Rubani wa Turkish Airlines afariki wakati ndege ikiwa angani, abiria wanusurika

Rubani wa Turkish Airlines afariki wakati ndege ikiwa angani, abiria wanusurika

itakuwa wana Abc mbili tatu ukiniacha kama mimi salini tu maana naenda kuitumbukiza majini tukaliwe na samaki...😂

kwa mtu asiejua niliona namna yakuwasiliana na controller wa huku chini ndugu ni process kiasi, nafikiri hao walifaulu aidha ndege ilikuwa ni automatic hizo ni nyepesi hata ku land ukishaset hushiki chochote mpk itakapogusa ardhi ndo unabalance isitoke kwenye njia yake.
Marubani huwa wawili
 
Halafu kuna wanajidanganya hakuna Mwenyezi Mungu. Mpuuzi sana mtu huyo mwenye mawazo hayo

Mwamba kapiga kazi mpaka mwisho.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo kusingekuwa na kifo kinachotenganu
Isha watu wanaopendana.

Kifo ni uthibitisho Mungu hayupo.
 
View attachment 3120150
Rubani huyo (İlçehin Pehlivan, 59) wa Ndege ya Shirika la Turkish Airlines Jetliner iliyokuwa ikItoka Seattle Marekani kwenda Istanbul ameripotiwa kufariki wakati akipewa huduma ya kwanza kabla ya Ndege kutua.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Shirika hilo, ahya Üstün, amesema Rubani alipata shida ya kiafya na hivyo kupewa huduma ya kwanza lakini alipoteza maisha kabla ya Wasaidizi kuiendesha Ndege na kutua ikiwa salama na Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa John F. Kennedy .



A Turkish Airlines jetliner headed from Seattle to Istanbul made an emergency landing in New York on Wednesday after the pilot died on board, an airline spokesperson said.

Pilot İlçehin Pehlivan, 59, lost consciousness at some point after Flight TK204 took off from Seattle Tuesday night, Turkish Airlines spokesperson Yahya Üstün said in a statement.

Crew members decided to make an emergency landing and worked to revive the pilot, Üstün said, but he died before the plane landed.

Data from the tracking site FlightAware shows that the Airbus A350 landed at John F. Kennedy International Airport just before 6 a.m.

Arrangements were being made for passengers to reach their destination from New York, the airline spokesperson said.

Pehlivan had worked at Turkish Airlines since 2007, Üstün said. A routine health check in March showed no health problems that would have prevented him from working, he said.

“As Turkish Airlines, we deeply feel the loss of our captain and extend our sincerest condolences to his bereaved family, colleagues, and all his loved ones,” Üstün said.
Hizi ndege zakislam bana. Yaani.

adriz Adiosamigo Malaria 2 Kosugi Nyonzo bin mvule
 
Mwamba kapiga kazi mpaka mwisho.

Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote angekuwepo kusingekuwa na kifo kinachotenganu
Isha watu wanaopendana.

Kifo ni uthibitisho Mungu hayupo.
Kwa hoja hii,kuwepo maisha ni dalili ya kuwepo Mungu
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Kuna mwaka nadhani 2006 kuna rubani alifia kwenye ndege ndogo, kwa bahati nzuri sana kwenye ndege ile kulikuwa na ruban mstaafu akarukia seat ya pili akaendesha ndege wakatua salama
Hakuna cha ruban mstaafu wala nini....kila ndege ya abiria inayosafiri hata za hapa Tz huwa lazima isindikizwe na Shushushu mmoja au wawili.
 
Kwa hoja hii,kuwepo maisha ni dalili ya kuwepo Mungu
Hapana, hiyo ni logical non sequitur fallacy.

Inawezekana kuwepo maisha na kuwepo kifo vyote vinaonesha Mungu hayupo.

Kwa sababu, Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, asingeachia viumbe wake wapate maisha yenye mateso kama haya.
 
View attachment 3120150
Rubani huyo (İlçehin Pehlivan, 59) wa Ndege ya Shirika la Turkish Airlines Jetliner iliyokuwa ikItoka Seattle Marekani kwenda Istanbul ameripotiwa kufariki wakati akipewa huduma ya kwanza kabla ya Ndege kutua.

Kwa mujibu wa Msemaji wa Shirika hilo, ahya Üstün, amesema Rubani alipata shida ya kiafya na hivyo kupewa huduma ya kwanza lakini alipoteza maisha kabla ya Wasaidizi kuiendesha Ndege na kutua ikiwa salama na Abiria katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa John F. Kennedy .



A Turkish Airlines jetliner headed from Seattle to Istanbul made an emergency landing in New York on Wednesday after the pilot died on board, an airline spokesperson said.

