RUBY ana Trauma na Depression, wanaomponda Ruby ni wajinga na ndio wamejaa kwenye familia zetu na maofisini

RUBY ana Trauma na Depression, wanaomponda Ruby ni wajinga na ndio wamejaa kwenye familia zetu na maofisini

Habari wadau.

Nazani wengi tumeona trending za msanii wa kike Ruby.

Binafsi najua ruby amekosea ila kuna kitu nimekigundua na kumuelewa ruby.


Historia ya maisha ya ruby tu imempa hasira hasira.

Mtoto alielelewa kwa upendo wa baba na mama ana tofauti na mtoto alielelewa kwenye familia isiyo na upendo.

Ruby baba yake na mama yake hawaelewani.. ni walipigana mimba tu kila mtu akala kona.

Mama yake na ruby nae maisha alifeli ikapelekea ruby kulelewa na watu baki. Bila baba na mama.

Hiyo tu inaonesha ruby alifungwa goli 2 - 0 toka anazaliwa. Baba hajalea na mama hajalea..hapo kwa mtoto ni 2 - 0.

Ruby huyo huyo kapigwa mimba na Kussa kisha akaachwa. Akawa single mother hapo tayari goli 3 - 0 Trauma nyingine ikaja

Baada ya kussa kusepa kapata bwana mwingine nae bila ndoa kamzalishwa mtoto wa pili. Hapo tena 4 - 0.. trauma ya kuwa na watoto wawoli wa baba tofauti bila ndoa inamtesa.

Hapo ruby lazima awe na hasira hasira tu na msongo wa mawazo

Ruby huyo huyo anafananishwa na nandy.. ambaye anatoka familia inayoeleweka yenye upendo wa baba na mama.

Nandy hana trauma yoyote ya kifamilia ( wazazi).

na hata kwenye biashara ya muziki nandy muda wote kazungukwa na watu wanaojua kumuandikia nyimbo. Kumfanyia promo. Kuanzia enzi yupo na ruge mpaka leo yupo na billnass

Ana mume nandy sio single mother. Akili imetulia baba na mama wapo kwenye ndoa... baba mkwe wa nandy na mama mkwe yaani wazazi wa billnass nao wapo kwenye ndoa.. kwa levo za kifamilia familia nandy ana full of family life pande zote

Nandy Akitaka wimbo... anaandikiwa tu na billnass, unatoka hit song

Ruby akitaka wimbo anashika pen na karatasi anajiandikia.. wimbo unatoka kona kona tu.

HAPO RUBY LAZIMA AWE NA HASIRA HASIRA TU KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA TRAUMA..

Anayopitia ruby hata vijana wengi mtaani wanapitia hasa unemployed graduates waliokulia familia duni zisizo na upendo
Hakika mkuu
 
Kuna kitu umeongea halafu umechanganya tena na upuuzi..
Hukuwa na sababu za kumtaja Nandy..
Kama kukosa upendo wa Baba mbona Diamond,Ommy Dimpoz na wengine karibu wote wanatoa hits?

Wewe Una uhakika Nandy ana yote uliyosema Kwa kumuangalia kupitia social media?
Si juzi Tu mlikuwa mnasema Zamaradi ana kila kitu kupitia social media?

Inawezekana Una point kuhusu matatizo ya Ruby lakini mengineyo umeongeza chumvi sana...

By the way karibu kila Mtanzania katoka familia duni....mbona Wengi wako Okay....

Inawezekana kweli ana mental health issues lakini sio kweli inamzuia kutoa hits .....wapo watu wanatafuta wasanii wa kuwaandikia nyimbo....Kwa malipo......
Kanichosha kumuingiza Nandy, alitaka kumpaisha nandy wake na hakua pa kusemea, ndo akaona ampambe hapa. Lol
 
Habari wadau.

Nazani wengi tumeona trending za msanii wa kike Ruby.

Binafsi najua ruby amekosea ila kuna kitu nimekigundua na kumuelewa ruby.


Historia ya maisha ya ruby tu imempa hasira hasira.

Mtoto alielelewa kwa upendo wa baba na mama ana tofauti na mtoto alielelewa kwenye familia isiyo na upendo.

Ruby baba yake na mama yake hawaelewani.. ni walipigana mimba tu kila mtu akala kona.

Mama yake na ruby nae maisha alifeli ikapelekea ruby kulelewa na watu baki. Bila baba na mama.

Hiyo tu inaonesha ruby alifungwa goli 2 - 0 toka anazaliwa. Baba hajalea na mama hajalea..hapo kwa mtoto ni 2 - 0.

