RS Berkane 2- 0 Simba Sc | CAF Confederation Cup | Stade Municipal de Berkane

RS Berkane 2- 0 Simba Sc | CAF Confederation Cup | Stade Municipal de Berkane

Hapa kwa Pablo tukubali kuwa tumepigwa!! Yaani anaanzaje kumuacha nje morrisson, kagere na mhilu halafu anawaanzisha kina nyoni na boko...hivi kulikuwa na haja gani ya kuchezesha mabeki watano kwenye mechi ya leo..??

Tungekuwa tunacheza na Al ahly pale Cairo si angechezesha hata mabeki 8 ,kiungo mmoja na mshambuliaji mmoja!?
Shabiki andazi. Unadhani unacheza na Pamba CCM kirumba?
 
Acha habari ya historia. Hata Simba miaka miwili iliyopita walikuwa wazuri. Mimi nazungumzia mpira wanaocheza mwaka huu ni wa kawaida tu
Unatumia kigezo kipi kusema so wazuri broh 2018 wamefika quarter-final 2019 wamefika final na 2020 wamechukua ilo kombe how comes unai undermine team kama hiyo
 
Bahati mbaya jana baada ya kutoka kuangalia game ya Liverpool na Chelsea game ambayo ilionyesha mpira unavyotakiwa kuchezwa na baadae kurudi kuangalia huku kinachoendelea basi na usingizi ukawa unakuja ni kama umetoka kuangalia Ertugrul halafu ukahamia Bongo movie. Mpira unachezwa na wengine jana nimekubali.
 
Bahati mbaya jana baada ya kutoka kuangalia game ya Liverpool na Chelsea game ambayo ilionyesha mpira unavyotakiwa kuchezwa na baadae kurudi kuangalia huku kinachoendelea basi na usingizi ukawa unakuja ni kama umetoka kuangalia Ertugrul halafu ukahamia Bongo movie. Mpira unachezwa na wengine jana nimekubali.
Bongo bado sana, ndiyomaana huwa sijitesi kuhangaika na ushabiki kindaki ndaki wa hapa TZ, ili nisife mapema kwa presha.
 
Simba tatizo si kocha tatizo ni wachezaji wetu
 
Sasa naona umeanza kuelewa umuhimu wa Ile backthree pale nyuma eeh ?? Mechi za ugenini hazichezwi kama hivyo unavyofikiri mkuu. Kwa uwezo mkubwa wa washambuliaji wa Berkane alafu tungecheza kama tulivyo cheza nawale wa Niger tungeaibika zaidi Leo
Nadhani hatuelewani mkuu. Tugange yajayo.
 
KaUlitaka acheze nani ilhal ,viungo wote ni majeruhi!?
Acheni udwanzi....wanaume wamepigwa wanasimama maisha yanadonga...Robo fainali ni lazima!
Asante kwa mchango wako. Nashukuru sana.
 
Watu wanaongea tu hawaangalii uhalisia jamani kila mtu anashinda nyumbani kwake we ukifanikiwa kuokota ata point Moja ugenini we kidume. Leo MIMOSSA Kilicho mkuta haamini kabisa na Berkane vile vile wawe makini na hao jamaa pale Niger sio sehemu salama pale wasipo kuwa makini watakufa pale na huku Kwa mkapa wajipange
Huo ndio uhalisia yani kwa saizi timu yeyote lazima i fight kuhakikisha haipotezi mechi za nyumbani

Ukizingua hapo basi usitegemee ugenini maana huko watu wanapiga mbaya
 
Kiukweli sijaona possibility ya simba kuweza kufunga goli kwenye game ya leo

Kama chance tu yakuweza ku hold mpira kwa sekunde 30 bila kupokwa na mpinzani haikuwepo, hiyo nafasi ya kuweza kufunga ingesababishwa na kitu gani?

Labda penati
Ndo maana nakuambia waliamua kuwa Kolo sio kwamba hiyo timu ilikuwa na maajabu.
 
Simba jana ilikuwa ni underdog wa Berkane! Walicheza chini ya kiwango mpaka basi! Walau walipata unafuu kipindi cha pili baada ya kuingia yule mchezaji wao mabangi anaye jiita Efue Morris!

Walau alikuwa na ujasiri hata wa ku push mashambulizi. The rest walikuwa wanaruka ruka tu uwanjani. Mechi ijayo nadhani ingekuwa vyema Pablo akamuanzisha yule Efue Morris.
 
Tusiendelee kudanganyana. Hizi timu za hili kundi ni za kawaida sana. Sidhani kama kuna mojawapo inaweza kupata japo SARE kwa Yanga
Mama utopolo kaeni nyumbani mlee watoto. Hiyo ni Kazi ya wanaume nyie hamuiwezi. Rivers utd timu changa kabisa iliwatia nyuma na mbele..Halafu leo mnaleta stori zisizo na Maana.
 
Utopolo oyeee!
IMG-20220227-WA0007.jpg
 
Huwezi linganisha mchezo wa bibi Yanga na wajukuu zake au mama Yanga na watoto wake na vita ya wanaume kulipigania taifa. Umepuyanga wewe.
 
Back
Top Bottom