The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Huenda..!msamaha atuombe watanzania wazalendo...alafu alale kwenyr majivu kwa siku 7INawezekana anawaza ni kwa namna gani sasa aombe msamaha
Majangili yanayotambulika,lakini hayakuchukuliwa hatuaCCTV hiyo, majangili walinasawa Cluod mwaka 2017
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alifamia na silaa nzito sa kifita na mashoziniga
Mngemuliza sababu ya kuvamia radio clouds ?Uwe unaelewa wewe..... Neno hutoka kwa Roho wa Mungu!
Msigwa na Prof Jay walikuwepo na wametoa neno la shukrani kwa Ruge Mutahaba!Mngemuliza sababu ya kuvamia radio clouds ?
Maana naye mpaka ruge amevuta hajawahi kusema sababu ...
Any way hakuna watu wanafki kama watz kwenye misiba
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji85][emoji85][emoji85] aibu nimeona mimiWameunganisha nyuzi
Niko poa love za kwako?
Numby uko msibani nini?Salama Jabir akiwa msibaniView attachment 1036060
Hivi huyu Ruge aliwahi kuoa kwa NDOA rasmin inayotambulika.. ?
Bashite ni mshenzi, aongee nini wakati alivamia studio na ni mhusika mkuu aliyefadhili kumpa pollonium rugeMkuu mbona povu kama kamanda wa Ufipa?!
Hata isiyo rasmi hakuwa nayoHivi huyu Ruge aliwahi kuoa kwa NDOA rasmin inayotambulika.. ?
RC Makonda amesema kwa sasa hatasema lolote juu ya rafiki yake kipenzi Ruge Mutahaba.
Makonda amesema Ruge ni mtu muadilifu, mchapakazi na jasiri hivyo anashindwa namna ya kumuelezea na anazidi kumuomba Mungu ampe kibali na kwa kuwa ataenda Bukoba kwenye mazishi basi kwa neema ya Mungu akipata kibali ataweza kumuelezea rafiki yake huyu.
Source Clouds tv!
Kwa hivyo ni sawa na kusema RC wa Dar ni tofauti na Makonda?!Clouds na Ruge ni vitu viwili tofauti usisahau hilo!