Ruby! sifa zimemponza

Ruby! sifa zimemponza

unamwiga jide ataweza. hivi akisema aandae show ya peke yake yeye ndo kama msanii mkuu ataweza.

haukua mda sahihi wa yeye kuleta kiburi.
angejifunza kwa dogo janja. alileta jeuri mwisho wa siku aligundua kakosea wapi akarekebisha sasa hivi anakula matunda.
 
Ruge alisema huo wimbo alitunga yeye Ruge akishirikiana na Barnaba
sijawahi sikia Ruby akikanusha hiyo


kama hadi nyimbo walimtungia huwezi sema hawana haki ya kumtumia....
Ruge ni attention seeker ndo maana anajiombea interview mwenyewe clouds anapenda aonekane mwema na nyimbo aliyoisema sio hiyo wale wale
 
005c6fe78230809d39117f916ed77af2.jpg
akitokea THT ni binti mnyange aliyetikisa anga la muziki wa bongo fleva mwaka uliopita..
Ana kipaji
Ana mvuto
Ana sauti
Lakini akakosa miongozo sahihi...utoto na pengine ulimbukeni wa kuwa maarufu ghafla kutokana na tungo zake tamu vilimchanganya hata kufikia kujiona kuwa sikio lake ni kubwa kuliko kichwa
Taratibu akaanza dharau na nyodo, akawadharau hata wadau muhimu kwenye industry, akatema bazoka kwa njugu za kuonjeshwa
Sasa Ruby wa mwaka jana si wa mwaka huu! Si habari tena, wengi wamepotea kwa njia hii list ni ndefu sana na hii yote imetokana na kujikweza na kulewa sifa haraka sana kabla ya mafanikio
1026a3911f5fce2e930e2e52122802cc.jpg
kuna baadhi ya wasanii bila kushikwa mkono hawawezi kusimama wenyewe.Rubby ni mmoja wao sijui anapata wapi jeuri ya kutaka kusimama mwenyewe wakat miguu haina nguvu...wacha avunje meno sasa...
 
kuna baadhi ya wasanii bila kushikwa mkono hawawezi kusimama wenyewe.Rubby ni mmoja wao sijui anapata wapi jeuri ya kutaka kusimama mwenyewe wakat miguu haina nguvu...wacha avunje meno sasa...
Kabemendwa? Na nani? [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
Ana kipaji, ndio! Ana sauti nzuri, ndio! Sema hapo kwenye mvuto naona unatuingiza Chaka. Au unatania Tu?
Mkuu wewe unaona Hana mvuto lakini wengine wanamwelewa hii ni moja ya picha yake akiwa kwenye vazi la ufukweni!
1151569e26aec417dd72ed67045e0cd6.jpg
 
Mie namshauri arudi kwa Jesca BM akaimbe Gospel !!!!
Uku kwa kina Ruge siyo mchezo ni balaa japo mie sina hakika ila nasikia watu wanalalamika lalamika.
 
Mkuu ukiisikiliza ile nyimbo ya ruby 'wale wale' utagundua ruby yupo sahihi kuchukua maamuzi Yale sema hakufanya wakati sahihi

Kama kweli clouds wana jali maslahi ya wasanii mbona barnaba mafanikio hayaendani na kipaji na recho je ndo maana ruby kuna mstari anasema

'ATAKUPA UNACHOTAKA AKUTUMIE ANAVYOTAKA
MUNGU MTU '
Ruby ameikimbia clouds kwasababu wanajali umaarufu kuliko pesa aliogopa ya lina recho amini na barnaba

Wanakufanya uwe maarufu lakini mfukoni njaaa imetawala
Go go ruby
Shilole mama ntilie[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom