Kwahiyo mwenyezi Mungu ndiye kamuuwa akiwa agani au Mungu r ndiye kaishusha ndege baada ya pilot kufariki?Halafu kuna wanajidanganya hakuna Mwenyezi Mungu. Mpuuzi sana mtu huyo mwenye mawazo hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mwenyezi Mungu ndiye kamuuwa akiwa agani au Mungu r ndiye kaishusha ndege baada ya pilot kufariki?Halafu kuna wanajidanganya hakuna Mwenyezi Mungu. Mpuuzi sana mtu huyo mwenye mawazo hayo
Hujajibu swali.Huko kote wapi ndugu yangu!?..hoja yetu mbona simple tu
Nahitaji kuelewa philosophy of religion Ili kujadili ile hoja yetu!?Hujajibu swali.
Unafahamu "the problem of evil" ni nini?
Maana labda napata tabu sana kuelezea mambo kwa sababu huelewi mambo ya msingi kabisa katika philosophy of religion.
Hoja yetu ni nini na philosophy of religion ni nini?Nahitaji kuelewa philosophy of religion Ili kujadili ile hoja yetu!?
Basi mkuu, endelea kujadili na wengineHoja yetu ni nini na philosophy of religion ni nini?
Hapana, wewe huniamulii.Basi mkuu, endelea kujadili na wengine
Ingekuwa hii kitu imetokea iran away watu wangemiminika kuisifu mossadMarubani huwa wawili
Aaah havina uhusiano BossInzi kafia kidondani.. What a beautiful death.. Amefia angani roho imenyoosha moja kwa moja mawinguni.. RIEP pilot.. You had a beautiful ending 💪🏿
Mungu ampumzishe kwa amani
Hiyo Seattle hope siku Moja nitatembelea napakubali sana
Siwezi kuumbuka, nimesema hakuna hiko kitunkutokana na kwamba automatic landing inategemea zaidi na kiwanja Cha ndege na sio ndege yenyewe. Ni viwanja vingap vinasapoti automatic landing!? Katika ndege 100 unaweza usikute hata ndege Moja inayotumia automatic landing kitu kinachofanya ibakie kwenye vitabu tu. Auto landing inampa stress Zaid pilot kuliko akiland ndege manually.utaumbuka ndugu technology itakuumbua ndege zinatofautiana kwahiyo unataka kusema niliona uongo..?😅
😂 zwazwa kweli wewe mi nilianza kuona hiyo hapahapa tz na kwa hizi Boeing za magufuli kama sikosei video ipo YouTube na nishafatilia hukohuko YouTube nenda kaangalie.Siwezi kuumbuka, nimesema hakuna hiko kitunkutokana na kwamba automatic landing inategemea zaidi na kiwanja Cha ndege na sio ndege yenyewe. Ni viwanja vingap vinasapoti automatic landing!? Katika ndege 100 unaweza usikute hata ndege Moja inayotumia automatic landing kitu kinachofanya ibakie kwenye vitabu tu. Auto landing inampa stress Zaid pilot kuliko akiland ndege manually.