TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

Ina maana siku walipomaliza bifu lao hadi Makonda akaenda kufanya maombi nyumbani kwa Ruge na Ruge akaenda nyumbani kwa Makonda kumpongeza kwa kupata mtoto wewe ulikuwa haujazaliwa au umeamua kuwa mpumbavu kwa muda?
Haya ni maoni yako tu zuzu....Bashiye amuombee nani?labda kama alienda kupiga ramli chonganishi
 
By the way its very nostalgic to pursue and join hands of my super free culture and taboos for the low cursed figures. its absolutely non admirable some thing i never dream-of.
 
Ina maana siku walipomaliza bifu lao hadi Makonda akaenda kufanya maombi nyumbani kwa Ruge na Ruge akaenda nyumbani kwa Makonda kumpongeza kwa kupata mtoto wewe ulikuwa haujazaliwa au umeamua kuwa mpumbavu kwa muda?
Mpanga mipango ya kuteka na kuua watu leo amegeuka mwombeaji?Ni mazuzu kama wew wanaoweza kumuamini huyu naibu comedian!!
 

Naomba nikusaidie ili siku nyingine kama hujui uulize.
Tulijadili sana hapa hilo Tangazo waliweka kuanzia Global Tv, Geita Tv na eFM/tv

Haikuishia hapo hata za wasafi Tv pia zililetwa humu
Na kama humjui huyo Juhayna basi huyu hapa

Cc Titicomb
 
Huyu dogo mbona shujaa kama mkurya mkurya hivi!. mama yake mtu wa wapi ebu wana jamvi mnidokeze isije ikawa aliiba mbegu.
 
Ina maana siku walipomaliza bifu lao hadi Makonda akaenda kufanya maombi nyumbani kwa Ruge na Ruge akaenda nyumbani kwa Makonda kumpongeza kwa kupata mtoto wewe ulikuwa haujazaliwa au umeamua kuwa mpumbavu kwa muda?
angemuua na ile mitutu ya bunduki inagekuaje? acha mujitoa akili kipumbav wewe?
 

waswahili bana

ruge na makonda walikuwa marafiki...wakagombana wakapata, Ruge mpaka anakufa walipendana na makonda!

Tatizo mnataka kutuaminisha kuwa mtaani watu huwa hawagombani na kupatana

au kuwa wale sio normal human being
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…