Ruby! sifa zimemponza

Ruby! sifa zimemponza

Ana kipaji, ndio! Ana sauti nzuri, ndio! Sema hapo kwenye mvuto naona unatuingiza Chaka. Au unatania Tu?
Hahahaa.....kama hakuvutii, ujue hajaumbwa rasmi kwa ajili yako mkuu......mwenzio ana mchumba alomvutia.....
 
005c6fe78230809d39117f916ed77af2.jpg
akitokea THT ni binti mnyange aliyetikisa anga la muziki wa bongo fleva mwaka uliopita..
Ana kipaji
Ana mvuto
Ana sauti
Lakini akakosa miongozo sahihi...utoto na pengine ulimbukeni wa kuwa maarufu ghafla kutokana na tungo zake tamu vilimchanganya hata kufikia kujiona kuwa sikio lake ni kubwa kuliko kichwa
Taratibu akaanza dharau na nyodo, akawadharau hata wadau muhimu kwenye industry, akatema bazoka kwa njugu za kuonjeshwa
Sasa Ruby wa mwaka jana si wa mwaka huu! Si habari tena, wengi wamepotea kwa njia hii list ni ndefu sana na hii yote imetokana na kujikweza na kulewa sifa haraka sana kabla ya mafanikio
1026a3911f5fce2e930e2e52122802cc.jpg
Kwahyo Ruby ndiye nwenye shida? Alishasajiliwa fiesta mara ghafla akajitoa mbona hutuambii kilitokea nini?
 
Mwenzie jide Ana pesa na Ana mashabiki pamoja na watu wazito waliomzunguka mwenzangu na mie hata rafik na diwani hana anataka kupambas na clouds
binamu simu yako imekufa tachi karekebishe[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] maana si kwa michapio hii
 
Ruge ni moja wa watu ninao wakubali sana, Mungu ampe maisha marefu
 
Ruge ni moja wa watu ninao wakubali sana, Mungu ampe maisha marefu
 
Nilijua tu hatafika popote, aende E fm akajisajili kidogo atapata nafuu kwingine sidhani
 
Hilo jina la RUBY lenyewe alipewa na RUGE Mutahaba,akaandikiwa nyimbo zote kasoro WALEWALE...

Aliandikiwa mashairi yote na Ruge,kuanzia na NA YULE,FOREVER.

Safari yake ya muziki ilianzia FIESTA kwenye shindano la SUPER NYOTA kule MWANZA...Angeondoka kistaarabu clouds mbona Ruge angemuelewa tu?!Nyodo zinampoza

Nakumbuka hata Mkubwa Fella alipata kusema juu ya nyodo za Ruby,kwenye video ya SU aliyoshirikishwa na YAMOTO BAND,miezi miwili anawazungusha kushoot video..mpaka Yamoto ikabidi wamtafute dada mwingine tofauti na Ruby ndio akashoot kipande cha Ruby..anadharau sana Ruby

Kuondoka clouds siyo yeye wa kwanza ameondoka,angeondoka kwa ustaarabu basi na akapata baraka kwa waliomsaidia,lakini Ruby ameondoka kwa kutoa kashfa kubwa Clouds kisa jeuri ya EFM!!

Ngoja aisome namba sasa..
 
Hapo kwe mvuto.. hapana aiseee.. hana hata kidogo.. 00%

Kuimba sawa, ila mvuto, kakosa kabisa..!! mgumuuu, mkavuu kama mihogo ya kuchoma,
hapana asiee
 
Hilo jina la RUBY lenyewe alipewa na RUGE Mutahaba,akaandikiwa nyimbo zote kasoro WALEWALE...

Aliandikiwa mashairi yote na Ruge,kuanzia na NA YULE,FOREVER.

Safari yake ya muziki ilianzia FIESTA kwenye shindano la SUPER NYOTA kule MWANZA...Angeondoka kistaarabu clouds mboa Ruge angemuelewa tu?!Nyodo zinampoza

Nakumbuka hata Mkubwa Fella alipata kusema juu ya nyodo za Ruby,kwenye video ya SU aliyoshirikishwa na YAMOTO BAND,miezi miwili anawazungusha kushoot video..mpaka Yamoto ikabidi wamtafute dada mwingine tofauti na Ruby ndio akashoot kipande cha Ruby..anadharau sana Ruby

Kuondoka clouds siyo yeye wa kwanza ameondoka,angeondoka kwa ustaarabu basi na akapata baraka kwa waliomsaidia,lakini Ruby ameondoka kwa kutoa kashfa kubwa Clouds kisa jeuri ya EFM!!

Ngoja aisome namba sasa..
Mziki wa bongo upo chini ya fella,Tale na Ruge sasa huyu dada anagombana na 2 kati yao..pumbav tumsahau tu
 
Mkuu ukiisikiliza ile nyimbo ya ruby 'wale wale' utagundua ruby yupo sahihi kuchukua maamuzi Yale sema hakufanya wakati sahihi

Kama kweli clouds wana jali maslahi ya wasanii mbona barnaba mafanikio hayaendani na kipaji na recho je ndo maana ruby kuna mstari anasema

'ATAKUPA UNACHOTAKA AKUTUMIE ANAVYOTAKA
MUNGU MTU '
Ruby ameikimbia clouds kwasababu wanajali umaarufu kuliko pesa aliogopa ya lina recho amini na barnaba

Wanakufanya uwe maarufu lakini mfukoni njaaa imetawala
Go go ruby
Kweli kabisa mkuu umenena kwa kipaji cha barnaba alitakiwa awe na mafanikio zaidi ya aliyonayo sasa..... uzuri ni kwamba barnaba mwenyewe amejitambua anajituma sana na anakubalika bila hata influence ya mawingu otherwise angekuwa ametumika na kupotea kabisa... Ni mtazamo tu
 
Back
Top Bottom