Mkuu nina hakika hii rufaa ingekatwa na Afrikan Lyon dhidi ya Yangaa....hili suala lingezungushwa mpaka ligi ingekwisha bila ya kupata majibu......
Only in Tanzania.....bingwa anapangwa na chama cha soka.....
Ameanza kucheza mechi kipindi ambacho Mkataba umemalizika....
Ni tofauti kabisa na hili la Huyu wa African Lyon.
Tumia utimamu kutafakari masuala.
kuna watu waliuliza lawezaje neno jema la simba kutoka TFF? UKIANGALIA safu ya TFF basi unaenda kuoga na kulala tu HAKUNA KITU HUMO
Matopeni wana selective memory. Waulize nani bingwa wa kihistoria Tanzania? Hawakumbuki for thier convenience.
VIJANA WENGI WA MATOPENI FC HAMUWEZI KUKUMBUKA HILI..
KAMUULIZE HAJJI MANARA ATAKUPA STORY ZAIDI
.
HAPA MLILAZWA 5 KAVU.
HALAFU WALA HATURINGI NA KUJIDAI.... KWA KUWA NI KITU CHA KAWAIDA SANA.
HUKUMU BADOKwa hiyo hukumu iliyotolewa na kamati ni batili....na kama ni ya haki....uhalali wa mechi alizocheza Yanga upi.....!!??
Ukisema tufukue makaburi utazidi kuchekwa mkuu, mtafute King kibadeni awakumbushe alichowafanyia miaka hiyo[emoji13] [emoji13] [emoji13]Mlichofanya ni Kurudisha zile 5 ambazo tulizowapiga msimu wa mwaka. 1968.
Ukisema tufukue makaburi utazidi kuchekwa mkuu, mtafute King kibadeni awakumbushe alichowafanyia miaka hiyo[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Goli 6 mtungi mwaka 1977. Tena na King Kibaden kupiga hattrick. Na ndio mchezaji pekee kufunga hiyo hattrick katika mechi baina ya Simba na Yanga.Ukisema tufukue makaburi utazidi kuchekwa mkuu, mtafute King kibadeni awakumbushe alichowafanyia miaka hiyo[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Mkuu hujui au umesahau? Kessy alizuiliwa kucheza mpaka TFF walipomruhus u kucheza huku suala lake lina shughurikiwa ili kulinda kipaji chake.Sasa kama suala la Kessy Yanga....amekutwa na hatia ya kumchezesha mchezaji ambaye si halali kwake na kuhukumiwa kumlipa Simba mil 50.....sasa zile mechi alizocheza Kessy....zina uhalali gani.....!!???
Kweli hii ligi inaendeshwa kimagumashi..........
Yaani mechi alizocheza ni halali lakini mchezaji mwenyewe sio halali........!!!
Only in Tanzania....
Na ndiyo rekodi mpaka sasa kwa timu moja kufungwa goli nyingi baina ya timu hizi.Goli 6 mtungi mwaka 1977. Tena na King Kibaden kupiga hattrick. Na ndio mchezaji pekee kufunga hiyo hattrick katika mechi baina ya Simba na Yanga.
Mkuu hujui au umesahau? Kessy alizuiliwa kucheza mpaka TFF walipomruhus u kucheza huku suala lake lina shughurikiwa ili kulinda kipaji chake.
Huyu jamaa kaanza kushabikia mpira kipindi cha Magu ndio maana ana google badala ya kutoa kumbukumbu kichwaniNa ndiyo rekodi mpaka sasa kwa timu moja kufungwa goli nyingi baina ya timu hizi.
Sasa mbona TFF imeiashibu Yanga?TFF SI NDIO YANGA WENYEWE....au unajifanya hujui......
Sasa mbona TFF imeiashibu Yanga?
Imeiadhibu au imejivua lawama......sasa kama wameona kessy hakuwa na uhalali Yanga....na kutozwa milioni...hamsini.....hizo mechi alizocheza kessy Yanga zina uhalali gani.....!!??
Mkuu!Wacha Unafiki Kujifanya Unalinda Kanuni Kumbe Unataka Vya Bure...
Mbona Siku ya Mechi Yenu Na Simba Lile Goli Lenu la Mkono Hamkuenda TFF kulikataa Wakati Kufungia Mkono Ni Kinyume Cha Sheria na Kanuni Za Soka???
Sasa Kanuni Gani Hizo Unazotaka Ziheshimiwe Wakati Munapozivunja Nyinyi Kwa Kucheza Mpira Wa Mikono Zinakuwa Ni Halali??
Na Je Tambwe Alipoushika Mpira Aliziheshimu Kanuni Kwa Kuuwacha Mpira na Kumuomba Refa Kuwa Amefanya Makosa?? Mbona Alifunga wakati ni Kinyume na Kanuni??
Acheni Unafiki Kujifanya Munalinda Sheria a Soka kumbe Lengo Lenu Munataka Vya Bure Vya Mezani.....
Kuna moja ya Kamati mule ndani inaongozwa na kiongozi wenu wa Klabu.kuna watu waliuliza lawezaje neno jema la simba kutoka TFF? UKIANGALIA safu ya TFF basi unaenda kuoga na kulala tu HAKUNA KITU HUMO
Mimi naona memory zao ziko allergic matukio ya Yanga SC. [emoji23]Matopeni wana selective memory. Waulize nani bingwa wa kihistoria Tanzania? Hawakumbuki for thier convenience.
Watakuambia habari za Kombe la Mapinduzi, Kombe la Tusker.
Hadi kuifikia Yanga ubingwa wa Tanzania labda karne mbili zijazo
Kwa kuwa hizo 5 mmeshinda juzi, basi mna haki ya kujibamba nazo.Ukisema tufukue makaburi utazidi kuchekwa mkuu, mtafute King kibadeni awakumbushe alichowafanyia miaka hiyo[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Yawapasa muwe mnazungumzia zile bao 6. Sio bao 5.Ukisema tufukue makaburi utazidi kuchekwa mkuu, mtafute King kibadeni awakumbushe alichowafanyia miaka hiyo[emoji13] [emoji13] [emoji13]