Ruby huyo huyo kapigwa mimba na Kussa kisha akaachwa. Akawa single mother hapo tayari goli 3 - 0 Trauma nyingine ikaja

Baada ya kussa kusepa kapata bwana mwingine nae bila ndoa kamzalishwa mtoto wa pili. Hapo tena 4 - 0.. trauma ya kuwa na watoto wawoli wa baba tofauti bila ndoa inamtesa.

Hapo ruby lazima awe na hasira hasira tu na msongo wa mawazo

Ruby huyo huyo anafananishwa na nandy.. ambaye anatoka familia inayoeleweka yenye upendo wa baba na mama.

Nandy hana trauma yoyote ya kifamilia ( wazazi).

na hata kwenye biashara ya muziki nandy muda wote kazungukwa na watu wanaojua kumuandikia nyimbo. Kumfanyia promo. Kuanzia enzi yupo na ruge mpaka leo yupo na billnass

Ana mume nandy sio single mother. Akili imetulia baba na mama wapo kwenye ndoa... baba mkwe wa nandy na mama mkwe yaani wazazi wa billnass nao wapo kwenye ndoa.. kwa levo za kifamilia familia nandy ana full of family life pande zote

Nandy Akitaka wimbo... anaandikiwa tu na billnass, unatoka hit song

Ruby akitaka wimbo anashika pen na karatasi anajiandikia.. wimbo unatoka kona kona tu.

HAPO RUBY LAZIMA AWE NA HASIRA HASIRA TU KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA TRAUMA..

Anayopitia ruby hata vijana wengi mtaani wanapitia hasa unemployed graduates waliokulia familia duni zisizo na upendo
Joannah
 
Tatizo kubwa la ruby ni kibri na ujeuri kama aligombana mpaka na ruge aliyemtoa mavumbini huko itakuwa majizo yule ana kibri sio cha kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulivyoandika utadhani wote tupo hivyo vijiwe vya umbea,wapi klip akinena kwa lugha mkuu?
 
Ingawa sijasoma uzi wako na huyo Ruby simjui ila ninaendelea kufahamu utaalamu wa Watanzania kujua maisha ya mtu kuliko mtu mwenyewe....

Yaani na diagnosis wanatoa kabisa...; nadhani hii nchi tuna wataalamu wengi sana wa maisha ya watu...
 
Habari wadau.

Nazani wengi tumeona trending za msanii wa kike Ruby.

Binafsi najua ruby amekosea ila kuna kitu nimekigundua na kumuelewa ruby.


Historia ya maisha ya ruby tu imempa hasira hasira.

Mtoto alielelewa kwa upendo wa baba na mama ana tofauti na mtoto alielelewa kwenye familia isiyo na upendo.

Ruby baba yake na mama yake hawaelewani.. ni walipigana mimba tu kila mtu akala kona.

Mama yake na ruby nae maisha alifeli ikapelekea ruby kulelewa na watu baki. Bila baba na mama.

Hiyo tu inaonesha ruby alifungwa goli 2 - 0 toka anazaliwa. Baba hajalea na mama hajalea..hapo kwa mtoto ni 2 - 0.

Ruby huyo huyo kapigwa mimba na Kussa kisha akaachwa. Akawa single mother hapo tayari goli 3 - 0 Trauma nyingine ikaja

Baada ya kussa kusepa kapata bwana mwingine nae bila ndoa kamzalishwa mtoto wa pili. Hapo tena 4 - 0.. trauma ya kuwa na watoto wawoli wa baba tofauti bila ndoa inamtesa.

Hapo ruby lazima awe na hasira hasira tu na msongo wa mawazo

Ruby huyo huyo anafananishwa na nandy.. ambaye anatoka familia inayoeleweka yenye upendo wa baba na mama.

Nandy hana trauma yoyote ya kifamilia ( wazazi).

na hata kwenye biashara ya muziki nandy muda wote kazungukwa na watu wanaojua kumuandikia nyimbo. Kumfanyia promo. Kuanzia enzi yupo na ruge mpaka leo yupo na billnass

Ana mume nandy sio single mother. Akili imetulia baba na mama wapo kwenye ndoa... baba mkwe wa nandy na mama mkwe yaani wazazi wa billnass nao wapo kwenye ndoa.. kwa levo za kifamilia familia nandy ana full of family life pande zote

Nandy Akitaka wimbo... anaandikiwa tu na billnass, unatoka hit song

Ruby akitaka wimbo anashika pen na karatasi anajiandikia.. wimbo unatoka kona kona tu.

HAPO RUBY LAZIMA AWE NA HASIRA HASIRA TU KUTOKANA NA MSONGO WA MAWAZO NA TRAUMA..

Anayopitia ruby hata vijana wengi mtaani wanapitia hasa unemployed graduates waliokulia familia duni zisizo na upendo
Anayopitia ruby hata vijana wengi mtaani wanapitia hasa unemployed graduates waliokulia familia duni zisizo na upendo[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom