Rubani wa Turkish Airlines afariki wakati ndege ikiwa angani, abiria wanusurika

Rubani wa Turkish Airlines afariki wakati ndege ikiwa angani, abiria wanusurika

Hatupo kwenye kuthibitisha Mungu yupo,hoja yetu ilikua Mungu kuacha wewe kupata tabu/mateso,hulu mpaka uteseke,kwa nini uhangaike kutafuna (mateso) badala ya kuwa tu umeshiba automatically, ndiyo nikasema kwa Mungu huyu tunayempinga,hayo maisha ya bila mateso ni ndani ya ufalme wa milele,so hoja ya mateso haipo
Mimi sikubali Mungu yupo, ninahitaji uthibitisho kwamba yupo, wewe ni nani useme hatupo kuthibitisha Mungu yupo?

Unajuaje na kuthibitishaje Mungu kaacha mimi nipate mateso ndiyo ukweli, na ukweli si kwamba tunapata mateso katika dunia ambayo Mungu hayupo?
 
Mimi sikubali Mungu yupo, ninahitaji uthibitisho kwamba yupo, wewe ni nani useme hatupo kuthibitisha Mungu yupo?

Unajuaje na kuthibitishaje Mungu kaacha mimi nipate mateso ndiyo ukweli, na ukweli si kwamba tunapata mateso katika dunia ambayo Mungu hayupo?
Tupo kwenye hoja ya wewe kupata mateso kama dalili ya kutowepo Mungu,ndiyo tunajadili hiyo
 
Tupo kwenye hoja ya wewe kupata mateso kama dalili ya kutowepo Mungu,ndiyo tunajadili hiyo
Unafahamu "the problem of evil" ni nini?

Maana labda napata tabu sana kuelezea mambo kwa sababu huelewi mambo ya msingi kabisa katika philosophy of religion.
 
Ni sahihi. Niliweka sawa alichosema niliyem-quote eti walioishusha ni wale watoto wazuri wanaorembulia abiria aka crew members.
Hakuna niliposema wameishusha wale watoto. Nimenukuu kwenye chanzo cha habari hii kuwa ni 'crew members' na yawezekana walimjumuisha co-pilot(s) kuwa ni miongoni mwao. Hawakuwa specific, but also note that wamesema crew members, sio crew member.
 
Asingekuwemo huyo rubani mstaafu ingekuwaje? Wawekwe tu wawili wawili aisee
Urubani wala sio mgumu hivyo kama watu wadhaniavyo hata wewe wawesha shusha ndege kwa maelekezo kidogo tu kutoka control tower.Pilot ni operator tu na masomo yao si magumu, shida huwa ni ada ya masomo ndo kubwa lkn wanachukua hata mtu mwenye form 4.
 
itakuwa wana Abc mbili tatu ukiniacha kama mimi salini tu maana naenda kuitumbukiza majini tukaliwe na samaki...😂

kwa mtu asiejua niliona namna yakuwasiliana na controller wa huku chini ndugu ni process kiasi, nafikiri hao walifaulu aidha ndege ilikuwa ni automatic hizo ni nyepesi hata ku land ukishaset hushiki chochote mpk itakapogusa ardhi ndo unabalance isitoke kwenye njia yake.
Hakuna kitu kama hiki mzee, co pilot anaishusha vzuri tu. Hakuna kitu kinaitwa automatic landing
 
Urubani wala sio mgumu hivyo kama watu wadhaniavyo hata wewe wawesha shusha ndege kwa maelekezo kidogo tu kutoka control tower.Pilot ni operator tu na masomo yao si magumu, shida huwa ni ada ya masomo ndo kubwa lkn wanachukua hata mtu mwenye form 4.
Sio rahisi hivi kaka ndo masna ada yake iko juu
 
Hakuna kitu kama hiki mzee, co pilot anaishusha vzuri tu. Hakuna kitu kinaitwa automatic landing
utaumbuka ndugu technology itakuumbua ndege zinatofautiana kwahiyo unataka kusema niliona uongo..?😅
 
Mwenyezi Mungu ametoka wapi? Huyo kibwengo hayupo.
Mwenyezi Mungu ametoka wapi, halafu "huyo kibwengo HAYUPO"
Maandishi haya tu yanadhihirisha kwamba HATA wewe unaamini kwamba Mungu yupo ila unalazimisha kua HAYUPO. Just read between the line of your own ✍️
 
Mwenyezi Mungu ametoka wapi, halafu "huyo kibwengo HAYUPO"
Maandishi haya tu yanadhihirisha kwamba HATA wewe unaamini kwamba Mungu yupo ila unalazimisha kua HAYUPO. Just read between the line of your own ✍️
Mungu hayupo. Hakuna kitu kama hicho.
 
Mungu hayupo. Hakuna kitu kama hicho.
Kwani Mungu ndio kitu gani? Halafu rejea maandishi yako, between the line una amini yupo ila mdomoni unailazimisha akili iseme hayupo na akili yako wewe mwenyewe inakukatalia. Maandishi yako mwenyewe yanaongea lugha tofauti
 
Kwani Mungu ndio kitu gani? Halafu rejea maandishi yako, between the line una amini yupo ila mdomoni unailazimisha akili iseme hayupo na akili yako wewe mwenyewe inakukatalia. Maandishi yako mwenyewe yanaongea lugha tofauti
Achana na mambo ya kipumbavu ya Between the lines, between the lines kitu gani? Nimekwambia kitu kinaitwa Mungu ambacho kinahubiriwa na dini hakipo,. Mungu hayupo. Mambo ya between the lines yanahusiana nini na nilichokisema?
 
Inzi kafia kidondani.. What a beautiful death.. Amefia angani roho imenyoosha moja kwa moja mawinguni.. RIEP pilot.. You had a beautiful ending
Is roho a tangible thing?
Pure energy
 
Unafahamu "the problem of evil" ni nini?

Maana labda napata tabu sana kuelezea mambo kwa sababu huelewi mambo ya msingi kabisa katika philosophy of religion.
Huko kote wapi ndugu yangu!?..hoja yetu mbona simple tu
 
Achana na mambo ya kipumbavu ya Between the lines, between the lines kitu gani? Nimekwambia kitu kinaitwa Mungu ambacho kinahubiriwa na dini hakipo,. Mungu hayupo. Mambo ya between the lines yanahusiana nini na nilichokisema?
Kwanini huyo "Mungu" ulimuhusisha na kibwengo? Kwanini hukumuhusisha na kitu ambacho HAKIPO bro? Watu wazima always huaga hatusikilizi unacho kisema na kuandika tu, tunaangalia na body language ya msemaji/mwandishi. Remember "body language speaks volumes of words than a prepared speech"
 
Kwanini huyo "Mungu" ulimuhusisha na kibwengo? Kwanini hukumuhusisha na kitu ambacho HAKIPO bro? Watu wazima always huaga hatusikilizi unacho kisema na kuandika tu, tunaangalia na body language ya msemaji/mwandishi. Remember "body language speaks volumes of words than a prepared speech"
Nimesema Mungu hayupo na hajawahi kuwepo. Hadithi za Mungu ni hadithi za sungura na fisi, ni hadithi za alinacha.

Nionyeshe huyo Mungu amabe wewe unasema yupo, achana na ngonjera za body language, sijui between the lines na upumbavu mwingine.
 
Back
Top Bottom