Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Unajia vitu vyangu sio...we wakwangu nishakuelewa mbinu zakoπ€£π€£π€£π€£π€£
Ahahahahahhahaaha wee subiri tuuuUtakomaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utavavaaAhahahahahhahaaha wee subiri tuuu
Soon as possible..
Vina mda basi [emoji23]
Niache πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utavavaa
raha yako uaminishe watu tunafahamiana sioπππππππππΎUnajia vitu vyangu sio...
Leo weeknd nipo around vipi sasa unakuja au .!?
Note thisSema kwelii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio naona itakua hivo soon as possible πππππraha yako uaminishe watu tunafahamiana sioπππππππππΎ
Na hapo ndo haki ya mwanamke inaweza kua balanced.Uzi ulikua mzuri ila umeshanajisiwa na matahira fulani,[emoji706]
Btw, namsapoti RudeBoy suala la utafutaji liwe kwa wote, wanawake waache kua tegemezi, zama zimebadilika.
Utachachaa safarii hiii, na huendi Dar utaona.Niache [emoji23][emoji23][emoji23]
Mwezi wa saba naingia dar do or die...Utachachaa safarii hiii, na huendi Dar utaona.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nani amfate mwenzie sasaπππππππΎππΎππΎπππNdio naona itakua hivo soon as possible πππππ
ππππUnataka mambo yawe magumu ms Rnani amfate mwenzie sasaπππππππΎππΎππΎπππ
πππWapi nmeandka ivo mimππππUnataka mambo yawe magumu ms R
Tuondoke humu basiπππWapi nmeandka ivo mim
ππΎββοΈππΎββοΈTuondoke humu basi
Hatari aiseeNa hapo ndo haki ya mwanamke inaweza kua balanced.
Imagine mwanamke unanyumba yako mwenyewe, investments zako za kutosha, na usafiri wa maana, unadate na mtu mwenye ivo vitu pia.
Hapo hata mkigombana kila mtu anabaki kwake hakuna kuingiliana wala kuvutana.
Shida ya wanawake ni ukishamtongoza then ananza kukupa majukumu yake ata kama anahela hutoshika , then yeye analayback alafu bado atataka usimpelekeshe kumpangia namna ya kuishi.
HatarWagumu kutoa hela hao, wanaweza kuacha ukiteketea hivi hivi .
Mkuu usiamishe magoli, hayo masuala ya tabia na kazi za nyumbani hayajaongelewa hapa. Hoja iliyopo mezani ni hela. Ukitaka mwenye hela na wewe uwe nazo.Oohh kwahiyo na wanawake nao waanze kuangalia tabia njema, na ujuzi wa kufanya kazi za nyumbani kwa wanaume, kama ambavyo wanaume wanaangalia sifa hizo kwa wanawake au hajafikiria hilo
By the way wanawake wengi wanafuata pesa kwa wanaume, kwa sababu wanajua wanaume wengi hawana mapenzi ya dhati, wanaume wengi wanadate kwa ajili ya ngono tu wakishakuchoka wanakuacha
So mwanaume hana cha kupoteza ila mwanamke anakuwa kapotezewa muda wa kuolewa na kuzidi kuongeza mileage ya papuchi tu, kwahiyo wanawake nao wakaona waanze kuwapotezea pesa wanaume, ili hata wakiachwa walau nao waambulie kitu wasiachwe mikono mitupu