RUBY ana Trauma na Depression, wanaomponda Ruby ni wajinga na ndio wamejaa kwenye familia zetu na maofisini

RUBY ana Trauma na Depression, wanaomponda Ruby ni wajinga na ndio wamejaa kwenye familia zetu na maofisini

Kuna kitu umeongea halafu umechanganya tena na upuuzi..
Hukuwa na sababu za kumtaja Nandy..
Kama kukosa upendo wa Baba mbona Diamond,Ommy Dimpoz na wengine karibu wote wanatoa hits?

Wewe Una uhakika Nandy ana yote uliyosema Kwa kumuangalia kupitia social media?
Si juzi Tu mlikuwa mnasema Zamaradi ana kila kitu kupitia social media?

Inawezekana Una point kuhusu matatizo ya Ruby lakini mengineyo umeongeza chumvi sana...

By the way karibu kila Mtanzania katoka familia duni....mbona Wengi wako Okay....

Inawezekana kweli ana mental health issues lakini sio kweli inamzuia kutoa hits .....wapo watu wanatafuta wasanii wa kuwaandikia nyimbo....Kwa malipo......
Kabisaaa, huyo nand kampa mtaji nenga wa biashara.
 
She kinda looks creepy to me
Chumbani kanaweza kupotea kwenye kuta...
Videmu vyembamba huwa naviogopa...
One hit wonder.
 
Malipo ni hapa hapa duniani.

Huyo Ruby alimbwaga bwana yake alipopata umaarufu tu akamuona mshikaji si chochote si lolote.
Shida ya wanawake wa sasa, wanaongozwa na tamaa sana.
Wakiwa wanatongozwa huko hujiona wanapendwa kumbe jamaa anataka kupiga na kusepa
 
Malipo ni hapa hapa duniani.

Huyo Ruby alimbwaga bwana yake alipopata umaarufu tu akamuona mshikaji si chochote si lolote.
Ndio maana sijawahi kumuonea huruma single mother aliekubali kuzalishwa na bishoo mlamba lips bila ndoa.

Wengi kipindi wapo katika peak walikua hawashikiki, very selective, na kuwaona wanaume wengine mambwiga!
 
Mnataka agawe Kwa Kila mtu, Ruge mlisema alinyimwa ndo maana akamtenga. Kwa hao mabinti msiwasaidie tu mpaka mpewe huo ni unyanyasaaji wa kijinsia
 
Back
Top Bottom