Moja ya kituko jeshi la polisi ni kua RPC alikua anashiriki kuwaokoa wauaji lakini mbele ya safari watu wakubwa nchini wakakomalia issue na kwa aibu akapiga U turn.
Yule RPC kimaadili hatakiwi kuendelea kuwa RPC hata kwa dakika tano maana nae ni mtuhumiwa na uchunguzi ufanyike haraka apate stahiki yake.
Jeshi la polisi hasa IGP inabidi uchukue hatua kali dhidi ya msaidizi wako huyo wa mkoani Mtwara ili haki itendeke.
Kuna askari waadilifu kwenye jeshi la polisi lakini kuna askari ni majambazi wakubwa ndani ya jeshi la polisi yaani kula rushwa wanaona haitoshi wanaamua kuteka na kuua raia wema.
Kama walinzi wanaiba hii ndio mwanzo wa hali mbaya ya usalama nchini.
Pia soma
Yule RPC kimaadili hatakiwi kuendelea kuwa RPC hata kwa dakika tano maana nae ni mtuhumiwa na uchunguzi ufanyike haraka apate stahiki yake.
Jeshi la polisi hasa IGP inabidi uchukue hatua kali dhidi ya msaidizi wako huyo wa mkoani Mtwara ili haki itendeke.
Kuna askari waadilifu kwenye jeshi la polisi lakini kuna askari ni majambazi wakubwa ndani ya jeshi la polisi yaani kula rushwa wanaona haitoshi wanaamua kuteka na kuua raia wema.
Kama walinzi wanaiba hii ndio mwanzo wa hali mbaya ya usalama nchini.
Pia soma