Haya ni maoni yako tu zuzu....Bashiye amuombee nani?labda kama alienda kupiga ramli chonganishiIna maana siku walipomaliza bifu lao hadi Makonda akaenda kufanya maombi nyumbani kwa Ruge na Ruge akaenda nyumbani kwa Makonda kumpongeza kwa kupata mtoto wewe ulikuwa haujazaliwa au umeamua kuwa mpumbavu kwa muda?