Ruge ni attention seeker ndo maana anajiombea interview mwenyewe clouds anapenda aonekane mwema na nyimbo aliyoisema sio hiyo wale waleRuge alisema huo wimbo alitunga yeye Ruge akishirikiana na Barnaba
sijawahi sikia Ruby akikanusha hiyo
kama hadi nyimbo walimtungia huwezi sema hawana haki ya kumtumia....
kuna baadhi ya wasanii bila kushikwa mkono hawawezi kusimama wenyewe.Rubby ni mmoja wao sijui anapata wapi jeuri ya kutaka kusimama mwenyewe wakat miguu haina nguvu...wacha avunje meno sasa...akitokea THT ni binti mnyange aliyetikisa anga la muziki wa bongo fleva mwaka uliopita..
Ana kipaji
Ana mvuto
Ana sauti
Lakini akakosa miongozo sahihi...utoto na pengine ulimbukeni wa kuwa maarufu ghafla kutokana na tungo zake tamu vilimchanganya hata kufikia kujiona kuwa sikio lake ni kubwa kuliko kichwa
Taratibu akaanza dharau na nyodo, akawadharau hata wadau muhimu kwenye industry, akatema bazoka kwa njugu za kuonjeshwa
Sasa Ruby wa mwaka jana si wa mwaka huu! Si habari tena, wengi wamepotea kwa njia hii list ni ndefu sana na hii yote imetokana na kujikweza na kulewa sifa haraka sana kabla ya mafanikio
Kabemendwa? Na nani? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]kuna baadhi ya wasanii bila kushikwa mkono hawawezi kusimama wenyewe.Rubby ni mmoja wao sijui anapata wapi jeuri ya kutaka kusimama mwenyewe wakat miguu haina nguvu...wacha avunje meno sasa...
Mkuu wewe unaona Hana mvuto lakini wengine wanamwelewa hii ni moja ya picha yake akiwa kwenye vazi la ufukweni!Ana kipaji, ndio! Ana sauti nzuri, ndio! Sema hapo kwenye mvuto naona unatuingiza Chaka. Au unatania Tu?
Mkuu huyo kwenye picha hapo juu ndo huyo uliye mwona kwenye hiyo video ya ngono?Hivi mkuu rubby ndio huyo amber lulu video yake ya ngono iliovuja week hii au mwingine mshana jr
Ngoja ningojee majibu hapaMshana, account yako inatumiwa na ruge, au ww ni ruge?
Duuh, kumbeMkuu wewe unaona Hana mvuto lakini wengine wanamwelewa hii ni moja ya picha yake akiwa kwenye vazi la ufukweni!
Thumb UP, havutii kwa kweli.Kuna vitu viwili sio sahihi hapo.
1. Mvuto (come on, lets be honest)
2. Tungo (sio zake)
Im,im..Ana kipaji, ndio! Ana sauti nzuri, ndio! Sema hapo kwenye mvuto naona unatuingiza Chaka. Au unatania Tu?
Ana sauti tu BA's...Kuna vitu viwili sio sahihi hapo.
1. Mvuto (come on, lets be honest)
2. Tungo (sio zake)
Shilole mama ntilie[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mkuu ukiisikiliza ile nyimbo ya ruby 'wale wale' utagundua ruby yupo sahihi kuchukua maamuzi Yale sema hakufanya wakati sahihi
Kama kweli clouds wana jali maslahi ya wasanii mbona barnaba mafanikio hayaendani na kipaji na recho je ndo maana ruby kuna mstari anasema
'ATAKUPA UNACHOTAKA AKUTUMIE ANAVYOTAKA
MUNGU MTU '
Ruby ameikimbia clouds kwasababu wanajali umaarufu kuliko pesa aliogopa ya lina recho amini na barnaba
Wanakufanya uwe maarufu lakini mfukoni njaaa imetawala
Go go ruby