Wiii kaka yako si nimeachana nae[emoji23][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Ndio aseeSafi tu nakuona unapitia updates
Clouds wanajua sana kumnyenyekea nyapala makonda..hivi unampaje airtime mtu km huyo jaman...!shenji
Ulivyo kitumbua chenye utoko unawajua hata wamiliki wa NMG wanaomiliki hilo gazeti ni watu wawapi?
.
Funguka wewe acha umama
Leo ameonekana mwanamkeSalama Jabir akiwa msibaniView attachment 1036060
kuna thread humu humu mtu alisema kuwa ngoma ndie aliepewa hiyo sumu akamuwekea marehem!hiyo thread ina heading"watangazaji wa 360 wawaponda lissu na zito"!Itafute hiyo humu ndani kuna mtu ndo kaeleza mambo yanayotatanisha sanaHassan ngoma ndo mbeba sumu ? HEBU NYAMBULISHA,SIJAELEWA UNAMAANISHA NINI?
Aiseekuna thread humu humu mtu alisema kuwa ngoma ndie aliepewa hiyo sumu akamuwekea marehem!hiyo thread ina heading"watangazaji wa 360 wawaponda lissu na zito"!Itafute hiyo humu ndani kuna mtu ndo kaeleza mambo yanayotatanisha sana
Mkuu usijiabishe kiasi hiki.Tatizo mnaweka document ya mange kuna wadau humu wamenieleza niende kwenye tovuti ya TCRA hakuna lolote sasa ambas ni mjuaji unaejua lilete kama hutakuja na document ya mliwa ma*i sijui
uuuuwwiiii jamani msiba na utani wapi na wapi mie mmakonde.
Bashite ni muuaji na dhambi zake zote atakaezibaba ni hicho kitoto chake cha kichina.waswahili bana
ruge na makonda walikuwa marafiki...wakagombana wakapata, Ruge mpaka anakufa walipendana na makonda!
Tatizo mnataka kutuaminisha kuwa mtaani watu huwa hawagombani na kupatana
au kuwa wale sio normal human being