Ok nimekuelewa ila kuna swali la nyongeza, ndege labda inatakiwa fuel na pilot atapita security area maana ziko ground service lazima ndege ipitie ipate clear sasa swali mtu anaweza kupita process zote hizo bila kuulizwa unaenda wapi labda kama alikuwa angani taarifa hizo zikaja akachukuwa maneuver juu kwa juu hapo ina make sense.