Rudeboy ashauri wanaume pia kukataa uhusiano wowote wa kimapenzi na mwanamke fukara!

Rudeboy ashauri wanaume pia kukataa uhusiano wowote wa kimapenzi na mwanamke fukara!

Uzi ulikua mzuri ila umeshanajisiwa na matahira fulani,[emoji706]

Btw, namsapoti RudeBoy suala la utafutaji liwe kwa wote, wanawake waache kua tegemezi, zama zimebadilika.
Na hapo ndo haki ya mwanamke inaweza kua balanced.
Imagine mwanamke unanyumba yako mwenyewe, investments zako za kutosha, na usafiri wa maana, unadate na mtu mwenye ivo vitu pia.
Hapo hata mkigombana kila mtu anabaki kwake hakuna kuingiliana wala kuvutana.
Shida ya wanawake ni ukishamtongoza then ananza kukupa majukumu yake ata kama anahela hutoshika , then yeye analayback alafu bado atataka usimpelekeshe kumpangia namna ya kuishi.
 
Na hapo ndo haki ya mwanamke inaweza kua balanced.
Imagine mwanamke unanyumba yako mwenyewe, investments zako za kutosha, na usafiri wa maana, unadate na mtu mwenye ivo vitu pia.
Hapo hata mkigombana kila mtu anabaki kwake hakuna kuingiliana wala kuvutana.
Shida ya wanawake ni ukishamtongoza then ananza kukupa majukumu yake ata kama anahela hutoshika , then yeye analayback alafu bado atataka usimpelekeshe kumpangia namna ya kuishi.
Hatari aisee
 
Oohh kwahiyo na wanawake nao waanze kuangalia tabia njema, na ujuzi wa kufanya kazi za nyumbani kwa wanaume, kama ambavyo wanaume wanaangalia sifa hizo kwa wanawake au hajafikiria hilo

By the way wanawake wengi wanafuata pesa kwa wanaume, kwa sababu wanajua wanaume wengi hawana mapenzi ya dhati, wanaume wengi wanadate kwa ajili ya ngono tu wakishakuchoka wanakuacha

So mwanaume hana cha kupoteza ila mwanamke anakuwa kapotezewa muda wa kuolewa na kuzidi kuongeza mileage ya papuchi tu, kwahiyo wanawake nao wakaona waanze kuwapotezea pesa wanaume, ili hata wakiachwa walau nao waambulie kitu wasiachwe mikono mitupu
Mkuu usiamishe magoli, hayo masuala ya tabia na kazi za nyumbani hayajaongelewa hapa. Hoja iliyopo mezani ni hela. Ukitaka mwenye hela na wewe uwe nazo.
 
Back
Top Bottom