Rufiji: Vijiji 23 vimekumbwa na mafuriko makubwa kutoka Bwawa la Umeme la JNHPP. Je, Tathmini ya athari kwa mazingira ilipuuzwa kabla ya ujenzi?

Ni kweli kabisa. Labda walipumzika wakati bwawa linajazwa maji. Lakini hilo bonde lina historia ya kupatwa na mafuriko hasa kipindi cha masika....
Moja ya sababu za kujengwa Kwa bwawa ni kudhibiti Mafuriko downstream lakini Sasa bwawa limeongeza Mafuriko.

Hii ni matokeo ya kupuuza EIA,Sasa hivi watalazimika kuhamishia watu na maeneo ambayo yangefaa kwa.kilimo.kufa Kwa sababu bwawa limegeuka acceleror na sio controller
 
Ni kweli kabisa. Labda walipumzika wakati bwawa linajazwa maji. Lakini hilo bonde lina historia ya kupatwa na mafuriko hasa kipindi cha masika....
Ambia hizi maiti humu.ii
 
Hizi ndio akili za kifala zile za Jiwe na wafuasi wake.

Je hayo mamlaka ya Serikali yanatakiwa kukiuka haki za binadamu? Kama yanakiuka kinakuwa na haja gani ya kuwa na mradi wa hivyo?

Ndio maana tunawaambia nyie punguani Kwa nini hamkufanya EIA kabla ya ujenzi?

Mwisho very unfortunately hakuna mradi wa Jiwe hata mmja unaoleta faidia ni hasara tupu kuanzia mkulazi ,sijui.kiwanda Cha ngozi na Sasa bwawa.

Hilo bwawa wamezima mtambo na kuwasha kidatu kisa eti maji yamezidi Kwa sababu hakuna mechanism ya control ya maji mengi,mbona huko kidatu nk Huwa maji yakizidi yanafungukiwa na mitambo haizimi?

Jiwe mkurupukaji alikuwa mtu wa hovyo sana.
 
Hizi ndio akili za kifala zile za Jiwe na wafuasi wake.

Je hayo mamlaka ya Serikali yanatakiwa kukiuka haki za binadamu? Kama yanakiuka kinakuwa na haja gani ya kuwa na mradi wa hivyo?
Haki za binaadam na mattacke yako??haki ya nani imeporwa hapo??
Ndio maana tunawaambia nyie punguani Kwa nini hamkufanya EIA kabla ya ujenzi?
Punguani baba yako,ambaye kashindwa kukufundisha namna ya kuzingatia mambo yenye tija kwa taifa zaidi ya uchawa.
Mwisho very unfortunately hakuna mradi wa Jiwe hata mmja unaoleta faidia ni hasara tupu kuanzia mkulazi ,sijui.kiwanda Cha ngozi na Sasa bwawa.
Cha ajabu bibi yako kaengeza ndege juzi sijui una taarifa??
Hilo bwawa wamezima mtambo na kuwasha kidatu kisa eti maji yamezidi Kwa sababu hakuna mechanism ya control ya maji mengi,mbona huko kidatu nk Huwa maji yakizidi yanafungukiwa na mitambo haizimi?
Hapo sasa tuliza speaker hiyo nyuma utafakarikuna nini kinaendelea nyuma ya uzimaji wa mitambo???

Jiwe mkurupukaji alikuwa mtu wa hovyo sana.
Na ataendelea kuwafilimba hata akiwa marehemu,sababu mnapenda sana upuuzi kuliko kazi.
 
Mwendelezo wa utaahira na upumbavu 🚮🚮
 
Tangu lini Jiwe na wafuasi wake wakawa na akili? 😆😆😆😆

Kila alipogusa ni hasara tupu 🚮🚮
Sisi wananchi tumekaa tuone la faida hata moja mtakaloanzisha,mwaka wa 3 huu,ni kuzurula tu.
 
Hatari Sana Hii Na Mvua Zinaendelea Kunyesha Sana
 
Muafrika siku zote huwa anatabia ya kufanya jambo bila kuangalia hatima yake na likiwa na madhara zitatumika njia zipi kunusuru
 
Lakini faida ya mradi ni kubwa kuliko changamoto mnayo iona.... Kuhamisha watu 1000 huwezi linganisha na faida ya mradi. Kwasasa maendeleo ya nchi yanategemea sana uwepo wa nishati ya uhakika. Tupunguze malalamiko bali tuwe sehemu ya kutafuta suluhu ya changamoto....
 
Januari jr naona unakuja kwa style nyingine ya kujikosha!! Huku songwe hakuna Bwawa la Nyerere lakini vijiji vimezingirwa na maji.

Au kwa sababu huku Songwe tunakula Kitimoto?
Watu wajinga sana mafuriko hata Ulaya na Marekani yapo kwa hiyo Bwawa la Nyerere kujaa maji na kuathiri baadhi ya vijiji haiwezi kuwa hoja yenye mashiko!
Serkali inapaswa kufanya tadhimini na kuwahamisha wanachi kutoka maeno hayo!
 
Kwani ni mara ya kwanza vijiji hivyo kukumbwa na mafuriko? Wenyewe wamasema walidhani ujenzi wa Bwawa ungekuwa suluhu ya matatizo ya mafuriko yanayowakumba mara kwa mara so kwa kauli hiyo ni wazi kuwa si mara ya kwanza na hivyo tusihusishe janga hilo na Bwawa la Nyerere. Naona vita dhidi ya hilo Bwawa bado inaendelea!
 
Na hii ndiyo imesababisha mtambo kuzimwa. Ccm huwa wanakurupuka sana.

Jiwe alikuwa hasmbiliki mshenzi yule. Yako wapi sasa? Legacy ziiiiii!!
We ni wa kupuuzwa, chuki uliyonayo ni kubwa mno mpaka inakutoa akili. Kwani ndo mara ya kwanza vijiji hivyo kukumbwa na mafuriko? Faida ya Bwawa huwezi kulinganisha na hasara itokanayo na mafuriko hayo hata robo. Chuki hupunguza uwezo wa kufikiri.
 
Pamoja na umeme kwani bwawa lililenga nini Kingine tofauti na kudhibiti Mafuriko?

Limeongeza Mafuriko Kwa sababu EIA haikufanyika,hakuna excuses hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…