Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Soma mambo ya nyuma. Mzalendo Magu alimsifia sana siku alipokusanya umati wa watu kwenda kupokea mindege yake. Ila Magu alijua kuwashika watu.Daah,ngoja nikae kimyaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma mambo ya nyuma. Mzalendo Magu alimsifia sana siku alipokusanya umati wa watu kwenda kupokea mindege yake. Ila Magu alijua kuwashika watu.Daah,ngoja nikae kimyaa.
Ndiyo Rubani aliyekuwa na Vituko kuwahi kutokea katika Historia ya ATC na sidhani kama yupo mwingine aliyetokea Kuuiga ' Uchakaramu ' wake huo.Director of Ops mstaafu wa Air Tanzania Captain, Narzis Mapunda jana asubuhi tarehe 23/05/2021. RIP Capt. Mapunda..
Alikulupuka......shitAlikulupuka mleta post.
Kubadilika kwa teknolojia, ni kama magari, mengine hivi sasa yanafanana na sura za wanyamaNdege za miaka iyo zilikuwa zinapendeza ukilinganisha za sasa hivi.
Mbona kama nakumbuka Captain Mapunda alishafariki miaka minne hivi na tukamzika pale makaburi ya kinondoni?Una hakika Mapunda huyu ndiyo yule?
Kweli mkuu wazalendo kama hao ni wachache kipindi hikiUmeongea kizalendo sana. Watu kama ninyi mnastahili teuzi kutoka kwa ssh
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Kwanini unadhani wakati ndiyo Yeye tu?Huyu nadhani ni yule aliyepewa zawadi ya Milioni kadhaa na Magufuli pale Airport miaka kama miwili hivi iliyopita
Mbona hata Sisi tumewapiga penyewe?Wakenya walitupiga na bado wanatupiga kimdebwedo kabisa
Unashangaa au? Ni Tanzania tu project moja ina sainiwa mara 10 ni Tanzania mradi mmoja unazinduliwa mara kumi ni Tanzania tu mtu mmoja anaweza kufa mara 10 na ni Tanzania tu mtu anaweza kutorosha ndege kama kutorosha gari. Maelezo mengine unasoma tu ndege inaruka sehemu bila kupewa clear sijui kwa kweli kama ni hivyo tuchunguni zile Boeng zetu pale zimepack tusije kusikia mtu kanyanyuka nayo tu huyoooooMbona kama nakumbuka Captain Mapunda alishafariki miaka minne hivi na tukamzika pale makaburi ya kinondoni?Una hakika Mapunda huyu ndiyo yule?
Inaweza kuwa na ukweli lakini ndege kuruka airport bila kupewa clear na control tower sijawahi kusikia ndege inaruka airport tu kama bus ubungo kundoka hata bus nadhani wanapewa ruhusa hii story iko kisiasa hivi kwa uelewa wangu traffic control bila kutoa clear na refuel ndege haiwezi kuondoka airport, maoni yangu.Kwa kuwa waKenya walikuwa na njama ya kujimilikisha mali zote za iliyokuwa jumuiya ya afrika ya mashariki. Wao ndio waliopanga kuivunja na wakaweka huo mkakati kuwa ndege zote zitakuwa Kenya wakati wa uvunjaji wa jumuiya. Ni bahati hiyo moja ililetwa kwa kuwa nyingine ziliishia Kenya.
Inawezekana kabisa na imeshafanywa mara nyingi. Commander ndio ana amua kuruka ama kutokuruka, na anaamua kufuata ama kutokufuata maelekezo ya tower ingawa, matokeo ya uamuzi wake yanaweza kuwa kufungiwa leseni n.k. Hicho ndio kinawafanya kuogopa.Inaweza kuwa na ukweli lakini ndege kuruka airport bila kupewa clear na control tower sijawahi kusikia ndege inaruka airport tu kama bus ubungo kundoka hata bus nadhani wanapewa ruhusa hii story iko kisiasa hivi kwa uelewa wangu traffic control bila kutoa clear na refuel ndege haiwezi kuondoka airport, maoni yangu.
Ok nimekuelewa ila kuna swali la nyongeza, ndege labda inatakiwa fuel na pilot atapita security area maana ziko ground service lazima ndege ipitie ipate clear sasa swali mtu anaweza kupita process zote hizo bila kuulizwa unaenda wapi labda kama alikuwa angani taarifa hizo zikaja akachukuwa maneuver juu kwa juu hapo ina make sense.Inawezekana kabisa na imeshafanywa mara nyingi. Commander ndio ana amua kuruka ama kutokuruka, na anaamua kufuata ama kutokufuata maelekezo ya tower ingawa, matokeo ya uamuzi wake yanaweza kuwa kufungiwa leseni n.k. Hicho ndio kinawafanya kuogopa.
Serikali huwa haina shukraniRest in Peace Jemedari
Serikali ilishasahau watu kama hawa
Tatizo hukumwimbia mapambio.Mgawa pesa za umma alikuwa anagawa kwa akina nani mbona mimi hakunigawaia?