.

#COYG
George katabazi huyu huyu wa manyara?
 
Kwa nini ahamishwe ilitakiwa afutwe kazi aende nyumbani kulea watoto,kodi zetu haziwezi kumlipia Msaliti kama huyo.
 
Tumeona taarifa kwenye vyombo vya habari yenye kichwa cha habari kinachosema, "RPC; ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA", kauli inayodaiwa kutolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. Hayo yametokana na mazungumzo kwa njia ya simu na Mwandishi wa gazeti la Mwananchi ambaye miongoni mwa maswali aliyomuuliza kamanda (mwandishi huyo), Je upelelezi wa kesi umekamilika? na swali lingine alilomuuliza inadaiwa alikuwa anajiuza? Majibu ya kamanda aliyomjibu mwandishi huyo ni kwamba hata kama ni hivyo hangestahili kutendewa hivyo.

Pia soma>> Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa kauli hiyo kama inavyoonekana kwenye hicho kichwa cha habari siyo msimamo wa Jeshi la Polisi kauli sahihi ni kama zilivyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi kwa umma Agosti 4,6 na 9,2024. Vilevile tungependa kujulisha kuwa watuhumiwa watafikishwa mahakamani leo Agosti 19,2024.

Jeshi la Polisi lingependa kuomba radhi kwa kila mmoja aliyeguswa na kuchukizwa na kauli hiyo inayosambaa kwenye vyombo vya habari wakati ufuatiliaji ukifanyika kupata usahihi wake. Aidha wakati uchunguzi huo wa kupata usahihi wa kauli hizo, Mkuu wa Jeshi la Polisi amefanya mabadiliko madogo kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP Theopista Mallya kwenda Makao Makuu ya Polisi Dodoma na nafasi yake inachukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP George Katabazi.

Mimi ni aina ya watu Kama JPM sija angalia video Ila nimekua msomaji na mfuatiliaji wa hii saga kupitia JF na pia redion wasafi media

Kwenye jamii Kuna dada zetu Malaya na kwa ridhaa zao wanaamua kukubali kufanyiwa hivyo vitendo unakuta mtu (Malaya) kashindikana tabia za ajab kabisa alaf wakifanyiwa wanakimbilia haki za binadamu sijui katiba (malalamiko mengi)

All in all,
Kama kweli dada kaonewa Basi haki itendeke, sio TU kutendeka ionekane inatendeka

Ona Sasa afande anaingia matatizoni inamaana kabla afande Mallya hajafanya public speaking 🗣️ huwa hafanyi meeting na wataalan wake kujua ni Nini akazungumze kwa umma na Nini si Cha kuzungumza kwa UMMA (public speaking)
 
Good

Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka 😀😀🌹
In summary


Defending RPC, she was misquoted. Discrediting @MwananchiNews

For her thuggery, RPC is rewarded with a transfer to HQ. Must be nice

Half ass apology from @tanpol , rare 🔧🔨

Victim called Malaya & all sorts of names. No apology to her

Infuriating to say the least
 
Ilitakiwa kufukuzwa kazi na kumshtaki mahakamani.
Hii ndo ile hatuko salama kwa viongozi dizain hii.
Mfumo wa CCM umeoza hauna jipya.
Wanapwaya.
Wenye uwezo wa nafasi nyingi za utendaji,wanasota mitaani.
Vilaza vya baba kanituma ndo yamejazana kwenye ofisi za umma.

Serikali inazidiwa na secta binafsi ktk utendaji.

Secta binafsi,wako active kwa Kila jambo,hakuna janja janja.

Ifikie hatua,serikali ufanye kazi kwa watumishi kwa mikataba ya mda mfupi.

Mtu unaendabkusoma VETA udereva.
Anaweza akapewa gari,ila haijalishi una gari au huna.
Leseni yako Kuna mda inatakiwa ukairenew.Secta binafsi,unafanya kazi k2a mikatabq.inatakiwa serikqlini iwe Ivo.
Ndi maana wanasiasa wanacheza na mda maana kazi zao au vyeo vyao ni vya mda.
Mpumbavu sana, hivi mwanamke anayejiuza anaweza kuomba maji halafu wanaomuingilia wanamtishia kumpiga na chupa…
Madume matano yanamfi*a na mmojawapo anasikika akisema, “Zamu yangu ikifika nataka mavi”
A lot of the times, police will talk trash or “bully” because they want to play hard ili kuwafurahisha watawala. STUPIDITY
 
ni katika kuimarisha, kuboresha na kuongeza ufanisi wa utendaji wa serikali na taasisi za umma, mabadiliko, teuzi na tenguzi hufanyika, na si vinginevyo ama kuna Tatizo mrangi?🐒
Ndio hizi reshuffle mbovu mnazofanya za wakurupukaji and an arrogant RPC??
 
Back
Top Bottom