Comrade 01
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 601
- 626
Hakuna kitu kama hicho.Baba yangu mkubwa ana miaka 73,kaoa mke wa tatu binti wa miaka 22.atasubiri afike 70 aoe kabinti ka miaka 20 kamuue kwa heart attack.
Na yuko fiti balaa.
"Kadri mvinyo unavyokaa muda mrefu ndio unakuwa mtamu zaidi.