TANZIA Rubani aliyetorosha ndege baada ya kuvunjika EAC, Captain Narzis Mapunda afariki dunia

TANZIA Rubani aliyetorosha ndege baada ya kuvunjika EAC, Captain Narzis Mapunda afariki dunia

Kwanini unadhani wakati ndiyo Yeye tu?
Siye? Si alitajwa na Mwendazake kuwa alitoroka na ndege toka Mombasa hadi Tanga bila kuongozwa na rada, akazawadiwa kama sijakosea Mil 5 au 10 pale airport na alitajwa kwa jina la Mapunda, akaulizwa mkewe yu wapi akasema ninaye hapa...,
 
Uchumi wa Kenya kuwa juu ni pamoja na maujanja ya kuvunja jumuia ya Afrika Mashariki. Walibaki na mali nyingi sana. Charles Njonjo alikuwa kinara.
 
Ok nimekuelewa ila kuna swali la nyongeza, ndege labda inatakiwa fuel na pilot atapita security area maana ziko ground service lazima ndege ipitie ipate clear sasa swali mtu anaweza kupita process zote hizo bila kuulizwa unaenda wapi labda kama alikuwa angani taarifa hizo zikaja akachukuwa maneuver juu kwa juu hapo ina make sense.
I think ndio story ilielezea hivyo. Alifanya requests akiwa angani na alifanya kitu wanaita divertion, wakati wote ndege huwekwa mafuta ya ziada kuweza kufika uwanja mwingine ulio karibu na aliopanga kwenda awali. Ndio wanadai akaelikea Tanga badala ya Mombasa
 
Back
Top Bottom