[emoji2] [emoji2] Kumbe umri wa miaka 25-28 bado unakuwa ni "dogo" eeh!??
Nilikuwa najiona mkubwa, Kumbe na mm bado dogo eeh!?? Maana kiumri kwa sasa nipo kwenye rika hilo.Kwa mwanaume 25 26 ni mdogo. Bora 28 kidogo kakua. Mkuu hujaona kuna kijana huku miaka 25 analalamika baba ake anamwambia akapange wakati yeye bado mdogo
Nilikuwa najiona mkubwa, Kumbe na mm bado dogo eeh!?? Maana kiumri kwa sasa nipo kwenye rika hilo.
Kwa mwanaume 25 26 ni mdogo. Bora 28 kidogo kakua. Mkuu hujaona kuna kijana huku miaka 25 analalamika baba ake anamwambia akapange wakati yeye bado mdogo
[emoji2] [emoji2] sema inachekesha sana kwenye umri huu kujiita mtoto. Na teenagers wataitwaje?? [emoji2] Basi i guess teenagers wataitwa "Toddlers"Na wewe mtoto
Nimeshamjua huyo mtu.Wabinafsi kweli. Kuna mbaba ana kama 60yrs anakaa mitaa ya kwenu kama Rainbow kwa chini. Yule baba kilio chake kikubwa ni ndoa. Ana maisha akitaka mwanamke yeyote anampata ila haoni aoe nani. Anaishia kuwatia anaacha ila akikaa ni ndoa ndoa tu
Kumbe pesa inachelewesha uzee?Ila pesa Bado zinamfanya aonekane kijana
Naomba namba yakeNimeshamjua huyo mtu.
Nawezaje kutoa namba ya mtu (private number) kwa mtu nisiye mfahamu??!!!!Naomba namba yake
Kumbe!!??Ila pesa Bado zinamfanya aonekane kijana
ila kawasaidia wengi saaana pia.Ruge, mnyonyaji wa wasanii
Hii nchi wanafiki wengi. Wanasema mabaya ya MTU ila mazuri hawasemi.ila kawasaidia wengi saaana pia.
Huyu jamaa (Ruge) ana mchango wake mkubwa sana saaana ktk tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini Tanzania (almaarufu km Bongo Flava). Hakuna mtu ambye ni mkamilifu (kila mtu ana mapungufu yake, iwe ni Msanii, Meneja, Promota, Mmiliki wa TV au Radio etc.), ila Ruge kawasaidia weeeengi saaaana.Hii nchi wanafiki wengi. Wanasema mabaya ya MTU ila mazuri hawasemi.
Pesa sabuni ya rohoIla pesa Bado zinamfanya aonekane kijana
Kwani lazima uolewe? Endelea kua kiburudisho...watu wajipigie wakiwa na nyege watambae.Ni umafia.kuna dogo alisoma na mdogo wangu namzidi miaka minne .anataka ndoa balaa.naanzaje? Nikamwambia hapana .ndoa inaenda hivi hvi naiona Ila sio mbaya nitakufa na tai shingoni
Aligundua kuoa sometimes ni pasua kichwa.unaweza zaaa tu watoto na mama zao wakabaki kuwa huru49 bado hakufikiria kuoa? ndo mana Zamaradi alikimbia..