Rudeboy ashauri wanaume pia kukataa uhusiano wowote wa kimapenzi na mwanamke fukara!

Rudeboy ashauri wanaume pia kukataa uhusiano wowote wa kimapenzi na mwanamke fukara!

Kwanza watawakataa wanawake mafukara.

Halafu, kama kigezo ni pesa, itaangaliwa pesa tu, bila kujali mwanamke au mwanamme.

Kwa hiyo hata mwanamke mwenye pesa ataweza kupinduliwa na mwanamme mwenye pesa zaidi.

Si kigezo pesa?
Daa kazi kweli kweli
 
Mwanamke fukara unamuonea huruma unamuo, mbeleni anakusaliti kwa lijamaa lenye hela. Unashindwa uue yupi kati ya wawili hao walioharibu ndoa, unaamua isiwe taabu unamuacha mwanamke akaolewe na mwenye hela kiu yake itulie
Hatari sana aisee
 
Paul Okoye, maarufu kama Rudeboy kutoka kundi la muziki wa Afrobeats la PSquare amezua gumzo mitandaoni baada ya kuwashauri wanaume pia kukumbatia hulka ya kukataa mpenzi wa kike asiye na hela, kama wanavyofanya wanawake wengi.

Ifahamike kwamba idadi kubwa ya wanawake wakati wa kufanya chaguo la mwanamume wa kuingia katika uchumba naye, wengi huangalia kigezo cha ‘mwanamume mwenye hela’ na kama huna hela mtoto wa kiume unakataliwa papo hapo.

Sasa Rudeboy anahisi kwamba ni wakati wanaume pia waanze kufuata mkondo huo, akisema kuwa kama wanawake wanavyochagua mwanamume mwenye hela wakati wao hawana chochote cha kuchangia katika mapenzi, basi pia wanaume waanze kuchagua ‘mwanamke mwenye hela’ na kama hana akwende zake pia.

Msanii huyo kupitia instastory yake aliwauliza wanawake watajihisi vipi ikiwa wanaume pia wataanza kuchagua wanawake wenye hela, je wengi wao watapata wapenzi kweli ama wataishia pia kulia.

Rudeboy alisema kwamba wanaume wengi wanapitia aibu zilizokithiri mikononi mwa wanawake wanapopeleka ombi lao la kutaka mapenzi, wengi huishia kusimangwa na kutukanwa vibaya kisa hawana hela.

“Tafadhali wanaume wenzangu, acheni kuoa wanawake mafukara… kwenu nyinyi wanawake, hiyo inaeleweka aje? Mbona kila wakati mnawaaibisha wanaume kisa ufukara? Nafikiri ni wakati wanaume waanze kuchumbiana na wanawake wenye haiba zao kupitia hali zao za kifedha,” Rudeboy alisema.View attachment 2998906
Ukiwa nazo ndio inavyotakiwa ila kama huna lazima uende Kwa fukara mwenzio
 
Hamna kitu kibaya hasa kwa mapenzi ya siku hizi, kulithaminisha tendo la ngono kwa fedha, ndio maana linapoteza maana na kusababisha hata ndoa zionekane hazina maana kwani kuna wengine wanauziwa ngono kwenye ndoa zao.

Sometimes unashindwa kutofautisha malaya na mke,sababu mwisho wa siku wote wanataka pesa,bila pesa ngono/mapenzi hamna.

swala la mwanaume kupata faraja wakati anapitia hali ngumu ya kiuchumi siku hizi wanaoweza ni wanawake wachache mno, ila wengi hawawezi wengine wanawakimbia mpaka waume zao,ambao mwanzoni unakuta alikuwa na hali nzuri ya kiuchumi ila kuteteleka kidogo mke anakimbia.

Sometimes ukifikiria sana unaona hata hawa wapenzi tulio nao wanatuuzia.Hata hizi kelele za kutusema wanaume ni wabahili, ukichunguza sana utakuja kugundua kwamba wanwake wengi wanapenda luxury, ila wanaume wengi wana uwezo wa kutimiza mahitaji ya msingi ya mwanamke na si luxury hizi wazitakazo.

Hali itakuwa mbaya zaidi endapo mwanaume nae akianza kuthaminisha tendo la ngono kwa fedha,sababu atakuwa anaenda kinyume na majukumu yake ya kiasili.
 
Paul Okoye, maarufu kama Rudeboy kutoka kundi la muziki wa Afrobeats la PSquare amezua gumzo mitandaoni baada ya kuwashauri wanaume pia kukumbatia hulka ya kukataa mpenzi wa kike asiye na hela, kama wanavyofanya wanawake wengi.

Ifahamike kwamba idadi kubwa ya wanawake wakati wa kufanya chaguo la mwanamume wa kuingia katika uchumba naye, wengi huangalia kigezo cha ‘mwanamume mwenye hela’ na kama huna hela mtoto wa kiume unakataliwa papo hapo.

Sasa Rudeboy anahisi kwamba ni wakati wanaume pia waanze kufuata mkondo huo, akisema kuwa kama wanawake wanavyochagua mwanamume mwenye hela wakati wao hawana chochote cha kuchangia katika mapenzi, basi pia wanaume waanze kuchagua ‘mwanamke mwenye hela’ na kama hana akwende zake pia.

Msanii huyo kupitia instastory yake aliwauliza wanawake watajihisi vipi ikiwa wanaume pia wataanza kuchagua wanawake wenye hela, je wengi wao watapata wapenzi kweli ama wataishia pia kulia.

Rudeboy alisema kwamba wanaume wengi wanapitia aibu zilizokithiri mikononi mwa wanawake wanapopeleka ombi lao la kutaka mapenzi, wengi huishia kusimangwa na kutukanwa vibaya kisa hawana hela.

“Tafadhali wanaume wenzangu, acheni kuoa wanawake mafukara… kwenu nyinyi wanawake, hiyo inaeleweka aje? Mbona kila wakati mnawaaibisha wanaume kisa ufukara? Nafikiri ni wakati wanaume waanze kuchumbiana na wanawake wenye haiba zao kupitia hali zao za kifedha,” Rudeboy alisema.View attachment 2998906
Naunga mkono hoja mfano mm huwa si date kabisa na Manzi asiye na nauli
 
Hamna kitu kibaya hasa kwa mapenzi ya siku hizi, kulithaminisha tendo la ngono kwa fedha, ndio maana linapoteza maana na kusababisha hata ndoa zionekane hazina maana kwani kuna wengine wanauziwa ngono kwenye ndoa zao.

Sometimes unashindwa kutofautisha malaya na mke,sababu mwisho wa siku wote wanataka pesa,bila pesa ngono/mapenzi hamna.

swala la mwanaume kupata faraja wakati anapitia hali ngumu ya kiuchumi siku hizi wanaoweza ni wanawake wachache mno, ila wengi hawawezi wengine wanawakimbia mpaka waume zao,ambao mwanzoni unakuta alikuwa na hali nzuri ya kiuchumi ila kuteteleka kidogo mke anakimbia.

Sometimes ukifikiria sana unaona hata hawa wapenzi tulio nao wanatuuzia.Hata hizi kelele za kutusema wanaume ni wabahili, ukichunguza sana utakuja kugundua kwamba wanwake wengi wanapenda luxury, ila wanaume wengi wana uwezo wa kutimiza mahitaji ya msingi ya mwanamke na si luxury hizi wazitakazo.

Hali itakuwa mbaya zaidi endapo mwanaume nae akianza kuthaminisha tendo la ngono kwa fedha,sababu atakuwa anaenda kinyume na majukumu yake ya kiasili.
Uko sahihi kbsa
 
Back
Top Bottom