Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Na wenyewe pia wameifutaHiyo habari mbona haipo kwenye social media pages zote za polisi wewe umeitoa wapi?? tupe link
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wenyewe pia wameifutaHiyo habari mbona haipo kwenye social media pages zote za polisi wewe umeitoa wapi?? tupe link
Imani ya kuuza bandari[emoji23]Good
Tangu Prof Kabudi arejeshwe Barazani Imani yangu Kwa Rais Dr Samia imekuwa ni ya kutukuka [emoji3][emoji3][emoji257]
NakaziaHiii issue itaenda na wengi
huyu ndie anapaswa kupongezwa kasimama upande wa hakiPONGEZI PIA ZIENDE KWA MAMA YETU GWAJIMA KWA KUKAZIA.MUNGU AKUPE MAUA YAKO MAMA.
Sasa nimeamini jf ndio mtandao wa kuaminiwa !!
Asante Mungu Kwa akili ya mwanzilishi wa mtandao huu!
Lakini kasema ukweli
Yule dogo anaonekana alikua ndio kazi yake Ile
Shida ni wale jamaa kumrekodi na kumpiga mande
Inawezekana dogo alielewana na mmoja ila majamaa yakaamua kumkomoa
Mabinti acheni tamaa
Katumia nafasi yake vizuri.huyu ndie anapaswa kupongezwa kasimama upande wa haki
Hamna kazi makaoni zaidi ya kusoma magazeti tu.??Mdomo umemponza..
ni heri angesema "bado uchunguzi unaendelea", kama wafanyavyo wengine..
ngoja arudi makao akasome magaazeti sasa.
Safi kabisa,alitakiwa kutumbuliwa kabisa ,huu ni upuuzi 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C-2H0mKtrXj/?igsh=YnB0Z2Rud3hhNDAy
Wiki Jana nimesoma matukio 3 ya ulawiti Kwa Watoto wadogo,huyo Gwajima Kwa nini huko hakazii?PONGEZI PIA ZIENDE KWA MAMA YETU GWAJIMA KWA KUKAZIA.MUNGU AKUPE MAUA YAKO MAMA.
Sikuhizi napitwa Kuna nn tenaHiii issue itaenda na wengi
Ipo.Hiyo habari mbona haipo kwenye social media pages zote za polisi wewe umeitoa wapi?? tupe link
Hapa kulikuwa na uwezekano wa kulindana na kesi ina public interest kwa sababu suspects ni wanadhaniwa ni kuwa watu wa wizara inayotakiwa kutulinda sisi na mali zetu.Hiyo ya watoto watatu unaweza ukawasilana naye kupitia vyanzo vinavyohusika.Wiki Jana nimesoma matukio 3 ya ulawiti Kwa Watoto wadogo,huyo Gwajima Kwa nini huko hakazii?