Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Guilty conscious!Guility Guility . Pale unapofanya kitu harafu jamii inampokea marehemu kuliko ulivyotarajia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Guilty conscious!Guility Guility . Pale unapofanya kitu harafu jamii inampokea marehemu kuliko ulivyotarajia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafsi inamsuta kwani wewe hujui waafrica tukifa huwa tunageuka mizimu na tunaanza kulipa visasi kwa wabaya wetu
Hicho ndio siri ya kilio chake
Note
Sio kila chozi ni la uchungu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
kuna thread humu humu mtu alisema kuwa ngoma ndie aliepewa hiyo sumu akamuwekea marehem!hiyo thread ina heading"watangazaji wa 360 wawaponda lissu na zito"!Itafute hiyo humu ndani kuna mtu ndo kaeleza mambo yanayotatanisha sana
Mungu yupi?
Tena Bora tungekuwa sehemu ya Uganda Idd amini aliitamani kagera na alitaka aifanye makao makuu yake Kwa sababu Kwa kipindi kile ilikuwa imeendelea kuzidi sehemu nyingi za Uganda.hivi utatamanije sehemu mbovu.ina maana aliona kitu Fulani cha faida Kwa nchi yake ndo maana aliamua kuvamia tz sio Kenya wala sudani.Mnajiamini nini hakuna kitu babu yenu Julius aliwakomboa msimezwe na Idd amini sasa hivi mngekuwa sehemu ya Uganda km mngelinga ivo??? lazima tu . mngekiona cha moto na lile jamaa li-IDD Lilikuwa korofi sana halioni shida kuteketeza kabila zima. kama unabisha waulize Wa-acholi. na Wa-Hindi walivopata kichapo cha mbwa mwizi. mngeimba Amin sikamoo Baba eeetu! Ushauri tu hii coffin ingeanzia kuagwa mwitongo ndani ya Butiama hapo mpate baraka yaani msife tena. si mjaribu tuuu!!
Bashite ni muuaji na dhambi zake zote atakaezibaba ni hicho kitoto chake cha kichina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika nini arifu??Kumalizia bifu ndio akamtuma Hassan Ngoma ,kwa akili yenu nyie mataga mnafiri mambo yenu hayajulikani duniani Hanna siri kwa hiyo na Hassan Ngoma nae Amelia sana nyie mataga?
Mkuu hawa vijana ni WAPUMBAVU sana.Wanaforce mambo ambayo hata hayana tija.
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hayo ya kale bro na yamepita. Unajuaje labda waliombana msamaha yakaisha. Sie walimwengu kutaka kukuza vitu ili watu wafarakane ndio raha yetu lakini wakipatana tunanuna hio sio life aiseeeMakonda si ndo alifamia Clouds na silaha nzito za kivita na makomando kama mashoziniga
KabisaHakika anazikwa kishujaa
Ajishushaye atainuliwa...ndo kinachotokea
Msemo wake, alikuwa anapenda kuwa behind the scene
Rip Ruge
Sent using Jamii Forums mobile app
rejea tangazo lilitolewa na TCRA kuhusu wamiliki wa WASAFI TV. wapo wamiliki watatu na wametajwa kwa majina yao na kiasi cha hisa wanazo miliki au angalia link hii hapa Wamiliki Wasafi TV waanikwa, hisa za Diamond ni asilimia 45Nani boss wa wasafi tv? Ni brand ya nani inatumika wasafi tv? Ushahidi wa mke wa kusaga kumiliki 53% unao ama una document ya mange? Unaufahamu utajiri wa Salam sk? Tafadhali majibu ya kiungwana
Nifundishe kunyamaza nisije kukukosea Mungu.....
huu wimbo huwa unanigusa sana wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app