RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

RPC Dodoma atumbuliwa baada ya kutoa taarifa tata ya binti kulawitiwa anaweza kuwa anajiuza

Huyo bibi nasikia hajajaaliwa kupata mtoto ndio maana kuropoka kwingi kama kashiba Cuca
 
Mpumbavu sana, hivi mwanamke anayejiuza anaweza kuomba maji halafu wanaomuingilia wanamtishia kumpiga na chupa…
Madume matano yanamfi*a na mmojawapo anasikika akisema, “Zamu yangu ikifika nataka mavi”
A lot of the times, police will talk trash or “bully” because they want to play hard ili kuwafurahisha watawala. STUPIDITY
Na hii ndo picha kamiri ya Serikali ya ccm.

Anaejiuza kwani Hana haki.

Ipo siku,watalipia udhalimu wao
 
ni katika kuimarisha, kuboresha na kuongeza ufanisi wa utendaji wa serikali na taasisi za umma, mabadiliko, teuzi na tenguzi hufanyika, na si vinginevyo ama kuna Tatizo mrangi?🐒
Hakika wewe Jamaa ni kiboko ya jiwe
 
Ni hivyo mkuu, hongera Kwa kuwaza mbali
For sure mkuu sababu huyu RPC wa Dodoma kahojiwa jana au juzi,leo kimemlamba.

Wale walipiga jamaa zetu kama wezi je walitumwa.

Yule mtoto wa Mbeya aliechoma picha ya Rais?
 
Tumeona taarifa kwenye vyombo vya habari yenye kichwa cha habari kinachosema, "RPC; ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA", kauli inayodaiwa kutolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. Hayo yametokana na mazungumzo kwa njia ya simu na Mwandishi wa gazeti la Mwananchi ambaye miongoni mwa maswali aliyomuuliza kamanda (mwandishi huyo), Je upelelezi wa kesi umekamilika? na swali lingine alilomuuliza inadaiwa alikuwa anajiuza? Majibu ya kamanda aliyomjibu mwandishi huyo ni kwamba hata kama ni hivyo hangestahili kutendewa hivyo.

Pia soma>> Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa kauli hiyo kama inavyoonekana kwenye hicho kichwa cha habari siyo msimamo wa Jeshi la Polisi kauli sahihi ni kama zilivyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi kwa umma Agosti 4,6 na 9,2024. Vilevile tungependa kujulisha kuwa watuhumiwa watafikishwa mahakamani leo Agosti 19,2024.

Jeshi la Polisi lingependa kuomba radhi kwa kila mmoja aliyeguswa na kuchukizwa na kauli hiyo inayosambaa kwenye vyombo vya habari wakati ufuatiliaji ukifanyika kupata usahihi wake. Aidha wakati uchunguzi huo wa kupata usahihi wa kauli hizo, Mkuu wa Jeshi la Polisi amefanya mabadiliko madogo kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP Theopista Mallya kwenda Makao Makuu ya Polisi Dodoma na nafasi yake inachukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP George Katabazi.

Safi sana IGP
 
Mwanadiwani bila shaka alikuwa.... Lizaboni wengi walimhisi ni Madelu lameck nchemba huku hamy d akidaiwa ni Mwana wa Moses wakati huo huo buku 7 from lumumba wakitumia mheko kujibu hoja... Alipoingia mwendazake magogongoni na kwenda lumumba aliwafurrumusha wote
Hapo umekosea kidogo mbili ndio moja sasa.
 
Tumeona taarifa kwenye vyombo vya habari yenye kichwa cha habari kinachosema, "RPC; ANAYEDAIWA KUBAKWA NA KULAWITIWA ALIKUWA KAMA ANAJIUZA", kauli inayodaiwa kutolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma. Hayo yametokana na mazungumzo kwa njia ya simu na Mwandishi wa gazeti la Mwananchi ambaye miongoni mwa maswali aliyomuuliza kamanda (mwandishi huyo), Je upelelezi wa kesi umekamilika? na swali lingine alilomuuliza inadaiwa alikuwa anajiuza? Majibu ya kamanda aliyomjibu mwandishi huyo ni kwamba hata kama ni hivyo hangestahili kutendewa hivyo.