Pilot İlçehin Pehlivan, 59, lost consciousness at some point after Flight TK204 took off from Seattle Tuesday night, Turkish Airlines spokesperson Yahya Üstün said in a statement.

Crew members decided to make an emergency landing and worked to revive the pilot, Üstün said, but he died before the plane landed.

Data from the tracking site FlightAware shows that the Airbus A350 landed at John F. Kennedy International Airport just before 6 a.m.

Arrangements were being made for passengers to reach their destination from New York, the airline spokesperson said.

Pehlivan had worked at Turkish Airlines since 2007, Üstün said. A routine health check in March showed no health problems that would have prevented him from working, he said.

“As Turkish Airlines, we deeply feel the loss of our captain and extend our sincerest condolences to his bereaved family, colleagues, and all his loved ones,” Üstün said.
Ndege zote zinazobeba abiria NI lazima kuwa na Ma-pilot SI CHINI ya wawili. Kwa dharura kama hizi
Absolutely true.
Hususani kwa ndege kubwa zinazofanya safari za kimataifa, ni LAZIMA wawepo marubani zaidi ya wawili ambao wataendesha ndege pamoja wakiwa katika pairs, yaani:-
1. Pilot Driving.
2. Pilot Monitoring.

Ikitokea mmojawapo amepata dharula ya ghafla mwingine alitebaki ambaye aliyopo kwenye usukani anachukua nafasi yake ya kuendesha ndege.
 
Hapana, hiyo ni logical non sequitur fallacy.

Inawezekana kuwepo maisha na kuwepo kifo vyote vinaonesha Mungu hayupo.

Kwa sababu, Mungu mwenye uwezo wote ujuzi wote na upendo wote angekuwepo, asingeachia viumbe wake wapate maisha yenye mateso kama haya.
Maisha yenye mateso na mnakula raha!?..hamna starehe?!.. mateso yapi unazungumzia?!
 
Maisha yenye mateso na mnakula raha!?..hamna starehe?!.. mateso yapi unazungumzia?!
Kula ni matokeo ya njaa, mateso, na huwezi kula bila mateso ya kazi.

Hakuna maisha bila mateso.

Hakuna maisha bila kuzeeka, magonjwa, shida, mateso.

Huelewi wapi?
 
Hakuna maisha bila kazi, magonjwa, kuzeeka, njaa. Yote mateso hayo.
Kwa Mungu huyo unayempinga,maisha unayoyataka ya kutofanya kazi wala kuugua utayapata ufalme wa milele, isipokua kwa Mungu ng'ombe wa wahindu na budha,wao ukifa utarudi ukiwa kiumbe mwingine
 
Kwa Mungu huyo unayempinga,maisha unayoyataka ya kutofanya kazi wala kuugua utayapata ufalme wa milele, isipokua kwa Mungu ng'ombe wa wahindu na budha,wao ukifa utarudi ukiwa kiumbe mwingine
Kwanza kabisa simoangii Mu gu, naonesha contradictions katika hoja za juwepo kwake, cobtradictions zinazoonedha Mungu hayupo.

Hapa unaambiwa Mungu ana uwezo wote, unuzi wite na upendo wote.

Hapa u aona Mungu anaachia ma tsunami yanaua watoto kwa nafungu.

Huo ufalme wa milele wenyewe wewe mwenyewe huwezi kuthibitisha upo.

Yani umeambiwa uthibitishe kuwa Mungu yupo si uongo, ni ukweli, unaleta uongo mwingine wa uzima wa milele, ambao nao huwezi kuthibitisha ni ukweli.
 
Kwanza kabisa simoangii Mu gu, naonesha contradictions katika hoja za juwepo kwake, cobtradictions zinazoonedha Mungu hayupo.

Hapa unaambiwa Mungu ana uwezo wote, unuzi wite na upendo wote.

Hapa u aona Mungu anaachia ma tsunami yanaua watoto kwa nafungu.

Huo ufalme wa milele wenyewe wewe mwenyewe huwezi kuthibitisha upo.

Yani umeambiwa uthibitishe kuwa Mungu yupo si uongo, ni ukweli, unaleta uongo mwingine wa uzima wa milele, ambao nao huwezi kuthibitisha ni ukweli.
Hatupo kwenye kuthibitisha Mungu yupo,hoja yetu ilikua Mungu kuacha wewe kupata tabu/mateso,hulu mpaka uteseke,kwa nini uhangaike kutafuna (mateso) badala ya kuwa tu umeshiba automatically, ndiyo nikasema kwa Mungu huyu tunayempinga,hayo maisha ya bila mateso ni ndani ya ufalme wa milele,so hoja ya mateso haipo
 
Back
Top Bottom