Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Sijaolewa bado. Nitashukuru baba mkweIna maana bado hujaolewa wewe binti wa kizigua? naomba nikupatie kijana wangu.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaolewa bado. Nitashukuru baba mkweIna maana bado hujaolewa wewe binti wa kizigua? naomba nikupatie kijana wangu.....
Ngabu ulimtosa kabisa? Au hupendi mahandsome kama Mimi?Sijaolewa bado. Nitashukuru baba mkwe
Ngabu alinitosa mwaya. Bado naugulia machungu ya kutoswaNgabu ulimtosa kabisa? Au hupendi mahandsome kama Mimi?
Pamoja na madhaifu yake ya kukosa masikio anatosa mtu? Mimi napenda wahenga wenzangu vijana siwaweziNgabu alinitosa mwaya. Bado naugulia machungu ya kutoswa
Ila dyudyu unampa?Ni umafia.kuna dogo alisoma na mdogo wangu namzidi miaka minne .anataka ndoa balaa.naanzaje? Nikamwambia hapana .ndoa inaenda hivi hvi naiona Ila sio mbaya nitakufa na tai shingoni
Big no.Ila dyudyu unampa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Senior bachela
Utamfata Zama akupe mbinu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Mimi bado na wala simtaki maana nasikia ukimuonja huachiii.
Wengine hatujazoea vipigo vya moyo, hili la kwanza sijarecover nikiingia kichwa kichwa nikichapwa tena, I will be a dead man.Ahahaa sasa si uoe tu ukae kwa heshima na familia yako Mkuu?
Yupo hapo miaka mitatuRuge ni 49?? Duh!
Lakini kumbuka ulimuacha for four solid years! Sisemi alikuwa na haki ya kucheat ila kuwa fairWengine hatujazoea vipigo vya moyo, hili la kwanza sijarecover nikiingia kichwa kichwa nikichapwa tena, I will be a dead man.
Wazazi wako wana umri gani?jamaa sio kwa kuchapia huko "" kumbe huyo ruge Tayari nimzee"" kiasi hicho duuhh"" na hapo usikute kafnya Editting ya miaka Yke "" waweza kukuta ana 53
hahaaa haha yaani umetumia nguvu zote hizo " katika kujibu mambo ya utani kama yale" kweli mahaba sio kitu cha mchezo ""Wazazi wako wana umri gani?
Wewe utabakia ulivyo miaka yote
Mungu amekuwa mwema kwake kumuwezesha kufikia umri huo
Jiulize wewe utafika na kizazi chenu kilichojawa na mengi magonjwa ni mfano mmoja tu
Acheni kumkejeli Mungu aliyetuumba
Mzee mzee baba yako kijana?
Happy B'Day Ruge
Ku- cheat ni kosa kubwa sana, sembuse kupewa ujauzitoLakini kumbuka ulimuacha for four solid years! Sisemi alikuwa na haki ya kucheat ila kuwa fair
Ni kweli Mkuu.ila dunia ndivo ilivo.Ku- cheat ni kosa kubwa sana, sembuse kupewa ujauzito
na kufanya attempt ya kutoa mimba ni kosa jingine
she really want to tek me for a fool.....
mambo mengine tunayaachaga tu yapite
leo nimefunguka yote humu but nashukuru hakuna anayejua ID yangu
kuchapiwa mke ni jambo la aibu kabisa....
Never ever.napenda wahenga tuLakini unampa Papa!!![emoji180] [emoji180] [emoji180] [emoji180]
Hapana kuna kitu unempa dogo asing'ang'ania apeleke mahari...Never ever.napenda wahenga tu
Ahahaaa hapana Mkuu.Hapana kuna kitu unempa dogo asing'ang'ania apeleke mahari...
Kwa logic ya kawaida dogo ameonja utamu wa muhenga na ameelewa...