DNA ina-trace history million years back wewe unazungumzia wiki mbili? Dah!Ina maana kipimo cha baada ya wiki mbili kitakuwa kinatafuta wazungu kwenye kijambio? Hivi kwa kuzisoma hizo taarifa walizotoa Polisi hamuona kabisa kuwa hilo swala limeshawekewa mazingira ya kulitupilia mbali kwa ushahidi dhidi ya Yahaya kukosekana?
Sijui wewe huwa unatumia akili gani kufikia hitimisho,hvi unadhani mambo ground ni simple kama mnavyosimuliana kwenye vijiwe vya kahawa? Hujui kuwa tayari nguo zake alizovaa siku ya tukio zimechukuliwa kwa ajili ya vipimo vya DNA,sasa sex toys zina DNA?Atasema huwa anajiingiza sex toys
Kuna kitu mnachanganya, Yahaya na huyo bint ni wapenzi hivyo DNA kukutwa kwenye gari siyo ajabu. Issue ipo kwenye ku prove kwamba alimuingilia kinyume cha maumbile.In short mazingira waliyofanyia huo mchezo; I mean siti ya gari hata baada ya miaka 10 DNA ikichukuliwa hapo inatema live bila chenga!
DNA ni namba nyingine achana nayo. Rais Bill Clinton alitiwa hatiani baada ya tone la maji maji ya mwili aka mbegu zake za kiume kuonekana kwenye nguo ya Monika Lewinsky miaka kadhaa baadaye! DNA ni balaa!
Tukiwachukua madem ulio wagonga mwaka jana halafu tukawapima, tutakuta ushahidi mwilini mwao kuwa wewe ndiye uliwagonga?DNA ina-trace history million years back wewe unazungumzia wiki mbili? Dah!
Sasa kama shahidi mwnyewe tu hayupo tayari kutoa ushirikiano sasa jamhuri itaamuaje. 😆Kuhusu Barua inayodaiwa kuandikwa na bint aliyelawitiwa RPC Mutafungwa amesema barua hiyo haijawafikia na Kwamba mtu Binafsi hawezi kufuta Kesi ya jinai kwa Sababu mshtaki ni Jamhuri
Jumaa Mubarak 😀
Huyo jamaa namuonaga mjanja humu ila kwa hili la DNA amechemka.Sijui wewe huwa unatumia akili gani kufikia hitimisho,hvi unadhani mambo ground ni simple kama mnavyosimuliana kwenye vijiwe vya kahawa? Hujui kuwa tayari nguo zake alizovaa siku ya tukio zimechukuliwa kwa ajili ya vipimo vya DNA,sasa sex toys zina DNA?
Kumbula hao ni wapenzi, hivyo kukutwa nguo zina DNA siyo issue.Sijui wewe huwa unatumia akili gani kufikia hitimisho,hvi unadhani mambo ground ni simple kama mnavyosimuliana kwenye vijiwe vya kahawa? Hujui kuwa tayari nguo zake alizovaa siku ya tukio zimechukuliwa kwa ajili ya vipimo vya DNA,sasa sex toys zina DNA?
Naona mnamsagia kunguni mh rcNi kosa kujaribu kuharibu ushahidi kwa makusudi endapo inafahamika hivyo.
TafakariN cha nan
Yap! Muhimu vyupi walivyovyaa by then viwepo! Huchomoki hata kama ni 100 years back!Tukiwachukua madem ulio wagonga mwaka jana halafu tukawapima, tutakuta ushahidi mwilini mwao kuwa wewe ndiye uliwagonga?
Kumbukeni hawa ni wapenzi, issue iliyopo ni ku prove kama je, yeye ndiye alimuingilia kinyume cha maumbile au siye.Huyo jamaa namuonaga mjanja humu ila kwa hili la DNA amechemka.
Wangeyamaliza huko nani angehangaika nayo? Tatizo kuna upande unahisi haukutendewa haki!Kumbukeni hawa ni wapenzi, issue iliyopo ni ku prove kama je, yeye ndiye alimuingilia kinyume cha maumbile au siye.
Acha kudanganya watuIn short mazingira waliyofanyia huo mchezo; I mean siti ya gari hata baada ya miaka 10 DNA ikichukuliwa hapo inatema live bila chenga!
DNA ni namba nyingine achana nayo. Rais Bill Clinton alitiwa hatiani baada ya tone la maji maji ya mwili aka mbegu zake za kiume kuonekana kwenye nguo ya Monika Lewinsky miaka kadhaa baadaye! DNA ni balaa!
Nawanda KAYATIMBA anafila mwanafunziNaona mnamsagia kunguni mh rc
Kama Sabaya, Bashite na Gekul wote walichomolewa kwenye zile kashfa zao, basi mimi ninaamini hili limetengenezwa kimkakati na hata Yahaya alitaarifiwa kabla au hata kushirikishwaWangeyamaliza huko nani angehangaika nayo? Tatizo kuna upande unahisi haukutendewa haki!
Inawezekana piaaaaaHawajamsingizia kweli huyu mheshimiwa?maana wanawake wa siku hizi wengi wanaukichaa.
Siasa mchezo mchafu unachezwa na watu smartBinti alitumwa kumwingiza 18 RC. Huu ni mtego na wala hakuliwa kule
Ila wewe hujui hata unaandika niniKumbula hao ni wapenzi, hivyo kukutwa nguo zina DNA siyo issue.
Wewe si ulisema atasema kuwa alitumia sex toy kujiingilia mtakoni,tena umebadilisha kuwa walikuwa wapenzi,msimamo wako ni upi?Atasema huwa anajiingiza sex toys