NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Nimeshajibu kwa Tanzania Nchi Yangu,kila mtu atakufa ila watu wengine wanatakiwa kufa upesi.Msimtukane mtu anayeumwa binadamu wote sisi ni wapitaji ...tuombeane kheri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshajibu kwa Tanzania Nchi Yangu,kila mtu atakufa ila watu wengine wanatakiwa kufa upesi.Msimtukane mtu anayeumwa binadamu wote sisi ni wapitaji ...tuombeane kheri
Nimekumiss kinoma mdogo wangu...!Kwa wanaomjua Ruge huo ndio mwili wake,ila sura imechoka nadhani kwa ajili ya kuugua kwa muda mrefu.
Kuna RugemaninaHawa wenzetu utawaweza na majina yao.
Utakuta Mwingine anaitwa Muta, sasa hapo wewe utajaza mwenyewe ni Mutayoba, Mutabanwa, Mutapigwa, Mutakosa...
Mkuu ushawahi kuumwa???baba ako,mama or ndugu wa karibu unayempenda ashawahi kuumwa???kama hapana hongera sana mkuu but kama ndiyo ebu jaribu kuvuta picha cku ambayo ulikuwa umetoka kuumwa or mpendwa wako ametoka kumwa alafu akakutana na hayo maneno uliyoandika hapo
Kama mtu anafanya dhihaka dhidi ya mgonjwa na wewe unachekelea na kuonesha kufurahishwa na iyo dhihaka it means unaungana nae...kuna neno la kuchekesha nililoandika hapo juu hebu litaje
Kama mtu anafanya dhihaka dhidi ya mgonjwa na wewe unachekelea na kuonesha kufurahishwa na iyo dhihaka it means unaungana nae...
Jaman jaman upoooKwa wanaomjua Ruge huo ndio mwili wake,ila sura imechoka nadhani kwa ajili ya kuugua kwa muda mrefu.
Ilitokea tu nikaona comment yako so nikaona nikwambie hao wengine sijawaona huenda kutokana na muda niliokuwa naisoma hii thread but mkuu matatizo ya maradhi yakiwa kwa mtu mwingine sio swala la kuchekelea na kudhihaki hujafa hujaumbikaina maan katika wote hao walokejel umeniona mie peke yangu ndo nilocheka maan umenishupalia
Nimekumiss kinoma mdogo wangu...!
Wapuz sana!Watanzania jamani hasa wa Jamii Forum wana mioyo ya ajabu sana, unaanzaje kumkejeli mtu aliyetoka kwenye maradhi tena makubwa kama hayo ya Figo!!? sawa anatumia dawa za ARV so whaaat? yeye ni wa kwanza au yeye ni wa mwisho? ukoo wako mzima hakuna mwenye hilo tatizo? wewe je unajiona umeyashinda maradhi yote ya ulimwenguni? tujifunze kua na staha waungwana "Duniani hakuna Mwenyeji".
hebu fafanua kidogo basiNdio kuna utofauti
Itakuwa alipewa hela ndefuhuyo alokumbatiwa na Ruge sijui kama aliachwa hivi hivi