Ruge atimiza miaka 49, happy birthday Mdau

Ruge atimiza miaka 49, happy birthday Mdau

Anyway niliwahi kuwa na mke, kuna wakati nilitoka kwa muda flani nje ya mipaka ya tz, baada ya kurejea miaka 4 baadae nikakuta mambo mengi yameharibika likiwepo swala la mke kujaribu kutoa mimba.Thats it, ndio maana nyie wanawake mimi nawaangaliaga tu.
Pole sana.mimba ilikuwa ya nani jamani?
 
Anyway niliwahi kuwa na mke, kuna wakati nilitoka kwa muda flani nje ya mipaka ya tz, baada ya kurejea miaka 4 baadae nikakuta mambo mengi yameharibika likiwepo swala la mke kujaribu kutoa mimba.Thats it, ndio maana nyie wanawake mimi nawaangaliaga tu.
Miaka minne hurudi hata kumkaza mkeo unategemea nini?.we ulikua mwaminifu hio mika yote?.
 
Miaka minne hurudi hata kumkaza mkeo unategemea nini?.we ulikua mwaminifu hio mika yote?.
Nilitoka kwa tahadhari kwa maana ya kupunguza tamaa za mwili
lkn sikumpa mtu mimba kiasi cha kumdhalilisha mke wangu.
 
Anyway niliwahi kuwa na mke, kuna wakati nilitoka kwa muda flani nje ya mipaka ya tz, baada ya kurejea miaka 4 baadae nikakuta mambo mengi yameharibika likiwepo swala la mke kujaribu kutoa mimba.Thats it, ndio maana nyie wanawake mimi nawaangaliaga tu.
Unawachekiiiiii halafu unasema tu hiiiiii!.[emoji124][emoji124]
 
Huyu jamaa ana heshima kubwa katika muziki wa hapa tz,lakin historia inaonyesha ni MTU wa visasi hasa msanii anapokataa kukubaliana na matakwa yake linapokuja suala LA maslahi.
 
Back
Top Bottom