Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
kuna watu waliuliza lawezaje neno jema la simba kutoka TFF? UKIANGALIA safu ya TFF basi unaenda kuoga na kulala tu HAKUNA KITU HUMO
Mkuu nina hakika hii rufaa ingekatwa na Afrikan Lyon dhidi ya Yangaa....hili suala lingezungushwa mpaka ligi ingekwisha bila ya kupata majibu......
Only in Tanzania.....bingwa anapangwa na chama cha soka.....