Ruby ampa za uso Diva

Ruby ampa za uso Diva

diva anajishaua...nakumbuka video yake ruby ilivyotoka ya kwnz "Na yule" alikuwa anaicheza na kuisifia kila Mara ...leo et hamjui ...Looooo
 
diva the boksi anapenda sana attention huyo dada. nakumbuka fb mpk walifunguaga page ya watu wasiompenda diva.
ambao hamumjui diva tafuten video ya wimbo wa Joanita-Pingu & Deso ft Blu, video queen wa mule ndio dada yetu diva a.k.a joanita kabla hajanywa maji na maendeleo ya simu zenye 720 na maeditings kibao.
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kazi kweli kweli...!!
 
Baada ya Diva kudai kuwa hamfahamu Ruby, Ruby akasema anamuona Diva kama mtoto hivyo basi hawezi kubishana na mtoto



"Naona ni ujinga, i dont want to talk about it ,everybody knows me, so nahisi huo ni utoto labda tu kwa kukosa maswali ya interview aliyohojiwan ,i dont want to talk about her "


Inasemekana kwa habari zilizo chini ya kapeti ya kuwa ugomvi wa diva na ruby ni mara baada ya ruby kutokuwa na mawasiliano mazuri na clouds media na kushindwa kuhudhuria tamasha la fiesta lililofanyika mwanza August 20.



View attachment 397677
ruby ni mzuri tatizo ni pasi daaa kweli Mungu hakupi vyote.
 
Nahisi huyu Diva hajapata bwana wa kumkuna kiukweli. Ana tabia za kinyege nyege.
 
Toka Ruby aachane na Mawingu kila anacho ongea naona ni point
Kuna vijana wasio na vision walimtabiria mabaya dada wa watu kisa ameikataa fiesta,ndo nikaamini vijana wa kitanzania ni wazembe wa kufikiri,kuna redio almost 90 unawezaje kufikiri huyu bint ataporomoka?Jana nimeskia ngoma zake zikichezwa East Africa Radio na EFm, bado tu mtu anaiwazia clouds?na nimeskia matangazo ya shows zake........Mtoto wa watu amethubutu,kipaji chake yeye ila baadhi ya wajinga wanampangia.Nampa Kongole
 
Kwakweli hii mawingu fm na prizentaz wake wote wanataka wawe wanaabudiwa...Big up Ruby...wapite ivi[emoji124] [emoji124]
 
Back
Top Bottom