Ruge atimiza miaka 49, happy birthday Mdau

atasubiri afike 70 aoe kabinti ka miaka 20 kamuue kwa heart attack.
Hakuna kitu kama hicho.Baba yangu mkubwa ana miaka 73,kaoa mke wa tatu binti wa miaka 22.
Na yuko fiti balaa.

"Kadri mvinyo unavyokaa muda mrefu ndio unakuwa mtamu zaidi.
 
Wanaume bana ts weird mnoo unavogoma kumsamehe wkt na wewe ulimsaliti...mimba ungekua wa kike hata wewe ungeweza pata au ungeweza mpa mtu ni bht mbaya

Endelea kujisahaulisha mkuu hamna namnaa
Wanaume ni jambo la asili kwetu kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja.
Sasa na nyinyi wanawake mnataka kushindana na wanaume,ndio maana kuna kansa ya kizazi.Hii ni asili ya maumbile.
 
Huyu Jamaa kaanza zamani sana nakumbuka enzi za Kina Odemba Faces International 1997 au 1998 yupo kwenye majukwaa ya urembo kaanza zamani sana,jamaa ana mwili mkavu sana.
 
Utu uzima dawa! Ndio maana Ruge una busara sana! Happy Birthday to you, bro!!!
 
Nilidhani huyu mtani ana 30s..kumbe hata me anaweza kunizaa? Sasa mbona bado anahangaika na vibinti vidogo mpaka Leo?
 
Wabinafsi kweli. Kuna mbaba ana kama 60yrs anakaa mitaa ya kwenu kama Rainbow kwa chini. Yule baba kilio chake kikubwa ni ndoa. Ana maisha akitaka mwanamke yeyote anampata ila haoni aoe nani. Anaishia kuwatia anaacha ila akikaa ni ndoa ndoa tu

[emoji2] [emoji2] Kumbe kwa umri wa miaka 25-28 bado unakuwa ni "dogo" eeh!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…