Lexus SUV
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,493
- 5,591
Yeah ni kweli vita ni pande mbili , jambo zuri internet inaonyesha vitu vingi vinavyo tokea ukraine na reactions za wa ukraine ,maana nimeona mpaka Walimu, Madaktari, Mainjinia wa Ukraine wamejiunga na jeshi na wana being trained to be solders.
Heko heko ni kwamba , ingekuwa ni vyema DUNIA NZIMA TUNGEKUWA TUNAONA YANAYOTOKEA NDANI NDANI YA NCHI YA URUSI NDANI NDANI HUKO, REACTIONS SANA SANA YA WANANCHI WA URUSI KATIKA VITA HII ILI KUONA MITAZAMO YAO MAANA NASIKIA WANA PIKWA PROPAGANDA KAMA ZILE ZA KIPINDI CHA HITLER ASEEEE KUWA UKRAINE ITAIVAMIA RUSSIA BAADAE, NA PROPAGANDA NYINGINE.
SO MY POINT NI HII , INGEKUWA VYEMA SISI WANA DUNIA TUKAONA YANAYOENDELA NDANI YA URUSI
MAANA YOUTUBE , UKIINGIA UNAONA TU READINESS YA WA UKRAINE KATIKA KUILINDA NCHI YAO
SO WHAT IS THERE AT RUSSIA INSIDE?
Heko heko ni kwamba , ingekuwa ni vyema DUNIA NZIMA TUNGEKUWA TUNAONA YANAYOTOKEA NDANI NDANI YA NCHI YA URUSI NDANI NDANI HUKO, REACTIONS SANA SANA YA WANANCHI WA URUSI KATIKA VITA HII ILI KUONA MITAZAMO YAO MAANA NASIKIA WANA PIKWA PROPAGANDA KAMA ZILE ZA KIPINDI CHA HITLER ASEEEE KUWA UKRAINE ITAIVAMIA RUSSIA BAADAE, NA PROPAGANDA NYINGINE.
SO MY POINT NI HII , INGEKUWA VYEMA SISI WANA DUNIA TUKAONA YANAYOENDELA NDANI YA URUSI
MAANA YOUTUBE , UKIINGIA UNAONA TU READINESS YA WA UKRAINE KATIKA KUILINDA NCHI YAO
SO WHAT IS THERE AT RUSSIA INSIDE?