Pia soma>> Polisi: Wanaotuhumiwa kubaka na kulawiti ni kama wavuta bangi, hawakutumwa na Afande, yule dada alikuwa kama anajiuza

Jeshi la Polisi lingependa kutoa taarifa kuwa kauli hiyo kama inavyoonekana kwenye hicho kichwa cha habari siyo msimamo wa Jeshi la Polisi kauli sahihi ni kama zilivyotolewa na Msemaji wa Jeshi la Polisi kwa umma Agosti 4,6 na 9,2024. Vilevile tungependa kujulisha kuwa watuhumiwa watafikishwa mahakamani leo Agosti 19,2024.

Jeshi la Polisi lingependa kuomba radhi kwa kila mmoja aliyeguswa na kuchukizwa na kauli hiyo inayosambaa kwenye vyombo vya habari wakati ufuatiliaji ukifanyika kupata usahihi wake. Aidha wakati uchunguzi huo wa kupata usahihi wa kauli hizo, Mkuu wa Jeshi la Polisi amefanya mabadiliko madogo kwa kumhamisha Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP Theopista Mallya kwenda Makao Makuu ya Polisi Dodoma na nafasi yake inachukuliwa na Kamishna Msaidizi Mwandamizi SACP George Katabazi.

RPC Theopista Mallya alitaka kuubeba msslaba wa afisa mwenziwe aliyetaka kusepa na kesi ya kuwakodo hao walawiti na wabskaji.
Kesi hiyo RPC Mallya kaiezeka kisawasawa mgongoni.
Hongera kwa IGP Wambura kuliona tatizo la kutaka kutumia "Girl Power" kukwepesha kesi.
 
RPC Theopista Mallya alitaka kuubeba msslaba wa afisa mwenziwe aliyetaka kusepa na kesi ya kuwakodo hao walawiti na wabskaji.
Kesi hiyo RPC Mallya kaiezeka kisawasawa mgongoni.
Hongera kwa IGP Wambura kuliona tatizo la kutaka kutumia "Girl Power" kukwepesha kesi.
pia IGP lione na la AWADH mshauri Rais
 
Huyu haikutakiwa kupelekwa HQ japo hakuna per diem…
Ni wa kufukuza kabisa, uwezo wake wa kufikiri ni mdogo.
Kuna vyeo ukishafika sio rahisi kufukuzwa, kazi, pia na umri unakuwa umesogea,

Hivyo unarudishwa Makao ili usubiri kustaafu, na pia pia kufanya majukumu mengine ambayo hukutani na media Mara kwa mara,

Kumbuka CCM wanawategemea sana kwenye chaguzi zijazo.
 
Yaani Huyo RPC Mallya inaoneka hajui protocol za kazi ,swala la Binti halitakiwi kutolewa maelezo na yeye ,hilo swala lipo kwa Masiime na si yeye!! Sisi kwenye protocal za kazi tuliambiwa hata kama wewe ni mfanyakazi wa kampuni X ukafatwa na waandishi wa habari kuelezea kampuni X hautakiwi kuelezea maana wewe si msemaji wa kampuni X ,wapo wenye mamlaka ya kuisemea kampuni X kwenye vyombo vya habari.

RPC Mallya hakushirikisha ubpongo wakati anaongea "utumbo" wake ,kwani hata kama wabakaji ni walevi na wavuta bangi ndiyo wana haki ya kumbaka binti? Na hata kama binti anajiuza ni sawa kubakwa?

Capacity building inahitajika kwenye kitengo cha mawasiliano ndani ya "GESHI LA POLISH".
 
Back
Top Bottom