Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Director of Ops mstaafu wa Air Tanzania Captain, Narzis Mapunda jana asubuhi tarehe 23/05/2021. RIP Capt. Mapunda.
=====
Mwaka 2019 Kapteni Mapunda ambae ni rubani mstaafu alitunukiwa tuzo na Rais Magufuli kwa uzalendo wa kutorosha ndege ya Tanzania baada ya kuvunjika iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Pia, Soma=> Rubani Kapteni Mapunda aliyetunukiwa na Rais Magufuli afunguka
=====
Mwaka 2019 Kapteni Mapunda ambae ni rubani mstaafu alitunukiwa tuzo na Rais Magufuli kwa uzalendo wa kutorosha ndege ya Tanzania baada ya kuvunjika iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki
Pia, Soma=> Rubani Kapteni Mapunda aliyetunukiwa na Rais Magufuli afunguka