Ruge azidi kumchukulia watangazaji Mengi

Ruge azidi kumchukulia watangazaji Mengi

Babu Mengi yuko bize na mjukuu wake K-Lyn....
 
Unampambanisha Mengi na Ruge? Kosa kubwa sana unatakiwa uhukumiwe kifungo cha maisha, yaan unafananisha kichuguu na Mlima Kilimanjaro!!!!!
 
Wakuu poleni na mishe za hapa na pale,na wale tunaosomeshwa namba pia nawapa pole,nimeona niulize hili swali pengine wajuvi wa mambo mtanisaidia,ni muda mrefu kidogo naona vyombo vya huyu mzee vimeanza sijui niseme kujipendekeza au uoga yaani newz zinazohusu upinzani hazipewi nafasi kabisa na ikitokea zikaonekana basi ni kiduchu sana,na hii sio tu kwenye luninga hadi magazini yake,ebooo!au labda kafokewa?najiuliza kwa sauti.

HEBU NISAIDIENI KUNIJUZA,NAE KABADILI GIAAAA?
 
Wakuu poleni na mishe za hapa na pale,na wale tunaosomeshwa namba pia nawapa pole,nimeona niulize hili swali pengine wajuvi wa mambo mtanisaidia,ni muda mrefu kidogo naona vyombo vya huyu mzee vimeanza sijui niseme kujipendekeza au uoga yaani newz zinazohusu upinzani hazipewi nafasi kabisa na ikitokea zikaonekana basi ni kiduchu sana,na hii sio tu kwenye luninga hadi magazini yake,ebooo!au labda kafokewa?najiuliza kwa sauti.

HEBU NISAIDIENI KUNIJUZA,NAE KABADILI GIAAAA?
Probably kiongozi,si unakumbuka kilichomtokea wakati wa zoezi la kukabidhiwa hati ya ushindi wa jpm alivyozomewa kwa kutuhuma za kupendelea chadema kwenye kurusha habari zao wakati wa uchaguzi mkuu wa 2015??
Hata hivyo huyu mzee hana urafiki au uadui wa kudumu isipokuwa anaangalia maslahi yake tu yasiingiliwe,si anajua jpm ndio ameshika mpini saivi wengine wameshika kwenye makali.[emoji2] [emoji2]
 
Mengi anamiliki Radio one, Capital radio, EA radio na Ruge anamiliki Clouds fm na Choice fm. Sasa watangazaji wengi wa Mengi wanakimbilia kwa Ruge.

Tuwaorodheshe; Milard Ayo, Sebastiani Maganga, Kennedy the remedy na juzikati tena amewanyakua Dj Sinyorita na Mamie babie. Hatujakaa sawa mara kawanyakua tena Hasan Masale na DJ Muba na sasa wapo Choice fm.

Mbona anamuandama sana baba wa watu jamani kwani hakuna redio zingine? Tusubiri kusikia Sam Misago nae kachukuliwa.

Kazi ipo hizi media..
Masako naye anatarajia
 
Mleta mada Genius Sebastian Maganga hakutokea IPP MEDIA labda kama miaka hiyooo. Genius Sebastian Maganga alitokea Radio Uhuru Fm kwa wanaokumbuka kipindi cha DEIWAKA alikuwa yeye na Poul James.

Namkubali sana huyu Chalii
 
Back
Top Bottom